Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habari zenu wapendwa wa MMU!!! Jana nilikuwa napata Lunch maeneo fulani hivi nikiwa na mfanyakazi mwenzangu wakati tukiendelea kupata chakula meza ya karibu na sisi kulikuwa na wasichana watatu...
4 Reactions
79 Replies
5K Views
Katika pilikapilika zangu jamani nimekutana na hili. Wanawake walikua wakiliongelea swala la waume kuoga kwamba si kujisafisha tu na kupaka sabuni,waoshe na chini ya p***u. Unaweza ukatoswa na dem...
0 Reactions
72 Replies
6K Views
Ni mwaka mmoja sasa umepita toka rafiki yangu kipenzi wa tokea primaly, sekondary mpaka chuo alipopata ajira ktk halmashauri fulani (sitaitaja jina) kama Afisa Utumishi. Takribani mwezi wa 6 sasa...
0 Reactions
75 Replies
8K Views
hi wana jf,nina mpenzi wangu tuliyedumu miaka mitano sasa but kwa kipindi hiki simuelewi amebadilika,ananfanyia visa mara ohh mimi namdharau na muona boya,simpend but kiukwel nampend na sijawai...
0 Reactions
42 Replies
3K Views
Sijui ni mimi peke yangu ndo naliona hili au kuna wengi pia mmeligundua. Kuna ongezeko kubwa sana la domestic violence (kwa maana ya wanandoa na walio kwenye mahusiano)kwa vijana wa umri wa kati...
4 Reactions
27 Replies
4K Views
...ni mke na mume waliodumu miaka 15 ya ndoa. Wamejaaliwa watoto wawili, miaka 12, na miaka 9. Wazazi wote ni waajiriwa wa serikali. Baada ya kujinyima hapa na pale, mume akaweza kujenga nyumba ya...
1 Reactions
85 Replies
6K Views
Usimfananishe na wengine! James (si jina lake halisi) ana mshangaa mke wake ambaye baada ya kuzaa mtoto ambaye sasa ana miaka miwili amekuwa akikwepa kuvua nguo na kubaki uchi wakiwa pamoja...
4 Reactions
10 Replies
4K Views
Naskia hata ile ya wanaume wazima kuwa na ID za kike hapa JF ni very strong indication kwamba jamaa ana chembechembe nyingiza kike na zikipata trigger kama vile exposure to mashoga au mabasha nk...
13 Reactions
137 Replies
13K Views
Wapendwa Nawaamkua!! Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali nakosa jibu! Eti ukimpenda mtu ambaye kwa bahati mbaya tabia zake huko nyuma hazikuwa nzuri (Yaani ana madoa machafu kitabia...
11 Reactions
95 Replies
6K Views
Kipindi cha siku za usoni kati ya mwaka 2004 na5 niliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na dada mmoja lakini baadae baada ya kumgundua ni mbwa mwitu aliyejitanda ngozi ya kondoo niliamua kuachana...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Lugha za upendo Wakati mwingine ukikosa kuguswa unapata "skin hunger" MGUSO (physical touch) Kukumbatia, kubusu, kushikana mikono na sex (ktk ndoa) ni njia ya mawasiliano ya hisia za upendo au...
1 Reactions
12 Replies
32K Views
Nimejikuta najiuliza maswali mpaka nikafika mahala hapa. Kwanini mtu wa karibu mume/mke/msichana/mvulana anapofanya mawasiliano (simu, sms, kuja kusalimu home, kusalimiana barabarani nk) na mtu...
1 Reactions
87 Replies
6K Views
Uvutaji wa sigara katika ndoa: Wake au waume wa wanandoa ambao wanavuta sigara wamekuwa na wakati mgumu sana katika hisia zao hasa kutokana na tabia ya kuvuta sigara kwa hao partners wao. Hisia...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ni mwili mzima! Haina haja kuchezea kipande tu cha uwanja wakati mnaruhusiwa kiwanja chote na kuonesha skills zote kwa pasi za mbali na karibu loo! Kisaikolojia wanaume wengi (si wote) ni genital...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ananivutia sana why? Je, mwili hufaidi kitu gani unapojihusisha na mapenzi? Mwili kawaida hutoa kiasi fulani cha kemikali ambazo hufanya ujisikie vizuri ukiwa kwenye mapenzi. Hii husaidia wewe...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna men tulikua tunapendena sana, ghafla akaniambia mi naona tuache kwanza kwa sasa maana mimi bado sijajiweka vizuri kimaisha kama imepangwa time will tellna aliniambia tu kwenye simu...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Habari zenu waungwa, Nna jambo langu linaninyima usingizi, Kuna Mpenzi wangu wazamani sana nilidhani alikua ananipenda lakini nimegundua hanipendi au ananitumia tu nilikua nae kwa mda wa miaka 8...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Salama iko wana JF? Nina jambo kidogo linanitatiza katika karne hii ya utandawazi.. Kuna hii issue ya mahusiano yaliyopo sasa.... Ukijaribu kuuliza mabinti issue ya kuoa na kuolewa utasikia...
6 Reactions
56 Replies
4K Views
Tabasamu Tabasamu ni njia rahisi isiyo na gharama ya kubadilisha mwonekano wako. Tabasamu ni kitu gani? Tabasamu ni dirisha linaloonesha nini kilichopo ndani ya moyo wa mtu, ni kitu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
tatizo la umeme na bado wananchi wapo kimya ni uoga au ndio kupenda amani?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom