Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nakumbuka kuna wetu walikamia safari ya Dom hadi wanataka kutoana macho... Tulijitahidi kuwapoza na kuwapatia ushauri (kama kawaida ya wazee...ama kweli uzee dawa) ili mambo yaende salama. Sasa...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Kuna simulizi zinasema kwamba zamani wazee wa Kichaga walikuwa hawamtoi binti mpaka mume mtarajiwa atoe Toyota Stout. Hivi habari hizi ni za kweli?
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Mwanaume kumuwekea mkewe walinzi akiwa safarini ni sawa? Mf. Wafanyakazi wa hotel, wafanyakazi wenzake, nk
0 Reactions
20 Replies
2K Views
People say there is no difference between COMPLETE & FINISH... But there is. When u marry the right one, you are COMPLETE.... And when u marry the wrong one, you are FINISHED..... And when the...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Habarini za mchana waungwana wa JF, leo nimelileta hili mezani ili tujadili maana watu wanakaangika katika jamii yetu. Hivi jamani inapotokea wazazi wako wamekulazimisha kuoa au kuolewa na mtu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima zenu wote wana JF. Hii ni story ya kweli. Jamani naomba ushauri kwa sababu mwenzenu nimechanganyikiwa. Nina mchumba wangu ambaye nimefahamiana takribani miaka miwil sasa. Miezi sita...
0 Reactions
61 Replies
8K Views
Mwenyezi mungu awatangulie katika sherehe hii njema .. Mialiko tushapata pia karibuni kwangu Pilau supu kasoro wale wanaopeleka maji ya TBL kinywaji chenu hakitakuwepo ,soda na juice kwa wingi
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Huyu mshkaji vipi? Eti anampigia demu wangu simu,fuatilia mazungumzo kwa ufupi:- Jamaa:shem samahani na maongezi nawe? baby: poa mda gani shem? jamaa:nambie mda gani utakuwa free wewe? baby: mie...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Ndugu wanaJamii. Natambulisha kwenu hii blog mpya ya mapenzi, michezo na mambo ya kijamii. Lengo la mtandao huu ni kutoa huduma ya elemi kwa wapenzi na wanandoa pamoja na mambo mengine yanayohusu...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
<a href="http://c.casalemedia.com/c?s=50976&f=2&id=6103547808.079379" target="_blank"><img...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi hii dhana kwamba mwanaume ili amridhishe mwanamke kimapenzi ni lazima awe na bunduki kubwa ilitoka wapi?Au ni kweli wenye bunduki ndogo hawawaridhishi ndo mkaanza kulalama mkawapa dili...
0 Reactions
80 Replies
7K Views
Wewe kama mwanadamu unadhani siku tukidetiana ungefurahi nikikufanyia nini??
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Problems of Getting Lump Sum PENSION
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tarehe ya kwenye kadi ilikuwa jana 12-11-2010 lakini bado yani hata sisikiii chochote halafu nimevimba kama kiboko! Shida ni nini jamani wenye uzoefu nisaidieni basi. Jana nimeenda...
0 Reactions
84 Replies
10K Views
Hivi inawezekana kweli watu wakafahamiana kupitia Internet, kisha wakaelewana mpaka wakaonana, na wakapendana mpaka wakaoana? Inawezekana?
0 Reactions
32 Replies
4K Views
  • Closed
Kama takwimu nyingi ndani ya familia nyingi mahouse girl wamevunja ndoa nyingi je wanakua watamu kuliko mke au ndo chovyachovya ya baba?
0 Reactions
64 Replies
14K Views
Jamani mimi nina Demu mmoja nilikutanishwa naye kwenye maswala ya bihashara ila wakati huo nilikuwa na interest na huyo aliye nipeleka Baada ya kukutana na huyo Demu nimzuri biashara ikafanyika na...
0 Reactions
45 Replies
7K Views
Ukimpeleka mwanamke hospitali kujifungua, kuna ambao wanaambiwa kuwa inabidi wapigwe bomba. Hii kupigwa bomba ndiyo kitu gani tena??
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Kwenye ndoa kuna vibweka sana,ndoa ikiwa haina mtoto utasikia ooh ndoa haijajibu,mara mwanaume hajui shughuli,mara mawifi nao wanakuja juu wakidai wifi yao mgumba,mara mashemeji nao wanakuja juu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ukiwa unatafuta mpenzi mara niyingi utumia mda mwingi gharama kumtafuta huyo unayempenda lakini inakuwaje ukisha mpata unatoka nje wakati ulitumia gharama nyingi?umemwacha ndani na unaenda nyumba...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom