Hivi ni lazima uwe na mwanaume kila saa akuridhishe maana hili nalo neno kwa maana humu wengi wanadai kufanya mapenzi eti nilazima .
Wajuzi ambao mnazini kila daily tujulisheni umuhimu wa...
Dah! Sio kwamba tunashindwa la hasha! Ni kwa vile tu uchumi umeshuka, hasahasa ninyi mnaojieka ki baby Zuu, inafikia hatua tunajiuliza kuwa endapo tutawarushia nyavu, tutakuwa tayari kukabiliana...
Unaambiwa "Kua Uyaone". Siku hizi replies zimeanza kuwa Smart sana. Baada ya kufuatilia kwa kina ndipo nikagundua kuwa kuna watu wanalinda mapenzi, mahusiano ama ndoa zao, unaambiwa nowdays si...
Leo nataka niwape faida ya karafuu katika kuchelewa kufika kilele kwa lisaa1hadi lisaa 1:30 mpaka massa 2:00 kama unapumzi ya kutosha.
Chukua karafuu kijiko kidogo cha chai ponda upate unga wake...
Wiki iliyopita nilikuwa kwenye daladala za makumbusho nawasiliano tukawa tumekaa na dada mmoja hivi jina aliniambia anaitwa Cathy
Huyu dada cathy sio siri alikuwa mzuri sana na nilijiapiza japo...
Kuna mambo ukisimulia watu wanaweza wasiamini ila yapo. Nimetafakari sana kuhusu kusaidia kuolewa kwa wanawake. Nimekuwa nikikutana na wanawake wengi tunajadili maisha hasa sehemu za ulabu...
Manipulation is to control or play upon by hurtful, unfair, or insidious means especially to one's own advantage.
Sikatai hii ni sehemu ya driving force ya ulimwengu huu ili mambo yaende.
Ila...
Nina shida ndugu zanguni. Nimepumzisha akili vya kutosha, nimepata wazo la kuoa. Ili moyo wangu usuuzike, unahitaji mwanamke bikra
Huku duniani hali ni dhofrihali! Mbususu zinachakatwa na...
Wakuu,
Tangu xmass sijafungua kabisa Duka langu, niliamua kujipa mapumziko ya hiari mpaka sikukuu zote za xmass na mwaka mpya zipite ndo ntaendelea na biashara.
Siku ya Jana tulikua na miadi ya...
Habari WanaJamiiforums, Poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝, Imekuwa kawaida Wanawake kulalamika kwamba wanaume hawaangalii wala kutilia mkazo kikamilifu kuhusu shida zao. Lakini ukweli ni kwamba...
Mpendwa taja kila kitu, kwa mfano...
Urefu wake, rangi yake, lugha yake, elimu yake, wadhifa wake kazini, mwenye dimples, utu wake, hobbies zake, maadili yake, umri wake, nk.
Hayo utakayoyataja...
Kuna dini moja inamwabudu mwanamke bikira, alizaa mtoto zaidi ya mmoja, lakini bado wanamuita bikira mtakatifu mama wa Mungu.
Dini nyingi wanaamini kwamba peponi ukifika unapewa wanawake bikira...
I have come to realize that marriage is not for everyone, and I have accepted that it may not be the right path for me. After going through multiple relationships and experiencing heartbreak, I...
Rejea kichwa Cha habari hapo juu Kuna Dem nimemfukuzia kama mwezi Moja hivi ila alichonijibu et Mimi Nina pigo za kichungaji
Kiukweli Mimi sio mchungaji wala Nini ila sijajua kajifikiria nini...
Hii kitu inanishangaza sana, nipo mkoa X ambapo ndipo makazi yakudumu yalipo ila sikai sana sababu ya kazi zangu, lakini ninakutana na mambo ambayo nadhan yanasababishwa na mabadiliko ya tabia ya...
Wapo watu akiwamo mgombea urais wa Kenya William Ruto kutetea kwamba hakuna haja ya kutahiri sababu ndivyo tulivyoumbwa
Mkono wa sweta na condom ni sawa na kutumia mafuta ya kujipaka mwilini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.