Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Hivi kwa upande wa akina dada inatokea na wao wakamtazama kijana na kumtamani kimapenzi kama wanaume itutokeapo?Mfano unaona makalio au mguu au kifua ukastukia mwili unasisimkwa,je na akina dada...
0 Reactions
88 Replies
7K Views
Itakuwa vyema kama wana JF tutaanzisha dating hapa jukwaani, itasaidia watu kuelewana zaidi, wenye bahati zao wanaweza kujipatia wachumba. Ni maoni tu!
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Je ni nani mwenye makosa,je ni mume anaetambua kabisa yeye ni mume wa mtu anaekwenda kumtongoza mke wa mtu na kwenda kuvuana nguo au ni mke wa mtu anaetambua yeye ni mke wa mtu aliyelipiwa ng'ombe...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Eeeeh hivi wengine wakiwa kwenye mavituz wanaanza kuwaita mama zao mama.....mama....oooh ....mama ....mama Duh hii kali
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hivi ukiwa na mpenzi wako mpokwenye vituz lakini ukastukia anajifanya anakosea njia utamfanya nini??na ukamwuliza akakueleza plse kiduchu!utamfanyeje?Nando unampenda!!
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hivi nauliza mwanamke/mwanaume yupi ambae anatamanisha kimapenzi au kutaka kuwa nae
0 Reactions
62 Replies
7K Views
mi mwanamume, nina wivu ile mbaya kwa mpenzi wangu ,kibaya zaidi yuko mwanza mi niko bukoba kikazi nifanyeje?hii wivu itaniua jamani kwani muda mwingi namuwaza yeye
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ni rafiki yangu kipenzi sana, alikuwa na matatizo ya kumtosha na mume wake, mume alipata hawara akamfanya kama mke wa pili, kamjengea, kamfungulia biashara nzuri, yaani ni kama mke mdogo, wamezaa...
0 Reactions
257 Replies
16K Views
Viruka njia husemwa sana, Lakini hao hao viruka njia hufuatwa na wanaume wengi na hawakosi wanaume kabisa, Leo huyu, kesho yule....... Hivi wanamvuto sana au ni uchawi wanatumia kuwanasa hawa...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Mimi ni mdada wa miaka 26 nakaa USA, nimekuwa sina bahati kabisa kupata kaka wa kitanzania huku USA ambae naweza kuna kwenye relationship naye zaidi hata ya miezi sita. Yaani huwa baada hata ya...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Katika siku za karibuni tulikuwa ktka maongezi vijana wenzangu kadhaa me na ke mchanganyiko. Katika kuchangia mojawapo ya hoja nikasema "Siwezi kuwa na nyumba ndogo wakati mke wangu nampenda na...
0 Reactions
393 Replies
23K Views
If you love someone write their name in a circle not a heart, because hearts can break but circles go on forever :cool:
0 Reactions
2 Replies
765 Views
Moja ya makosa wapendanao hulifanya ni kutaka kumbadilisha mwenzi wako kutoka tabia aliyonayo awe kama vakavyo,for your imformation hakuna binadamu mwenye uwezo wa kumbadilisha binadamu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ipi ni sababu sahihi ya kufanya mapenzi (tendo la ndoa)? 1. Kufanya mapenzi ili kuonyesha upendo kwa mpendwa wako 2. Kufanya mapenzi ili uzae (kupata watoto) 3. Kufanya mapenzi ili...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Jamani naona wanawake wengi wanalalamika kuwa njia zao za uzazi sometimes ni ndogo, eti wafanye mazoezi, eti kwsbb ni mtoto wa kwanza, nk hivi vina ukweli kwa almost 20%, ila ukitaka upata mtoto...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Baadhi ya warembo wa bongo huamua kuachana na wapenzi wao mara tu wanapopata umaarufu. Baada ya hapo huanza kujilengesha kwa watu maarufu na wazungu ambao nao wana mademu lukuki. Ndio maana kila...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi ni kwanini wanaume kibao wanapenda machanguodoa kuna nini huko jamani na UKIMWI huu!!!!
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Je, unafurahia cheche au msuguano?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Fikiri kwamba wewe ni dada mkali unalipa mbaya,umeolewa na kijana handsome ana mihela ya kufa mtu,siku moja unatoka kwenye mizunguko yako town,unapaki gari unamkuta mumeo anamegwa tigo tena na...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Back
Top Bottom