Anakwambia mnaendana eehn? Mnapendana eehn? Anakwambia mume wake hamfikishi na pia kibamia na hajui mambo, na wewe pekee ndio unamuwezea sio.
Vipi ni mtamu eeeehn? Anasema mume wake hana makeke...
Yaani mtu ni mzee amekosa wakukumbushia mabifu yenu sasa mnakuja kunitafuta, niacheni. Nimechoka na kama mtu anadai nawazibiia rizikii sijaja kuwafuata madanga yenu.
Msinichoshe si jf tu ndio...
Hello Jf ,
I hope nyie ni wazima mie mzima pia .
Due to circumstances fulani ikiwemo watoto na familia kwa ujumla kuwalisha,kuwatafutia vitu vingi mie nimeamua kutoka humu.
Mie sintokuwa humu...
Wanawake Mungu anawaona unakuta kadada kana sura na muonekano wa kilokole, thubutu !!! Kachatishe Whatsapp au normal text ndio utajua wanawake ni mashetani yaliojificha kwenye miili ya watu...
Dokta Greyson Babishomba, akiwa anafanya mahojiano na Kituo cha Redio cha Times Fm, amesema kuwa tabia ya kutembea peku bila ya kuvaa viatu huongeza nguvu za kiume.
ANGALIA VIDEO HAPA
Nini...
Kila kukicha kundi moja linalaumu kundi jingine.
Eeeehh mara hivi mara vile.
Dawa ni kila mmoja abaki na kitu chake anachoona ni cha thamani.
Mapenzi zama hizi hayana faida . Mambo ya kugeuzana...
Unaweza ukajipa moyo kwamba waliachana kwa ugomvi na pengine baba wa mtoto hakutoa chochote tangu asikie mwanamke kapata mimba, waweza kudhani jamaa ndio basi tena kahsribu hawezi kuwa tatizo...
NIMEMALIZA MWAKA HUU KWA KUPATA MTOTO WA KIUME; HUU NI MUHTASARI WA SAFARI TANGU MWEZI FEBRUARI MWAKA HUU.
Anàandika, Robert Heriel
Shahidi
Andiko hili liwe tumaini kwa waliokata tamaa. Liwe...
Naona kabisa ndoa haina ahueni yoyote, migogoro haiishi na chanzo kikubwa ni ubishi na kiburi cha mke wangu na pia baba mkwe anaongea sana maneno ya kumjaza kiburi bintiye, hilo ndio linapeleka...
Naombeni ushauri wakuu.
Leo pia nimeahirisha jaribio langu la kutaka kuingia kwenye mahusiano, hii ikiwa ni mara yangu ya nne sasa, na hiki ndio hupelekea mimi kukumbana na hali hii.
👉Msichana...
Ukomavu wa utu uzima unaanza mtu akifikisha miaka 20. Utu uzima unaanza akifikisha miaka 13. Kimsingi mwenyezi Mungu hatambui kitu mnachokiita Teenagers/Adolescents au foolishage. Miaka 13~19 ni...
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na Video ya muhenga akitoa ushauri kwa vijana kuhusu Mke wa kuoa.
Muhenga huyu moja ya sharti alilotupa vijana ni kutooa Mwanamke mwenye Vidole...
Habari ndugu zangu,
Ni wepesi kukupa picha ila ni wazito kukupa hela hatakama umeishiwa mafuta ya gari porini watakuacha uliwe na wanyama wakali. Wahenga walienda mbali sana wakasema wanawake...
Dokta Greyson Babishomba akiwa anafanya mahojiano na Kituo cha Redio Times Fm, amesema kuwa tabia ya wanaume kula wakati wanachezea simu zao hupelekea tatizo la nguvu za kiume.
ANGALIA VIDEO HAPA...
Huyu wa leo ni mdada wa tano ndani ya week kama tatu hivi. Amekataa katakata kutumia ndom tukiwa naye faragha!
Hivi hili wimbi la ongezeko la kinadada au Wanawake kutopenda kutumia kondom wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.