Kichwa cha habari kinajieleza.
Kuna uzi mmoja leo kuna mdau kanishauri nianzishe uzi wa nasaha na ushauri kuhusu jamii hususan ya mahusiano.
Nimelipenda wazo lake na nimefungua huu uzi ambao...
Halaaaaaa!!! Unajua asilimia kubwa ya wanaume huwa tunadanganyana sana kuhusu mwanamke bikra wengi tunadanganyana kuwa bikra ni waaminifu tunadanganyana kuwa bikra hawezi kukuacha tunadanganyana...
Isi unavyoweza, kutokana na ndoa kuwa ngumu kila dume lililopo kwenye ndoa kulalamika ooh namuhudumia lakini haniheshimu ananisaliti nk sasa kwangu nimekuja na mfumo wa fo4 fo4 two huu mfumo...
UMEWAHI KUWA NA RAFIKI AMBAYE UKIONA TU SIMU YAKE UNAJUA NI YA SHIDA.
Taarifa mbaya kuhusu watu hao ni kuwa sio marafiki bali wanakutumia tu kwa maslahi yao mapana.
SIFA ZA WATU HAO
1.Wakiwa...
Mpaka sasa najuta sana kulisikia neno "TANESCO" masikioni mwangu. Basi bhana! Mida ya saa 12 niliwasili hapa Ubungo kwenye hii fly over ya Kijazi, pembezoni mwa jengo la mitambo ya umeme
Nikiwa...
Hawa viumbe wana shida ndugu zanguni. Muda huu tumetoka kuachana njia, yeye kaelekea kazini kwake na mimi naelekea mahali nikabadili hii suti yangu ili nivae vikali vyangu vya kutembezea nguo za...
Twende kwenye kisa:
Mwaka 2022 mwezi September kuna binti nilivutiwa naye kutokana na kuwa na sura yenye nuru na tabasamu, shape 8 na trako la kwenda likiwa na tabia mbaya ya kunesa nesa...
Mwanaume kavutiwa na wewe, karusha ndoano, umekubali. Usiku huo huo unaanza mizinga, naomba 150,000/- mama mdogo ana fibroid anatakiwa upasuaji. Kwa shingo upande unampa.
Baada ya siku mbili...
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari tajwa,
Niende kwenye mada isemayo utapeli wa mapenzi unafanyika siku ya Valentine Day.
Kama mjuavyo mwezi huu wa pili tar 14 Huwa ni siku ya...
Wakuu mko poa?
Miaka kadhaa ilopita mtaani kwetu huko mkoani tulipata Ugeni. Familia Bora kabisa ilihamia Mjini pale. mbali na Hayo familia Ile ilikuja na Zawadi! Zawadi Adhimu ambayo kila...
Habari za wakati huu
Moja kwa moja niende kwenye mada husika maana huu uzi nitaleta na utajumuisha matukio mbalimbali kwenye maisha yetu ya ndoa.
Moderators msiuchanganye wala kubadilisha title...
- Kuna watu hata wateswe mara ngapi na mapenzi, hata waachwe mara ngapi, wao kila siku wanapenda tena watu wapya.
- Kuna wengine, hawawezi kuishi bila kufanya mapenzi na (hawajaoa wala kuolewa)...
Wakuu habari za blue monday!
Labda niulize swali,hivi watoto wa kike karne hii ya 21 wanazaliwa wakiwa hawana "seal" au mambo ya tabia nchi yanafanya ziondoke zenyewe?
Maana kwakweli nilishahaso...
IKiwa ni wiki ya kumbukizi ya siku ya wapendanao, hivyo naomba kwa ufupi zawadi ya kumpa mrembo wangu ( penzi jipya). Karibuni maoni na mapendekezo yako ni muhimu
nb: penzi jipya mambo yasiwe mengi😊
Binti kaolewa wiki mbili zilizopita na anaweka kabisa status picha za harusi, mumewe n.k ila huwezi amini ninachochat naye hapa sasa hivi, na si ajabu weekend hii nikaenda mla.
Aibu naona mimi...
Kuna muda mdada anatumia mbinu za kivita kumtega tajiri kihisia ili amnase. Na akimnasa anatumia njia za Cuba kumuweka tajiri kwapani.
Ikitokea mdada kadaka ujauzito wa tajiri hutamani kumzalia...
Habari!
Kuna mambo ya ajabu yanazidi kutokea na jamii inaendelea kupigia makofi na shangwe kwa huu upuuzi.
Hakuna kitu kina shangaza hivi sasa kwa mwanaume kulilia mapenzi hadharani kabisa. Kama...
NDOTO YA MARRY TODD LINCOLN
Marry Todd alipokuwa na miaka 18 alimwambia baba yake ndoto yake kubwa ya kuwa mke wa raisi wa marekani lakini baba yake alimjibu
"marry mbona una tamaa hivyo...
Hawa wanawake kwa kweli nimewapa nyota tatu za jeshi.
Dada mmoja wiki tofauti kaja dukani kanunua simu tofauti ambazo ni iPhone 14 na Samsung S23, zote hizo ni wanaume wawili tofauti, mmoja...
Mu hali gani Wana JF? Natumai mnaendelea vyema na pilka pilka za kuijenga nchi yenu ya Tanzania.Huku Kenya vyuma vimekaza Sana nawaza kuhamia huko Tz kwahyo naomba mniambie sehemu nzuri ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.