Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nimetoka kumeet na dada mmoja hivi, ananiomba ushauri, maana yeye hata hajui what to do. Nimeona niwashirikishe, in short mkasa uko hivi, Huyu dada yupo na bf wake kitambo tu, yeye bado yupo...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
kiukweli nimemaliza udom kuna binti nilimwa proach akasema hapana,kisa anadai mi ni handsome sana so siwezi pata wa type yangu hapa chuo,kimsingi i luks attractive even ma rummate tells me,i was...
0 Reactions
157 Replies
10K Views
Habarini ndugu zangu,Naamini hamjambo. Unajua kuna mambo ambayo ni magumu kumwambia mtu,wakati nikiwa chuoni miaka ya nyuma huko,kunamshikaji tulikuwa darasa moja na bahati mbaya group discussion...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Kila siku nawaza kuhusu nani atarithi mali zangu, naomba kuuliza kama ndio dalili za mwisho wa maisha yangu kukaribia, lakini naapa sitamwandika mrithi mtoto wangu wa kiume kwa sababu mama yake ni...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
​Kuna men tulikuwa tunadate ikatokea misunderstanding, yeye ni mwanachuo bado na mimi ni graduate ofcourse sija Do nae as i said in previous topic i posted na tulibrake baada ya yeye...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hii huwa inatokea sana, alafu mtu akipigiwa simu huwa zinakuja sababu za "nimerenew line" au "nimepoteza simu". Kumbuka hawa wafuta namba wengine ni marafiki tu. Ninachojiuliza> inawezekana watu...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wakuu uwe mpenzi kama huyu itakuwaje unainjoi kuwa ana papai nne au ndo inakuwa hata upukweni unamkacha
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mapenzi katika jamii ya siku hizi, je yana zingatia vigezo na miiko ya wazee wetu wa zamani?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
FAIDA KATIKA KIROHO Watafiti wengi wanakiri kwamba kuna sexual energy kama energy zingine ambayo wakati wa sex ikiunganishwa kati ya mwanaume na mwanamke hasa wakati wa kufika kileleni huweza...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wazazi tumekuwa wazito ktk kutilia mkazo suala la bint zetu kujitunza,ingawa kuna changamoto mingi lakini tunaweza..ewe bint mzuri moja ya factor zinazoweza kukupa mme wa maisha yako ni kujitunza...
6 Reactions
27 Replies
3K Views
Hivi kwa nini wanaume hawapendi kuwasindikiza wake zao CLINIC,HOSPITAL?naomba kuwasilisha asante.
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Harusi zimekuwa na gharama sana kuanzia maandlizi hadi kufanikisha. Lakini ndoa ngapi ziko kwenye furaha kama wakati wa Kudate? Baada ya kero basi kuachana huwa ni suluhisho kwa wenzi wote...
2 Reactions
49 Replies
4K Views
I am just watching hii documentary ya Demi Moore kuhusu rescue ya wanawake wanaolazimishwa kuwa prostitutes in Nepal na India It is a very strong and useful statement....I am just trying to...
2 Reactions
56 Replies
4K Views
Nina mpnz tunayependana na kuheshimiana sana, kuna vitu anavyofanya ambavyo nashindwa kuelewa ni kwa nini anafanya hivyo.Anaweza akaja home amevaa cheni ya gold halafu akiondoka anaiacha na...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
WanaJF hii kitu inaniumiza kidogo kidogo ingawa navumilia. Mpenzi wangu ambaye nimekaa nae miaka mitatu ni mzuri mno kwa sura mpaka naogopa. Ana kama mvuto fulani na kama kawaida wanaume kutongoza...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
nataka kujua hasa nini sifa ya mwanamke leo hii maana kila mwanamke leo utawasikia wakisema mwanamke reception na kusababisha wanawake wengi kuwadaganya wanaume wengi na kusahau tabia, na...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Jamaa mmoja anaishi mji kasoro bahari[morogoro].Huyu bwana ni driver wa magari ya kusafirisha mafuta ya kampuni moja maarufu hapa nchini.Huyu jamaa anaishi pamoja na mama yake ambaye ni mjane...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Ukicheza ataruka na mumeo So......!
0 Reactions
69 Replies
6K Views
Good morning/good afternoon/good evening/ good night to y‘all!! Nimekumbuka kuna kaka mmoja alikua mpenzi wa mtu wangu wa karibu yani sijawahi ona mtu ‘CONTROLLING‘ kama yule.Alikua...
3 Reactions
67 Replies
5K Views
kwa upande wangu ni sawa coz si mpz wangu nina uhuru wa kumwambia lolote ninalojisikia kwake,lakini nashangaa kwa wasichana wengine wanaona wanaume ndio wanotakiwa kusema ivyo bt kwangu naona kwa...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…