Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

hi,jf members! kuna kitu kinanitatiza kila cku asilimia kubwa ya wasichana/Wanawake ninaopishana nao wanakuwa wamevaa suruali zimebanaa! kwa watu ambao tunatoka bush hadi aibu kuwatazama, lengo...
0 Reactions
44 Replies
3K Views
On average; Muda wa kupendeza na kuenjoy maisha 20-28 yrs Above 28 year, choka mbaya..
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Hello jf!!eti kuna galfriend wangu kanambia ''its Over'',kisa nina wk moja cjamtafuta kwenye cmu,wajameni hii ni sababu ya wa2 kuachana kweli?infact ye mwenyewe hajawah ntafuta,wala hata hajataka...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Ever you forgiven anyone in your life? Kosa gani ulilofanyiwa hadi kulazimika kutoa msamaha, mfano; kutukanwa, kudanganywa, kuibiwa, kupigwa, kunyimwa haki, kusalitiwa kwenye penzi, .......! How...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Ndoa si msukumo rika, wala kufuata mila, Ndoa ni kukubalika, bila kufanyiwa hila, Ndoa si kuhangaika, ili kulipa fadhila, Ndoa ikikamilika, hutayapata madhila. Ndoa si kuwa na gari, wala...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hii sheria ikiletwa Bongo itakuwa balaa! Najua humu ndani kuna wachungaji huwa wanapitapita, vitabu vinasemaje kuhusu hili? Mexico City considers 2-year marriage licence Lawmakers in Mexico...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wapwaz na Mabinamuz! Jamani week-end hii ni tamuuuuuuuuuu..... kwanza imeangukia mwisho wa mwezi 1. Bar zote leo zitajaa sababu ni mwisho wa mwezi hela ipo ya kutosha2. Gestihausi zote zimejaa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hii ndio maendeleo au sie wa zamani washamba? Leo utakuta binti mdodgo ana boyfriend wa primary, akimaliza primary anatafuta wa secondary. Akitoka hapo anakwenda chuoni, huko ana mvulana wa kumpa...
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Mama watoto wangu ananibana sana, hataki kuniona niko busy na na simu, anasema nichague kimoja, eidha JF au yeye. Ili niingie JF ni lazima niingie toilet, maana kinyume na hapo ni ugomvi mkubwa...
0 Reactions
76 Replies
5K Views
Nimekuwa na urafiki na dada mmoja kama miaka saba hivi imepita baada ya hapo nikamwambia mie napenda huwe mpenzi wangu mungu akipenda tuwe pamoja..yule dada akakubali tuakaanza safari ya mahusiano...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Ni mdada mwenye umri wa miaka 32, hakubahatika kuolewa wala hana mtoto lakini amekuwa na jamaa aliyeishi naye kwa miaka takribani minne, kifupi ni mfanya kazi mwenzangu na rafiki mzuri pia kwani...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Tumeongea sana leo kwenye kipindi baada ya dada mmoja kulalamika kuwa mumewe anatabia akirudi nyumbani anazima simu na yeye akiona simu imezimwa hujaribu kwenda kuiwasha na kutaka kupekuwa sasa...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
What is Audit? Once upon a time there was a shepherd looking after his sheep on the side of a deserted road. Suddenly a brand new Porsche screeches to a halt. The driver, a man dressed in an...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jaman wat if unagndua kaka/dada yako anatoka na shemeji yake na ww ni ndugu kabisaaaaaaa!!!!
0 Reactions
21 Replies
2K Views
We often don't feel Love each and every day Just the same it's there And will never fade away Just like the ocean tide Coming in and going out At times our love's so strong Other times is...
0 Reactions
3 Replies
869 Views
Wadau inasikitisha kuwa baba wa mika 30 amekibaka kitoto cha miaka 10 maeneo ya kigogo na hii ni mkwa mujibu wa wapo radio jana asubuhi kwenye kipindi cha Patapata. Mpashaji alisema kuwa huyo...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
utakuta mtu ana mke tena nzuri kweli kweli huduma kumpa mkewe ni utata lakini hata chakula cha watoto tabu lakini akiombwa huko nje na micharuko anaonesha ufundi wote wa kuhonga waki nyumba kwake...
8 Reactions
68 Replies
6K Views
Kuna tukio moja nimeliona hivi karibuni hapa mtaani kwetu, kuna dada mmoja alikuwa ana bf wake wa siku nyingi sana na ikatokea yule dada anachumbiwa na mtu mwingine kabisa na ana nia nzuri ya...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
tuangalie kwa kina mambo yanayochangia tatizo hilo la upungufu wa nguvu za kiume. Uzoefu katika vituo vyetu vya Marie Stopes kina mama ndio huja kutafuta ushauri kwa nini mzee kabadilika na...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Mke kapata safari nje ya nchi, (training) safari hiyo inahusisha kikundi cha watu sita kutoka Tanzania,(funded trip) siku moja akiwa nyumbani kwake na mumewe anapigiwa simu na mmoja wapo wa wale...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…