Kwa uchunguzi wangu binafsi nimeona ndoa nyingi sana zinapata changamoto ya kupata mtoto.
Hapa mjini wadada karibu wote wameharibika. Ndiyo maana wengi hata wakibahatika kuolewa kupata mtoto...
Ndugu zangu..
Kweli hela ni muhimu ila kuna mahali unafika unakujakutambua kabisa hela haiwezi kukunyanyua mjulege usimame ndindi hasa hasa kwa wale mahanithi, je ni sahihi wanaume kuambiwa nguvu...
Hello!
Kwakuwa wadada wengi hufanya ndoa kama fashion au kama ajira basi wako tayari kufunga ndoa na mtu yeyote ilimradi tu anapumua na anaweza kumudu bei ya sukari na ugali basi.
Turudi kwenye...
There are ways of speaking, sitting, looking, acting, reacting, that are inherited from childhood.
Some are lucky to be born in families that left them with behaviors that create a virtuous...
Niseme tu. Napenda mwanamke aninyonye.... Hilo napenda sana. Ila akitaka kunitibua aniambie na mimi nimnyonye... Hapo namuuliza swali la kwanza
"JE WEWE NI BIKRA?" Obvious huyo atakuwa ni no...
Rafiki yangu ni mfanyabiashara Kariakoo hivyo pesa ya kubadili mboga sio Tatizo lake kabisa. Amedumu katika mahusiano zaidi ya miaka 8 na mwenza wake wa maisha kabla ya kuamua rasmi kufunga ndoa...
Wanaume wengi hawaelewi uhusiano uliopo kati ya mke wake na watoto wako (mama na mtoto), na hivyo huwaonea wivu wake zao baada ya kujifungua .(kupata mtoto)
Watu wanapooana, miezi ya mwanzoni...
Kuna wale wanaume ambao wana maumbile madogo na kuhisi ndivyo walivyo lakini kiuhalisia hawakuumbwa hivyo.
1. Walioanza kupiga punyeto kabla au balehe inapoanza - kundi hili waliingilia process...
Kuna Siku atakuja Kulia mno pale Wahuni watakapopita nae Mkewe. Na labda nimtahadharishe tu MC Mpilipili kwamba kama Yeye aliweza Kumtongoza na Kumuhadaa huyo Mkewe Philomena basi wapo Watoto wa...
1. Hili ni tatizo ambalo linawapata wanawake wengi ambapo hawajui ni mda gani na wakati gani waanze kufanya tendo la ndoa baada ya kujifungua, wengine wanakaa mda mrefu wengine mfupi ila kadri ya...
Habarini Wadau,
Sijawahi kufika katika nchi za kiarabu haswa, namaanisha nchi kama Saudi Arabia, Yemen, Iran,Iraq, Morocco n.k
ILA, niliwahi kuambiwa mara kwa mara kuwa nchi nyingi za kiarabu...
Habari ya siku nyingi.
Kweli kama vile mkate mgumu ukiwekwa kwenye chai unavyokuwa ndivyo hivyo na wanaume tunavyokuwa mbele ya wanawake kunako 6*6, na ndiyo maana katika moja ya njia ya mwanamke...
Leo niwasaidie hili pengine we n mhanga wa hili eneo kwenye ukoo wenu
nawiwa kuongelea hili maana mmoja wa waathirika wa hili.
Kabla ya kuoa fanya mapping ya familia yako na unayoenda kuoa...
Habari wana JF
Leo nawapa ushuhuda wa maisha ya ndoa ya wazazi wangu...
Baba aliachishwa kazi ghafla miaka 14 iliyopita. Mama anafanya biashara ndogondogo amekuwa ndio kila kitu chakula, mavazi...
Kuna watu wanakuwa na tabia ya kuhukumu wanaume kisa tu wameona wanawake wao wanalia akili zao zinawatuma moja kwa moja kuwa wanateseka saana kwenye ndoa zao saana
Ila ndugu zangu wanawake ni...
Naitaka Nioe Sasa Kuna MTU kaniambia ukitaka kuoa Kuna mlolongo mrefu hadi kuandika barua kwa mkono au kutype then iende kwa binti usubiri majibu.
Binafsi Mimi ni Mtu ambae hua sipendi vitu vya...
habari wadau.
baada ya muimbaji wa gospel maarufu nchini Nigeria Moses Bliss kumchumbia Binti wa kighana mwenye uraia wa uingereza ambaye amejuana nae kupitia mtandao wa instagram mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.