Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako/mchepuko wako/mke wako au hata rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu...
Habari,
Kipindi nipo jobless hapa mjini, wanawake wengi walikuwa wananiringia hata salamu tu. Mtaani hapa nilikuwa Kila nikitongoza wanatema nje.
Lakini baada ya kuajiriwa nashangaa Kila mwanamke...
Wakuu za usiku .
Leo baada ya kutoka kwenye mihangaiko yangu nikaamua kupanda daladala za kwenda Makumbusho.
Sasa siti zilikuwa zimeisha nikaamua kusimama tu, cha kushangaza aliyekuwa amekaa...
Wakuuu habarini za mchana poleni na miangaiko ya apa na pale katika kutafuta riziki zenu,
Mimi sio mzoefu Sana katika mahusiano nilianza mapenzi mwaka 2017 Toka mwaka huo Hadi hivi sasa nishakuwa...
So kiss me and smile for me
Tell me that you'll wait for me
Hold me like you'll never let me go
'Cause I'm leavin' on a jet plane
Don't know when I'll be back again
Oh babe, I hate to go...
Anasema ikitokea tumeoana hatutoboi miaka 5…. Namnukuu “ Mkitoboa miaka 5 niko pale uniite mbwa”
Ni kaka yangu mtoto wa mama yangu mdogo alielelewa nyumbani kwetu… yeye tayari ana familia yake...
Basi boss ashampoo huwa napenda kuandika kama diary mambo ambayo siwezi kumsimulia mtu raha ya jamii forum ni unakuwa unknow mara nyingi naandika nikiwa usiku nikiwa natafakari kwa hisia...
Vijana wengi wanafikiri kumposition mwanamke kama ilivyo kweny filamu za ngono ndio ujuzi wa mapenzi.
Zipo normal style lkn nyingi ni kuwezesha kupata angle ya kuchukulia sehemu nyeti wakt wa...
Nilikuwa nataka nikajitambulishe kwa wazazi wa huyu binti sasa katika kumhoji napaswa kupeleka zawadi gani? Nikaona ananiorodheshea zawadi za mama yake tu.
Nikamuulize zawadi za baba je? Akajibu...
Ndugu zangu katika JF tujadili jinsi ya kuanzisha hili vuguvugu ambalo litasababisha mabadiliko ya sheria. Kila mtu aondoke na alichochuma. Hii itasaidia sana kuimarisha ndoa
HABARINI FJ PEOPLE
Nimependa leo niseme kitu kidogo juu ya tatizo la HIV/AIDs. Hamna asiyejua kwamba HIV ni janga kubwa hasa katita nchi zinazoendelea. Am sorry najua humu kuna baadhi wapo na...
Wanaume wengi sana, tuna dhana kwamba mke ni adui, na mara nyingi tunatumia vitabu vya dini eti vinasema tukae na wanawake kwa akili, kweli? Huyu Mungu ambaye ndiye aliowaumba anaweza...
Mwaka jana nli kutana na dada mmoja ambaye mtu wangu wa muda kidogo. Actually mimi ni mtu ambaye nazingatia sana masuala ya usafi kwa mpenzi.
Shida ya kwanza ikawa mdada amekuja Hotel ananuka...
Habarini wana JamiiForums,
Kwanza niweke wazi mimi ndio nilikuwa wale waumini hatuamini kama uchawi upo lakini now nimeamini. Pia niweke wazi familia yangu iko very structured, hata nikisema...
Changamoto za ndoa zipo Toka enzi na enzi ila wakati huu zimekuwa nyingi mpk kupelekea ndoa nyingi kivunjika zikiwa na miaka 3 au 2 wengne mpk 1. Na ukiona ndoa imedumu kizazi hichi ujue kila...
Habari zenu Wakuu,
Kuna kauzi kana trend hapa JF kanaitwa 'Kula tunda kimasihara', kiukweli ukikapitia kale kauzi utaona ni jinsi gani vijana wanavyojisifu kula wanawake malaya ambao wameshazoea...
Dadaz, hebu leo tumalize huu mjadala! Eti, wewe kama wewe unavutiwa na mwanaume mwenye sifa zipi? Kati ya hizi:
1) Mwembamba, mweusi, na mrefu
2) Mnene, mfupi (kiasi), na mweupe
Kwanini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.