Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

kwangu naona yanadumu bt wengi wanasema hayadumu je,ni kweli?
0 Reactions
30 Replies
12K Views
'Kidada' kwa kihehe ni tabia ya kususa...nilimuuliza rafiki yangu wa huko ira akaniambia ni katabia flan kanakoendekezwa kwa sana na wadada wa huko...huyu rafiki akahitimisha ukikijulia hicho...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Mara nyingi wanaojiita wapendanao, waachanapo hutokea kauli kama, nakutakia maisha mema, Mungu akujalie huko uendako na kauli nyingine zinazofanana na hizo. Mara hizi kauli humtoka muachwa. Swali...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Amwaga fedha kumpoza msichana wake wa kazi Monday, July 04, 2011 10:59 AM BAADA kutoweka nyumbani kwake kwa takribani siku nne kukimbia dhahama aliyemsababishia msichana wake wa kazi imedaiwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Top 100 things that attract women to men 1. Clear, beautiful and healthy looking eyes. Eyes provide an insight on the level of health of the individual, and healthy eyes indicate a healthy...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ulikuwa haumfaham miaka michache,au pengine wiki au siku chache zilizopita,halafu leo unasema hauwezi kuishi bila yeye,unashindwa kula na kulala,very funny!!!!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
WE talk about "sex games" and it sounds so jolly, but arguments about just what sexual behavior is and isn't OK cast a big cloud over some couples' lives together. In general, I would say that...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natanguliza shukurani dada zangu, Hivi kwanini kina dada hujipamba hata kama ni mzuri wa kuzaliwa? I mean wenye nyele nzuri wanzitoa na kuweka mawigi ,weusi wanajipaka madawa kuwa weupe,gharama...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
So what do wives want from their husbands? Read on. 1. Stability. Maybe this is a tad cliché, but women WANT to feel safe and secure. They want to know that the man in their life is going to...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
...umeenda ukweni kuchumbia rasmi, baada ya utambulisho na wenyeji kuwapa muda 'mjisikie mpo nyumbani' , Baba mkwe anakutupia swali la papo kwa papo; ..." eti kijana, iwapo tumepata ajali...
0 Reactions
61 Replies
8K Views
Nawakaribisheni sana kwenye kikao changu cha harusi tarehe 06/08/2011 Hongera Bar jirani na chuo cha Ustawi wa Jamii. Karibuni sana.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
What are dreams for..?‘ To be dreamt and then forgotten...or remembered but then forsaken?! I ask for I don‘t know..weather to hold on to them or let them go! Your face so visible and...
7 Reactions
42 Replies
3K Views
Kama kila nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke,basi pia kila nyuma ya anguko au "kufeli"kwa mwanaume kuna mwanamke!!Au sio?!??!
1 Reactions
37 Replies
3K Views
hili sebene linalopigwa kwenye bar ya jiran na maeneo ninapoishi linaniboa. Linampa wazimu my girlfriend kila ajapo gheto, imefikia hatua hatujadili mambo yetu wala kufanya mambo mengine ya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
mambo vip wana jf nahisi mko poa! Mi na ili tatizo nahis limeshakua kongwe ktk maisha yangu pindi ninapotaka kutongoza, nikiwa nimempenda bint ambae anavi2 ambovyo hwa navitaka, hwa hata...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Nina rafiki yangu...more of a mentee lakini tumefahamiana kwa muda so we relate more as friends. Jana amenipa shock of the half-year! Ok, i'm not judging him but kwa kweli alinishtua.. aliniambia...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
kwa muda sasa nimekua nikitokea mademu na kua muwazi kwao hasa pale anapotaka kujua msimamo wangu kuhusu ndoa,huwa nawaambia ukweli kua cna nia ya kuoa mapema hivyo tuwe lovers tu,mara baada ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Utamtambuaje mchumba wa kweli?
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Amani iwe kwen....!! Je ni upi utaratibu mzuri wa ki-Tanzania wa kumvalisha mtu pete ya uchumba ?...maana hua naona wengine wanavalishana mbele ya marafiki,wengine wanafanyiana supulize (oooh baby...
0 Reactions
8 Replies
11K Views
Kwa wanaume, Hivi inakuwaje, inapotokea msichana anapokutokea akakuomba namba kwa sababu za kimsingi, (MASUALA YA KAZI, BIASHARA, ETC.) baadaye anaanza kukutext msg za ajabu ajabu. Baada ya muda...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom