By Kabakura Jean Bosco Ceusi
Orgasm is the peak of sexual arousal, which culminates into ejaculation in men. Therefore, men or even their sexual partners may be aware it has happened. Only a few...
Kama mpenzi wako wa kike hajawahi kukununulia kitu chochote chenye thamani, au kukulipia bili yoyote katika harakati zako za kimaisha, au kukusaidia katika mchango wowote katika majukumu yako ya...
wakuu ni Adje.
Mechi ya South Africa na Nigeria tulikuwa tunacheki mshkaj wetu mmoja akawa kuna demu anamfukuzia, sasa mpaka usiku mrefu anachat nae akawa anatuambia demu anasema yupo na mtu...
Jua kali mida ya mchana kuelekea al asiri, mwamba mmoja anaonekana akiongea na simu yake ya mkononi,na hakika amezama hasa katika maongezi yake.
Wazee wa Cuba huwa hatukawii kung'amua kwamba kuna...
Mwanamke ameajiriwa taasisi binafsi, anaingia saa moja asubuhi anatoka saa kumi na dk 40 jioni, akirudi nyumbani mume anataka apikiwe, mpaka afike kwake ni saa kumi na mbili jioni akirudi apike...
Natumaini mko salama
Huu msemo unazidi kushika kasi sana mitaani, nimekuwa nikisikia wadada wengi nyakati tofauti tofauti wakidai hawapendi mwanaume mweupe.
Kwa maana nyingine wanatuaminisha...
Wakuu niwastue au niwaache? Jpl ya leo mnapgaje huko yanga na prisons kule fainal ya afcon.
Narudia tena maskini ndo huwa wanaamin ukiwa na hela basi huitaji mahusiano tena au uktafuta hela bs...
Ulianza kufanya mapenzi ukiwa na miaka mingapi?
Binafsi nilikuwa kidato cha kwanza mwezi wa 12 nikiwa na miaka 15 ,
ilikuwa kama utani hivi kuna demu mmoja alikuwa jirani yetu ni mkubwa kiumri na...
Ndugu wanajamii nawatakia heri ya Christmas na maandalizi ya mwaka mpya.
Kuhusu mada hapo juu, nipo kwenye mahusiano (sijui kweli au geresha) na mdada matured kama mimi kwa karibu mwaka na zaidi...
Habarini wakuu, teknolojia inazidi kukua kila uchao. Hivyo inatuwezesha watumiaji wake kuwekeza pesa kiduchu ili kupata matokeo makubwa
Twende kwenye mada. Naweza tumia kamera ya simu ipi kupata...
Mwanadada Mentor Cherry, amewahasa wanawake wenzake kutovumilia usaliti kwenye ndoa kwa kigezo cha kwamba Mwanaume hatosheki.
"Kumekuwa na maneno ya kuwa Mwanaume hatosheki na Mwanamke mmoja n.k...
Huyu msanii anaitwa yammi mpelekeeni mauwa yake kutoka kwangu.
Nilikua kwa mchepuko, baada ya game nimeenda kuoga yeye anarekebisha mambo si akaweka huu wimbo, nikawasha shazam ikaudaka unaitwa...
Ni ngumu Mwanaume kula hela ya mwanamke Ila Kuna nyakati nafasi inapatikana ushauri ukipata hiyo nafasi we kula pesa.
Kuna wanawake wenye pesa Ila kichwani sifuri wengi wapo mijini hawa ni kula...
Huwa tunachati mpaka sawa tano usiku, ila cha kushangaza saa moja jioni naona meseji ya usiku mwema. Sikujibu ila nilimpigia simu haipatikani.
Leo sijamtafuta naye hajanitafuta
Simu yake imeharibika halafu akasema atarekebisha juujuu ili akambambikie mtu mwingine. Nikamuacha mara moja.
Mwingine namuuliza kitu gani unachokipenda maishani akanijibu yeye anataka avae na...
Nadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu. Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda la kati kati ni tamu ila madhara yake ndio...
Ndugu wana jf, baby wangu mpya ananipa changamoto sana ila anafanya na tumia akili kubwa sana,
Sihitaji hasira wala kuchukia chukia japo wakati mwingine akiwa anakonyeza konyeza najikuta moyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.