Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Uzoefu unaonyesha watu wengi hufumba macho wakati wa kupiga denda na wakati wa kubusiana,kama unabisha jaribu kupiga busu uone kama hautafumba macho,swala ni kwanini naombeni majibu
0 Reactions
28 Replies
13K Views
Ushauli kwa vijana ambao hamujao zingatia kuchagua wachumba, achana na wasichana wenye madigree wasumbufu kinoma, kama unaye pole na muombe mungu atakusaidia uishi nae. Am sory for inconviniences...
1 Reactions
96 Replies
7K Views
Kwamba wanawake wengi ambao wameolewa wanapoamua kutoka nje, hutoka na waume za watu, na sio wanaume ambao hawajaoa. Haifahamiki sana ni kwa nini wanawake walioolewa hutoka nje na wanaume...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Jamani hebu pata picha, nimetolewa kijijini nimeletwa mjini kuolewa na mtu ambaye hata sijawahi kumuona na simfahamu kabisa. Mtu huyu ni mlevi kupindukia, haachi matumizi nyumbani, tunadaiwa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Suppose una miaka kama sita ndani ya ndoa, na una watoto pia.....! Mwenzi wako amekuwa na siri kubwa ambayo hajawahi kukushirikisha, nawe pia hujawahi kupata....! It is obvious that people do not...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tangu february nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu mzozo wa libya mpaka sasa ambapo vyombo ya kimagharibi vinadai kuwa majeshi tiifu kwa kanali M Ghadaffi yanadhibiti sehemu ndogo ya mji wa Tripol...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamaa yangu yuko nje ya nchi na mkewe yuko tz. Sasa anasema ati wanatumia webcam kufanya mapenzi. Wanakuwa wanaongea na kuonyeshana sehemu za siri huku wakizisugua hadi kila mmoja anakojoa. Halafu...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Chukulia kwamba mpenzi wako anakosea mara kadhaa kutaja jina lako. Inawezekana siyo katika hali ya kawaida, bali hata wakati wa kushiriki tendo la ndoa. Je ungefanyaje kama jambo la aina hiyo...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Jaman hawa wapendwa we2 lizzy na ally wa kitaa wamezid stor baada ya kuchangia mada.2wafanyaje watu hawa!
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Kila niangaliapo wanaonizunuka nahisi kuibiwa kama wanavyoibiwa wao. na ukiangalia kwa undani wengine wanajua kuwa wanaibiwa, wengine wanahisi lakini pia wapo ambao totally hawaelewi kama...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Assume one day ukaenda kupima damu ukakutwa umeambukizwa HIV au nduguyo ametest positive(just assumption), utaendelea/utamshauri kuwa na mipango ya kuoa/kuolewa na kuzaa watoto? Kwa nini?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni wazi unawajua wanawake ambao wanaishi katika ndoa ngumu za manyanyaso hadi unafikia kuuliza, ‘hivi huyo mwanaume amempa kitu gani kikubwa hivyo?' Wanawake hawa nao wanakuwa wamefikia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
First of ol,nawapenda wanajf,..jaman,mbona hizi headings cjui titles sometimes na maelezo vinakuwa haviendani,2navutiwa na titles maelezo daah,ndo nini sasa
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Whatzap jf ! upande gani wewe unaona unafaa zaidi kwa sasa? maelezo yako yazingatie nyakati hizi.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari tena wanajf..namefanya tathimini,wanajf nimegundua tunamasihara,yani tupo kwa jili ya kupoteza muda.wachache sana utakuta wanaongea serious,jamani mtu mpaka aeleze tatizo lake ni kwamba...
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Za mida hii wanajf.nisaidieni kimawazo...nilibarikiwa kuwa na mtoto niliezaa na mzaz mwenzang,mtoto akiwa na miez miwil akanibwagia mtoto na kwenda kuolewa.nililea mwenyewe mpaka mtoto kafika umri...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
jamani mie nataka kuuliza wanaume wanawezaje kufukuzia demu kwa muda mrefu au kutumia pesa katika kutuma sms au kumtoa outing na vizawadi vidogo vidogo? mie nimejaribu lakini baada ya siku 3...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
hivi ni kwanini wanawake ni rahisi kukubali msamaha wanapokosewa kuliko wanaume?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Fahamu kwamba mwanamke uliye naye ana siri nyingi alizoficha zikiwemo chache ambazo hukuwahi kuzifikiria hata mara moja. Je, ulikuwa unafahamu kuwa kila kitu mwanamke anachonunua kuanzia nguo...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Hivi familia ina nafasi kiasi gani kwenye suala zima la ndoa jamani hebu nijuzeni,na je ni haki wao kukupangia uolewe na nani au umuoe nani?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…