Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Mambo jf, ninarafiki angu ana boyfrend wake ni mlemavu na wanapendana sana,(kwa maelezo yake lkn)na urafik wao una 2 years mpaka sshv,boy amempa mimba huyu myfrend na anataka achukue jumla ttzo...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Jamani JF hebu nisaidieni,kuna mke wa mtu ananipenda, yaani kanitamkia mwenyewe kwamba nafanana na mumewe aliye masomoni nje ya nchi. Nilipomuuliza zaidi anataka nini akaniambia kwamba nimpe...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Najua wengi wetu mmeshawahi kushuhudia au kuishi ndani ya ‘single parenting’……ama maisha ya magomvi muda wote….namaanisha kuwa mzazi kati ya migongano ya kimahusiano…. Mimi (ex. st) RR nawashauri...
12 Reactions
195 Replies
11K Views
Wana Jf habari zenu, kwanza natanguliza shukrani kwa wote wanaoleta na kuchangia mijadala yenye tija kwani imekuwa ikinijenga kila siku. Wadau nilikuwa na "Penpal friend" wa kike, toka nikiwa...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
1. Ni kutojiamini kwa wanaume au ni uzuzu na kushikiwa akili? 2. Ni kujihami kwa akina dada? 3. Hivi huwezi kumkataa mtu mpaka ugawe namba yake 4. Unajisikiaje kupigiwa simu na kukatazwa kupenda...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Sababu za wanaume heshima kushuka ndani ya ndoa hata kupelekea maneno ya kejeli kutoka kwa wanawake eti "Wanaume suruali" au Dar hakuna wanaume
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Halafu nshapata mwingne...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ni miezi sasa imepita tangu nijivue gamba la mapenzi. Nimebaki mpweke ili kuepuka maumivu ya roho. Nilimdamp huyu mtu baada ya kugundua nilimpenda sana kiasi kwamba nisingeweza kuishi nae kwa raha...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani niambie nifanye nini ili huyu binti ninayeenda kukutana nae jmosi asinione boya maana sijawai kuwa na msichana tangu nibalee!
2 Reactions
68 Replies
8K Views
Hivi kibongobongo wapenzi kupeana maua kama zawadi na anayepewa ua kuonyesha furaha to the maximum kwamba kairidhia hiyo zawadi kwa dhati huwa ni hisia za kweli toka moyoni au maigizo tu...
1 Reactions
23 Replies
10K Views
Average, mtu anakuwa amepitia relationships ngapi mpaka kufikia kuoa au kuolewa?
0 Reactions
43 Replies
3K Views
Wana JF nauliza ipi ni bora., kuuza nyumba na kutumia pesa na kimada au kumjengea nyumba kimada..?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Natafuta mrembooo mwenye umri kuanzia miaka 24-26 awe mpenzi wangu.....bt awe tayari kuwa nami kwa upendo kabisa awe na kazi yake.....awe tayar kupima.......
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi kwa nini pale uhusiano unapovunjika hawa wenzetu hukimbilia kutoa kauli hii: "............kwa kuwa umepata ulichokuwa unakitaka...".
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Heshima kwenu Great thinkers ndani ya Kapeti!! Ni suala ambalo kiukweli linanichanganya sana, lakini nahisi kwa kuweka mikono na akili zetu pamoja naweza kuwa na UAMUZI SAHIHI WA KUCHUKUA...
0 Reactions
61 Replies
5K Views
Katika tafiti ndogo nilizofanya maeneo ya Ubungo maeneo ambayo kuna vituo vya tuisheni, kipindi cha likizo ya mwezi wa sita, nimegundua kwanza kuna vibanda vingi sana vya chips maeneo hayo, pili...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi! Naomba msaada wenu wa mawazo katika hili! Nina GF wangu yuko Arusha me nko Mwanza, huyo binti 2likuwa 2naelewana sana na ofcourse alikuwa anaonyesha kunipenda na pia...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Kipo chama chenu kitaanzishwa muda sio mrefu,kwa maelezo zaidi wasiliana na Gerald Hando au Paul James wa Clauds Fm,au sikiliza Power breaks fast,mtaweza kupeleka malalamiko yenu kisha kufanyiwa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Hi wana Jf! Nina jambo linanitatiza jamani, vijana wa sikuizi wamekuwa na tabia kutaka vitu ambavyo tiyari vimesha garamikiwa na wenzao, naomba nitoe mfano mmoja uliyo hai, kijana mmoja alimpata...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna tabia imezuka sikuhizi na kadiri muda unavyoenda inajipatia umaarufu kwa baadhi ya vijana wa kiume,tabia yenyewe ni wanaume kuvaa nguo zinazobana na kushika kisawasawa maungo yao hasa ni...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…