Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kuku wa ndimu mtamu Kwa huyo ninayo hamu Sitaki kula kwa zamu Nile niishe utamu! Kuku wa ndimu mtamu Simhitaji mwalimu Nile bila kulaumu Nimle kuku wa ndimu! Kuku wa ndimu mtamu Kakaangwa...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Kwetu uswahilini, kwenu ushuani. Kwetu kitambi dili, kila mtu anajua una hela. Kila msichana atataka kuwa na wewe. Kwenukitambi kero na udhia, eti mnalipa mahela kibao jim kukiondoa. Kwetu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Waheshimiwa Wana JF, Mimi Naomba msaada wenu wa Ushauri ili niondokane na hii hali ya utumwa wa kupenda. Kuna mtoto mmoja wa kichaga simuelewi nini lengo lake! Nilikuwa na mahusiano naye toka...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Kwanza nianze kwa kuwatakia Mwaka mpya 2011 uwe wa fanaka na mafanikio. Kwangu Mwaka uliyopita ulikuwa na changamoto nyingi sana ila nashukuru Mungu kwa yote. Leo nitapenda zungumzia silaha...
0 Reactions
84 Replies
8K Views
Waungwana natumai mko salama, Mimi nina tatizo moja ambalo nafikiri kwa sasa limeniweka kwenye kona kali sana. Mwaka 2004 november nilikutana na binti mmoja wakitanga msambaa tukawa tumependana...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamani mimi nampenda lakini chakushangaza simjui lakini kila mara mawazo yanakuwa juu yake nini suruhisho lake??
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Ningependa kufahamu ni sababu gani ambayo inaongoza kwa couple nyingi kuvunjika? kwani niliyoyashuhudia yanaweza kuwa ya kufungia mwaka.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mkeo kaacha simu yake ya mkononi wakati akiwa bafuni anaoga na kasha kuaga kuwa anaenda kitchen party. Mara simu inalia na unaamua kuipokea. Unasoma jina ni la Rais wa nchi yako. Hauamini...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu, mimi nina Girlfriend wangu tumekuwa pamoja kwa muda wa mwaka mmoja sasa. ki ukweli nimetokea kumpenda sana binti huyu hasa kutokana na uhusiano wetu na jinsi nilivomkuta...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Mie nikiona kwapa la mwanamke huwa napata taswira ya kiungo chake cha uzazi. Yaani huwa napata hisia na kuumba picha yake akiwa uchi. Nikiona kale kajasho kanatiririka, mie hoi...Binafsi nashauri...
0 Reactions
56 Replies
7K Views
Heri ya mwaka mpya. Naelewa wana JF wote ni watu safi kila mtu ana MPENZI wake mmoja tu na wengine hawana kabisa. Lakini unamshaurije mtu ambae atapigiwa simu na mpenzi wa nje wakati yupo na...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Jamani mnaukumbuka mwanzo!! This is a beautiful point of reference. Unakumbuka ulipokutana na mwenzako mara ya kwanza? Unakumbuka ilikuwa ni maeneo gani? Unakumbuka ni nini ulimwambia? Zile...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Nadhani Hapa watu huwa wanasamehe kwa maneno lakini kinyongo kinakuwepo …….. Ukweli ni kwamba Things Will Never Be The Same Again. Relationship Needs Trust na kuaminiana kutakuwa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Wana JF, Mimi kwa fani ni daktari bingwa wa magonjwa ya binadamu Internal Medicine; nimeona nitumie wasaa huu kuwakumbusha au kuwashauri baadhi ya watu hususani dada zetu kwamba ni haki ya watoto...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu, na heri ya mwaka mpya 2011!!!! Tambueni kuwa tunawapenda sana!!Nawatakia kila la heri kwenye maisha yenu ndani ya 2011. Kwa akina dada walio ndani ya ndoa, Mungu awabariki na...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Hadi mwaka unaisha nashikilia hii identity mwaka 2011 nataka kuachana nayo wana jf naomba mnipe experience ya huko niendako pia nakaribisha maombi kwa wale opp sex walio single twaweza fanya...
0 Reactions
82 Replies
6K Views
Mm natarajia kuhtim masomo yangu kwenye chuo kimojawapo hapa tanzania, lakini akilini mwangu nina mawazo makuu mawili; kupata ajira na kuoa. Nimemweleza mpenzi wangu kuhusu mipango ya harusi yangu...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kuna uwezekano 2010 ulikwa mwaka mzuri sana kwako kimapenzi, HONGERA ulimfanyia mpenzi wako jambo jema sana.Lakini pia kuna uwezekano uliteleza na ukafanya usichokipenda au kutarajia .Kwa tafakari...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
UTAFANYEJE YAKIKUKUTA HAYA MAMBO HAPA CHINI? 1. Umeoa mke, na umezaa naye watoto watano, wengine wako shule ya msingi wengine chekechea 2. una tabia ya ulevi kila mtu mtaani anakujua. 3...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Samahani sana wana jf, naomba mnipe ukweli kuhusu hawa madada zetu wenye fani za unesi. Nasikia hawa watu ndo wa kwanza katika kusaliti ndoa zao kwa kutembea na madaktari wanapokuwa kwenye...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom