Habari za weekend wana JF
Nilioa mwaka 2016, na tukabahatika kupata mtoto 1 wa kiume mwaka 2017 ambae ana miaka 4 kwa sasa na sehemu ya makazi yetu ni hapa Mbeya. Mapema 2020 mke wangu alianza...
Binadamu tumetofautiana, kuna watu wanapenda kuangalia mpira na kuna wengine wanapenda kufanya mapenzi.
Swali, Kuna madhara yoyote anapata mtu akiwa anafanya mapenzi kilasiku?
Kipindi nikiwa mdogo nilikuwa naona bibi zangu na mama zangu wakiwa nyenyekea waume zao kwa dhati .
Yaani akina bibi waliwawanyeyekea sana babu zetu ,hali kadharika na mama zetu walikuwa ni...
Salaam,
Baba wa kambo wengi wanaroho ya pekee sana, huwalea kwa upendo mkubwa sana watoto wa kambo kuliko hata watoto wakuzaa.
Mwanangu wa ujanani, kalelewa vyema sana na baba wa kambo, hakika...
Kupenda sio hisia, ni uwezo.
Mwanamke ukisema unampenda, anasahauu hapo hapo, ndo maana wanauliza unanipenda? Wanataka kusikia
Unavyosema nakupenda maana yake ni nitegemee. Hivyo kama Umependa...
Ni kweli vijana hawaoi mapema kama zamani . Raisi kaongea haya kama vile ni tatizo la jamii kwa mawazo yangu tatizo ni yeye kutokuelewa Dunia imebadilika.
1. Utamaduni wa zamani wa wazazi...
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa.
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa...
Tumepoteza vingi wakati tunachagua vilivyo bora,
Tumeumia sana wakati tunaitafuta furaha,💔💔
Kuna waliotuacha na kutukataa kwasababu tulionekana hatuendani nao kwasababu hawajui tunachopitia 😭😭💔...
Ameyasema hayo leo Jumapili, Januari 21, 2024 alipokuwa akizungumza kwenye Ibada Maalumu ya kumuingiza kazini Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa iliyofanyika...
Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.
Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa...
If you open your mouth, one of two things happens. She either forgives you or she leaves you. At best, you wind up exactly where you are right now. It's noble to want to confess. Really, it is...
Habari ya asubuhi wa Tanzania wenzangu na Africa kwa ujumla pamoja.
Nina changamoto baada ya kumkuta mke wangu anamawasiliano na mwanaume mwingine na tayari wapo kwenye mahusiano(hajawahi kuzini...
Habari wana JF poleeni na Majukumu ya kazi
kwa January ilivyo na ukakasi wacha tuzungumze kuhusu Kufanya mapenzi asubuhi,
Binafsi nmekuwa nikienjoy mno tena zaidi ya sana kuitafuna mbususu ile...
Anakwambia Mume wake hayupo vizuri kitandani sio?
Anakwambia Mume wake hana muda nae sio?
Anakwambia Mume wake hampi mapenzi kama yako sio?
Anakwambia anakupenda sana eeeh!
Utalia siku moja.
Habari wakuu,
Nina mtoto wangu wa kiume wa miaka 3. Ni miezi kama miwili sasa ameanza tabia isiniyopendeza, kila akija mgeni especially wakati wa kula atamfukuza mgeni toka kwetu, wacha kula...
Mara mia tu niwaachie dunia yenu nikaishi kwenye mavolkano tu huko. Maake udharirishaji umezidi
Yaani mwanaume unalilia mapenzi! Yaani unamwaga mpaka chozi na kujinyenyekeza kabisaaaa!!😥😥 Yaani...
client wa instagram: money penny bwana me nimepata demu ila maziwa yake yamelaaaaala sana
money penny: sa unataka nifanyaje jaman
client wa instagram: me nasema tu nisaidie nifanyaje
money...
Wakuu kwema?
Wakuu mimi ni kijana nina miaka 30 na pia nimuajiriwa na naishi peke yangu kwa zaidi ya miaka miwili. Sina biashara nyingine zaidi ya ajira ila kuna vikazi vidgo dogo vya computer...
Kuna kitu kimenishangaza kidogo jana nimetumiwa message ya kuachwa na mdada ambae hata sikufahamu kama tulikuwa katika mahusiano, tulikuwa na mazoea tu mwezi wa 12 akasafiri kwenda kwao amerudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.