Wadau mpo? Kuna rafiki yangu anaomba ushauri mdogo wa mke wake ambaye wanaishi hapo (nyumbani kwa rafiki yangu)kwa muda sasa ameomba amsaidie kazi,Sasa anajiuliza haiwezileta shida kweli japo...
Kutoolewa katika umri fulani huja na maneno mengi, na mengi huwa hasi, ya kukera au kuumiza. Lakini je, kila kitu ni kibaya kwa wanawake ambao wamefikia umri wa miaka 35 au zaidi na bado...
Nawasalimu ndugu zangu
Huu uzi ni sawa na mrejesho wa uzi wangu uliopita juu ya sintofahamu yangu kuhusu upatikanaji wa Dada poa maeneo ya Mbezi Mwisho
Nawashukuru wadau walichangia...
Aisee wonders shall never end, nilichokishudia jana sitakisahau. Kuna kibabu kimoja ni kimlinzi mahali. Sasa katika hali ya kushangaza kinatembea na vibinti, wamama, wake za watu n.k, tena wale...
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Lazima uliwe nauli wewe si lijinga. Na mimi nawasisitiza kina dada endeleeni kuwachangamsha ubongo wanaume wasiojitambua na wasiojiamini.
Wewe umemtongoza Binti...
Habarini wakuu,
Nipo hapa kwenye moja ya Bar maarufu sana hapa Sinza. Naona tu kijana anapitishiwa pesa kwenye mapaja ili ampatie mhudumu huku akimtolea bezi mdada wa watu na kumlahumu kuwa haleti...
Kuna jamaa yangu mmoja nilikuwa naishi naye geto moja huko dar
Alikuwa na saloon yake ya kunyoa, hivo akanikabidhi mimi, yeye anaenda kuvua na kurudi asubuhi tunapika tunakula na mambo mengine...
By default wanadamu tulipoumbwa kila jinsia ilipewa majukumu yake, jukumu la viumbe wenye jinsia ya kiume (wanaume) wameumbwa kutawala jinisia ya kike (kike) katika kila Nyanja na jinsia ya kike...
Habarini wadau.
Naombeni ushauri wenu kwenye hili bila kubagua nani atoe huo ushauri.
Najuwa wengi wetu especially wanaume tumepitia ile hali (situation) ambapo kuna mwanamke ulimpenda sana kwa...
Habari zenu,
Hili ni swali kwa Vijana wabishi walioamua kuoa Single Mother.
Unajisikiaje pale unapoona Single Mother uliemuoa anampost mtoto wake na kuandika maneno kama My World, My...
Wana JF
Kama uliwahi kuwa na x-wako hasa hasa mwanamke na unajua kabisa anateseka mno mwondolee laana hiyo ila usifungamane naye kabisa na usishabikie wanayopitia maana wengi wapo kwenye tanuru...
Dah kweli nime amini maisha Yana hitaji mengi.
👉Mwezi huu Umekuwa wa kiutofauti sana upande wangu, aisee niko bored kinyama.
Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series.
👉Sinywi...
Habari wakuu,
Kuna mwanamke nko nae kwny mahusiano mwaka wa 4 Sasa, amekua ananipasua kichwa balaa, nyuzi zake nyingi nmeleta sana humu nikitamani japo abadilike niweze kumuoa.
Ila...
Wakuu leo naandika nikiwa na mawazo mengi sana. Mara nyingi nimekuwa nikileta nyuzi za masuala ya kitaifa ila leo huu uzi ni wa ishu yangu binafsi. Mimi kada mtiifu wa CCM kwa sasa kuna mambo...
Mzuka wanajamvi.
Huyu demu tulikutana naye njiani mwaka jana mwezi wa 8. Nikampiga sound aka tick.
Akawa girlfriend wangu. Ila baadaye akaanza kiburi na mimi nilishaanza kufall in love...
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Linapokuja swala la kukojozwa Mwanamke hana huruma na wewe. Hawezi kuwa mvumilivu tena. Mwanamke anaweza kuvumilia matatizo yote duniani lakini kamwe hawezi...
marriage is actually dead. married people are the most low intelligent human beings ever. kwa sasa. and IF you are planning to get married hold on. MEN BENEFIT NOTHING FROM MARRIAGES
STORY SHORT...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.