Bila salamu!
Sifa nyingi anazo, msikivu, mtamu, ana tako, mpambanaji, ana heshima, mvumilivu na kadhalika. Na mimi hapa nimemuelewa, ila kwa sasa tatizo naloliona ni moja tu.
Anajaza ndugu sana...
Demu kupika anasema anachoka, yani kuna muda anapika chakula cha usiku mchana ili usiku asipike tena.
Kufanya usafi ndani ni shida eti anasema mgongo unamuuma akiinama sana.
Vyombo akishakula...
Kwasasa tunatembea barabarani ila ndani ya miili ni wabovu usije kumpiga mtu hata kwenzi la kichwa utaishia jela ndugu yangu watu tumeoza maradhi kama yote kutilia ndani saratani,ukimwi na BP.
Ni...
Mwaka jana Desemba niliwatembelea ndugu zangu jirani, katika mazungumzo waliniambia kwa Kinyankole ila nitasema kwa Kiswahili 'Vijana wengi wa huku kwetu wanafanya mapenzi na wake zao kila siku...
Anachokifanya Sadio Mane kwa mkewe kinaweza kumgharimu sana. Maana dunia hii ni tambara bovu, linaweza kuchanika mahala asipotarajia.
Eti kamruhusu mkewe aende chuo akaendelee na masomo ili hali...
1. Kutumia lugha asiyoijua
Ni hadhi mtu kutumia lugha fulani kuonyesha wewe ni msomi, mjuaji au umetembea, lakini ni mbaya kwa mpenzio ambaye hana maarifa hayo, uona kama umedharau na kumkejeli...
Najisikia vibaya sana aliekuwa mchumba wangu amepata ajari mbaya sana na kwa bahatii mbaya amefariki.
Ajali ya pikipiki yeye pamoja na mdogo wake, mdogo ake hajitambuii...
Maisha ni safari ndefu, kila mmoja ana namna au njia ambayo huitumia kufika aendako.
Ila katika maisha haya, kila mmoja ana wakati ambao hukiri kuwa Kuna kitu kime mkubali.
👉Waswahili Wana sema...
1. If she has a tattoo ..... use a condom[emoji125][emoji125][emoji16][emoji16]
2. If she drinks beer ..... condom[emoji16][emoji16]
3. If she turns off her phone when she's with you..... boi...
Kuna vita isiyoisha kati ya moyo na ubongo hasa kwenye ishu za mahusiano wakati moyo ukiulamu ubongo kwa maamuzi ya kijinga na kumsababishia maumivu ubongo huulaumu moyo kwa kumpa maumivu ya...
Mwanamke anaestahili matunzo ya mwanaume ni mke. Mke akiwa mama wa nyumbani hapa mwanaume anawajibika kubeba jukumu lote la ustawi wa kiuchumi kwenye familia, mke akiwa anafanya kazi/biashara siku...
Wanajukwaa mko pouwa.
Leo hebu tubadilishane uzoefu.Kama tujuavyo kwamba Dunia ipo pamoja na mazuri yaliyomo ila changamoto zipo pia.
Kuna hii changamoto ya kupata mtoto ,Unakuta mke kaolewa...
Wakuu.
Kiukweli hapo nyuma nilikuwa si mtu wa mademu kabisa.
Nimesoma o level na a level fresh , nilipomaliza six , nilijitahidi kutongoza girls angalau namimi nichakate mbususu bila mafanikio...
Mwaka jana mwezi wa 12 nilitembelewa na baba angu mkubwa kutoka mkoani baada ya miaka mingi bila kuonana ali niambia neno li lilo nikuna ni kaamua kulifanyia kazi, sasa hivi hu ni mwezi wa tano...
INTRODUCTION:-
Nikiwa kama kijana mkataa kuoa, moja wapo ya sababu inayonifanya kugoma kuoa ni MDOMO wa MWANAMKE.
Aisee hawa ni mama zetu, dada zetu, binti zetu, shangazi zetu ila WANA MIDOMO...
Wakuu habari za uzima?
Leo nataka niongee na baadhi ya wanaume wenzangu wanaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwao kana kwamba sisi wanaume hatukosei kwenye jamii wakati maovu yote...
Mwanaume tafuta pesa kwa bidii, wape watoto elimu bora, wape mahitaji yao muhimu, jenga nyumba nzuri waishi vizuri, lakini ukizeeka usitegemee lolote kutoka kwa wanao.
Enjoy maisha ya uzee kwa...
Habari za wakati huu ndugu na marafiki katika jukwaa la MMU
Kuna hiki kitu huwa kinanipa wakati mgumu sana kila nikikaa na kutafakari. Binafsi mimi ni kijana middle of twenties na bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.