Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna wanawake wanasema ooh "mimi siwezi kumfulia, kumpikia, kumfanyia usafi mwanaume kabla hajanioa" Na hapo wanafanya tendo la ndoa bila kufunga ndoa!🤔 Vitu vingine vinachekesha🤣🤣
3 Reactions
7 Replies
501 Views
Kweli Dunia inaenda kasi Na Inapata Watu wapya kila siku na Wengine wanasepa kila leo!! Kero kubwa ambayo inaboa kila uchwao kwa kizazi hiki ni Mwanaume KULIA.. Inatafsiriwa kuwa mwanaume ni mtu...
7 Reactions
43 Replies
1K Views
Wanawake sasaivi wanataka P Bundle, yani Mwanamke akiingia Period apewe mazaga kama sehemu ya kumpooza siku zake.
2 Reactions
13 Replies
574 Views
Nina mchumba angu tulipanga mwezi wa tatu niende kwao nikajitambulishe ila kuna kosa analifanya hajataka kubadlika. Mwezi wa tisa alichat na mhuni nikamkanya na alilia sana wakati anaomba...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Huyu Mwanamke anasema kuwa alitoa Mbususu na akamuwekea madawa Mchizi ili Rungubesh lisizi. ANGALIA VIDEO HAPA SIJUI KAMA ANA WAZAZI HUYU
9 Reactions
13 Replies
2K Views
Mtaalamu wa ufahamu wa majina, Shekhie Mussa ametaja baadhi ya majina wanaopenda sana kufanya mapenzi, akisema kupenda kwao sana tendo hilo ni afya. Akataja watu wenye majina yanayoanza na herufi...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari Wakuu, twende moja kwa moja kwenye heading hapo. Wanawake kwa wanaume je, kuna ukweli wowote au uhusiano wa nyonga kwa mwanamke na kufika kileleni wakati wa tendo?
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau hawa viumbe huwa wanapatwa na nin..au ndo hormones maana sielewi. Si mchezo wadau. Kawa mkorofi balaa. Kila kitu hataki hasira toka asubuh hadi jioni. Hizi mambo kwel hazichagui...
5 Reactions
38 Replies
1K Views
Based on true story/ based on experience. Kama ilivyo kwa wanaume wenye vibamia na ma tango, the same kwa wanawake, ni suala la ki maumbile zaidi na kukiko kimazingira period.
5 Reactions
6 Replies
775 Views
Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini. Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana...
27 Reactions
273 Replies
11K Views
.
10 Reactions
144 Replies
5K Views
Wakuu nawasalim za muda huu, lakin pia pole kwa wale wenye changamoto znazowakabili. Niend kweny mada kuna bibi mmoja hivi mwaka juzi alikua ananielez jinsi ya kuishi na mwanamke pamoj na...
3 Reactions
5 Replies
557 Views
MWANAMKE MWENYE MAKELELE Tarehe 9/10/2021 nipo stendi ya mabasi Iringa, nimekaa karibu na wakatisha tiketi za mabasi waliokuwa wakifanya mazungumzo yao, na katika mazungumzo yale ninawasikia...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari jamii forum,hope mu wazima mpaka mme log in humu basi mambo ni yente. Bila kupepesa macho kisa kipo hivi, Mwanzoni mwa mwezi wa kumi na moja mwaka huu 2023 nilikuwa natoka job,nikiwa...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari wakuu.. Niende moja kwa moja kwenye mada, Kwakweli wale waliowahi kusema kuna wanawake ukilala nao basi unapata mkosi mimi yamenikuta! Kuna manzi moja nimeshaipiga mara tatu na katika...
19 Reactions
67 Replies
3K Views
Binafsi mimi naona kijana kakosea, huenda alikuwa sahihi kumuacha ila namna alivyomuacha alikosea, ilibidi amuache kivingine, mkasa huu hapa nawapeni. Kuna kijana mdogo wa kiume miaka 26 tupo nae...
19 Reactions
173 Replies
8K Views
Habari za mda huu wakuu Utachukuliaje pale rafiki yako anapokuwa na tabia hizi. Unarafiki ambaye pale anapopatashida anakuitaji umshauri atakusumbua ata usiku wa manane umuweka katika mood ila...
8 Reactions
19 Replies
1K Views
Ni mwanamke mmoja hapa karibu na mazingira ninayo fanyia kazi ni kwa muda sana alijaribu kujisogeza karibu na mimi ila kwa kuwa ndugu yenu sina dhiki na wanawake hivyo sikumpa time yangu sana...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Miaka kadhaa nyuma katika harakati za maisha nilikutana dada mmoja (ameolewa ila mumewe mtu mzima sana) tunatoka mkoa mmoja tukazoeana sana, maana nilikuwa namuuzia bidhaa. Baadae akaomba...
8 Reactions
168 Replies
11K Views
Mathalani umeomba kazi ya kukuongezea kipato, umeomba mkopo benki au kausha damu, umeomba kura kwenye uchaguzi, umeomba ruhusa kazini au shuleni, umeomba urafiki wa kike au wa kiume, umeomba...
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Back
Top Bottom