Like any other failure in life, a failed marriage is a treasure trove of lessons that molds us into becoming the better version of ourselves.
Although heartbreaking, it is always a good idea to...
Huwa nachukizwa sana na wanawake ambao katikati ya mechi anakuomba uvue Condom
Weekend iliyopita nilikua na manzi flani Lodge sasa mzee mzima wakati nipo round ya tatu manzi akaniomba nivue...
Huwa nakanganyikiwa pale ninaposikia mtu anasema mwanamke fulani bado kigoli kabisa kiukweli sielewi hapa anazungumziwa mwanamke wa namna gani. Je mwanamke kigoli anamzidi nini mwanamke mwingine...
Nawaombeni kwanza ncheke[emoji23][emoji23]
Unakutana na wapenzi ambao wamekwisha jiwekea ratiba ya kukutana kila siku mida ya saa 1 mahali X
Hivi ninyi watu huwa mnaongea nini...
Muda huu niko hapa Saluni nikiwa nachekwa na watoto wazuri kwa kufanana na Chifu Maleale kichwani. Nusu ya kichwa upande wa mbele kuna nywele, ila nusu ya kichwa upande wa nyuma ni empty set i.e...
Hii hali naona kama imeanza Marekani, baadhi ya wanawake Wa Marekani kule mtandaoni K.v TikTok na insta wanalalamika Kuwa wanaume wengi hawatongozi tena, rate ya wanaume kutongoza miaka hii...
Salute,
Kwa vijana wote specifically wa kiume waliozaliwa mwaka 1990s ambao wanataka kuingia maisha ya ndoa. Basi wajitatahidi sana kuzingatia mambo haya wakati wanapochagua wenzi wao wa maisha...
Nina dozi ya malaria plus joto la huu mji lakini waaap! mchumba ananisaidia harakati za hapa na pale nimejikuta tu nimeshaweka kamba 2 na homa imepoa kimtindo baada ya kuvuja jasho la kutosha...
Habari wadau.
Ukweli maisha ya kisasa sio rafiki kabisa kwa dada zangu ama wanawake wote.
Wanawake wana biological age tofauti na wanaume.
Dada zangu wanamaliza elimu mapema wakiwa ealy 20s...
Hello guys,
Kama kawaida yangu mm ni mtu wa nightclubs ifikapo weekend, sasa kama mjuavyo ndani ya club kuna wadada wa aina mbili, wanaojiuza na wale wasiojiuza (ambao wamekuja club ku-relax)...
Mwaka 2018 nilimchumbia Mischana mmoja na nikafanikiwa kulipa mahari lakini baada ya muda nikasikia kuwa Kuna MWALIMU ameshatoa mahari na tarehe ya harusi imeshapangwa.
Nikafuatilia ili kujua...
Habari wana JF,Poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝.
Nimekuwa nikijiuliza kama ni kweli mwanamke anaweza kusahau kabisa "EX" wake, hasa anapopata nafasi ya kukutana naye tena. Nimegundua kwamba...
Wakuu kwema?
Aisee mwaka jana january 26 2022 nilikua nimeenda kariakoo na demu wangu mmoja mtoto wa kishua kufanya shopping maana nilikua nimehamia geto miezi miwili nyuma so sikua na mapazia ...
Kuna kitu huwa nakiepuka sana! Kuvaa nguo zenye maandishi na michoro nisiyojua maana wala tafsiri yake.. Kwakuwa huwezi jua umevaa kitu kilichoandikwa nini na tafsiri yake ninini
Lakini zamani...
Mara nyingine unaweza sema mtu anamtania mwenzake lakini clearly unakuta jamaa liko serious kabisa linadondokea kwa id inayoonesha ni ya KE.
Sasa sijui ni mchezo wa kubahatisha kama anaweza...
Nina miaka kadhaa kwenye mahusiano na ndoa, nina watoto pia. Lakini sijawahi kulala kitanda kimoja sijui shuka moja na mke.
Bahati mbaya ukimhadithia mtu kwamba haulali kitanda kitanda kimoja mke...
Mwenzenu ninapendwa japo sipatiwi tendo la ndoa. Naimani asilimia mia kuwa ninapendwa. Maana huyu mwanamke huufurahia sana uwepo wangu, huvutiwa na ucheshi wangu, hunitamka mara kwa mara mdomoni...
Nimekuwa kwenye mahusiano na dada mmoja, kwa zaidi ya mwaka sasa, amekuwa na tatizo la kupata ujauzito kwenye ndoa yake kwa zaidi ya miaka mnne ya ndoa, na amekuwa akiniomba nimsaidie kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.