Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Mimi ni mwanaume.Naomba kuuliza hivi ni mbinu zipi bora na sahihi za kumwomba mpenzi msamaha pale unapomkosea ili aweze kushawishika kusamehe? Wana JF naombeni mawazo yenu.
0 Reactions
37 Replies
30K Views
Heshima wakuu, nikiwa mtoto wa mwisho na mvulana pekee katika familia hii nimekuwa sina mahusiano mazuri na huyu dada yangu wa kwanza. Yeye hana matatizo nami, ila mimi nikiwa nae nakosa amani...
2 Reactions
80 Replies
6K Views
Msema kweli hakika, huyo mpenzi wa Mungu, Kalamu nimeishika, nilisemalo ni langu Beti ninaziandika, mzisome dadazangu, Dada zetu mna mambo, mambo yenye vijimambo. Dada zetu mwatutega, twategwa...
15 Reactions
52 Replies
6K Views
watu wengi wanasema hasa jinsia ya kike,eti kumwambia mpz wako nakupenda kwa kila wakati ni vibaya kwasabu eti unampa kichwa na kujionesha kuwa unampenda sana.je ipo sawa?
0 Reactions
34 Replies
11K Views
Alizwa Pesa na Hawara, Arudi Kwa Mkewe Kuomba Radhi Tuesday, July 26, 2011 6:09 PM HASSAN ABDUL [39] mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam, amemuangukia mke wake kwa kutembea kwa kutumia magoti...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hiki ninachoandika hapa ni kisa cha kweli kilichotokea hivi karibuni. Umeoa na ndoa yako ina miaka miwili hivi na mnatarajia kupata mtoto (mkeo mjamzito) na kwa mila zetu za kiafrika mama wa mume...
0 Reactions
20 Replies
19K Views
Hey guyz l nid ur help coz am comfused l dnt knw hw can l turn back my trust to believe girlz? I thnk zis is tha cycological prbm 2 me.and anaza thng is why zis gals ar like zis? Are they after...
0 Reactions
35 Replies
2K Views
@ARUSHA, baba mngoni , mama mchagga Kuchoma maziwa ni namna ya kiasili hasa West AFRICA the goal is to make mdada/binti less desirable to boys -- and stave off pregnancy Chuma (iron rod) au jiwe...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Binafsi inanishangaza ninapoona machangudoa wanavuta sigara hadharani japo inakuwa ni usiku. Lakini kwa mwanamke mwenye heshima zake mnamchukuliaje?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Unajua mapenzi sio lazima mpaka ufike nyumban upewe maji ya moto la haasha kuna wengine tuna mapenzi na bunge letu na kila siku tunatamani kuona mungu wakifanya kitu fulan kwa ajili ya taifa...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Before ulikuwa na kiasi lakini umeenda ahospitali hivi karibuni wanasema ni zero kabisa,,,sikujui hunijui lakini mungu ndie anajua hajaya moyo wako..mkeo anakaribia kukukimbia na ndugu wamekucheka...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Najua watu wanakutana wa wenza wa maisha yao katika mazingira tofauti. Kwa mimi ilikuwa hivi; Miaka kadhaa iliyopita nilikuwa nasoma kwenye gazeti la majira majina ya wanafunzi waliochaguliwa...
3 Reactions
34 Replies
4K Views
Dear wanandoa kumekuwa na matatizo mengi tunayapata kwenye ndoa za watu wakati wa kurekebisha matatizo yanapotokea sasa kama mjuavyo mwenzenu nikiona kakuwamegea wala siitaji voda pesa mnitumie...
3 Reactions
41 Replies
5K Views
Wanajukwaa nawasalimu wote kwa heshima na taadhima. Mimi Ninaishi kwenye nyumba ya kupanga mahali fulani na baba na mama mwenye nyumba wanaishi hapo hapo. Sasa huyu baba mwenye nyumba anatabia ya...
2 Reactions
41 Replies
3K Views
Jamaa mmoja aliamua kujitoma pale IFM kutafuta totoz kwa staili ya aina yake pale alipoamkabidhi business cards zake mmoja wa wauza vioski nje ya geti opposite na wizara ya afya huku akimpa...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
R.I.P Farida Sitaki niamini kuwa mmeo alikuwa hakupi matunzo ya kutosha mpaka ukarubuniwa na mwarabu wa dubai. Kwa kweli inasikitisha sana Farida kwenda kumvulia nguo huyu mwarabu Guest ya Mkuzu...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
za leo wanajf. mi napenda kujua kidogo kuhusiana na social life ya wanawake na wanaume wa kisukuma na wanyamwezi.kwa yeyote mwenye details karibu kuchangia.
0 Reactions
15 Replies
11K Views
wewe au ndugu yako ana matatizo katika mahusiano, matatizo ya kimaisha, au ya kisaikolojia?? kutana na wataalamu wa matatizo ya kisaikolojia, washauri na wataalamu wa matatizo za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mama achoshwa ! atoa radhi hadharani Monday, June 20, 2011 4:22 PM KATIKA hali ambayo iliwaacha watu wengi wakiwa hawaamini macho yao mwanamke mmoja [51] amejikuta akisaula nguo zake zote na...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
jamani nahisi nilizaliwa nina matatizo ya kimaumbile,sifiki kileleni -inorgasmic. in the past nishawahi kuwa na mahusiano ila baada ya kugundua hali yangu tukaachana,najiuliza niseme kama nina...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom