Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nimeona machapisho mengi kuhusu ndoa zisizofanikiwa. Kuna sababu nyingi zinazochangia ndoa kufeli ambazo ni pamoja na kudanganywa, kukosa uaminifu kati yao, Ukata wa fedha. Lakini Wengine huamka...
1 Reactions
8 Replies
584 Views
Yale mambo ya kuonyesha unampenda kwa dhati kiasi gani mpenzi wako, au mke wako, au bosi wako au rafiki yako hayapo tena! Kila mtu anaangalia maslahi ya kutoka kimaisha au kupata unafuu fulani...
6 Reactions
3 Replies
752 Views
Vingi vizuri zaidi huja ukiwa huna shida navyo, huja wakati imani yako ikiamini kuna vizuri kumbe unapishana gari la mshahara...😁 Yaani kwa lugha rahisi ni kusema kuwa, "Vizuri huja muda wako...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Nimekaa hapa natafakari nikagundua kuna situations kama hazijakukuta huwezi ukaelewa ukisikia mtu analalama[emoji28][emoji28] zamani nilikua nikisikia mtu analalamika hana...
20 Reactions
204 Replies
8K Views
Habari za mida wanajamvi. Leo tusipoteze muda twende moja kwa moja kwenye hoja.Wanawake walio wengi wamesikika wakilalama waume zao kutoka na dada wa kazi.Jambo hili ukiangalia kwa upande mmoja...
2 Reactions
5 Replies
972 Views
Different phrases are used in today’s world to describe different ways of looking at relationships and being able to commit to one person. 3 reasons why you can’t stay with just one partner Some...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Nilimtongoza kwa Nia ya kumuoa, jobless aneorodhesha mahitaji mengi Hadi nikamchukia ghafla. Mtu alikuwa kwao hana mishe yeyote lakini anataka anataka maisha ya kifahari wakati kwao ni maskini...
26 Reactions
75 Replies
4K Views
Imeandikwa "Ni bora Mwanaume asimguse Mwanamke, lakini kwasababu ya ngono kila mwanaume awe na mke wake mwenyewe, mke hana mamlaka juu ya mwili wake na mume hana mamlaka juu ya mwili wake, MSIWE...
8 Reactions
42 Replies
3K Views
Habarini wana JF. Moja kwa moja kwenye mada kama kichwa hapo juu kinavyojieeleza. Huyu ni mtoto wa jamaa angu nimeona niandike kwaajili yake, labda tutapata msaada humu ndani maana binafsi...
39 Reactions
261 Replies
13K Views
Mabinti zetu hawawi inspired tena na shangazi zao. Mabinti zetu tena hawawi inspired na waalimu wao wa kike maaashuleni. Ila kwa sasa inspiration na influence zao zinatoka kwenye social networks...
1 Reactions
1 Replies
382 Views
1 Pet 3:7 SUV Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe...
10 Reactions
45 Replies
4K Views
Habari wandugu, Napenda wasilisha mada hii tajwa karibuni tujadili maaa naona maisha sasa ya kukosa pesa yanatukaba koo sisi vijana tunaosubiri ajira za utumishi maana hata inaafikia hatua...
1 Reactions
9 Replies
800 Views
Hii imetokea mtaani kwetu, kuna Single Mother alikuwa ameolewa na Jamaa anaepiga vibarua vya kutengeneza simu mtaani. Sasa Jamaa wakati akiwa ofisini na mtoto wa kufikia mwenye umri wa miaka 14...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Wasalaam wakuu!! [emoji2772] Nisiwachoshe, msinichoshe, kwa kifupi tusichoshane, naruka nakupepea kimadoido moja kwa moja kwenye hoja yangu! Naileta hoja hii mezani nikiwa moja ya wahanga wa...
11 Reactions
38 Replies
2K Views
Mwanamuziki Diamond amesifia ondoa mti na weka mti ya Haji Manara huku akidai hamna vijuso katika machaguo yake. Amesema huko uraiani kuna wengine wamechukia na wanamzengea Zeylisa. Diamond...
1 Reactions
6 Replies
744 Views
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na hii anonymous confession ya Mwanamke anaesema kuwa kaolewa akiwa na miaka 20's lakini kashakutana kimwili na wanaume zaidi ya 50. Huyo bidada...
13 Reactions
126 Replies
9K Views
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo. Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na...
207 Reactions
2K Replies
180K Views
Habarini! Kuna bidada, tulikutana December 20 mkoani ,tukawa Safari moja iliyotulazimi kutumia 48hrs together. Tukaangukia kwenye mahusiano baada ya chemistry yetu. Tulikuwa Safari moja maana...
36 Reactions
312 Replies
12K Views
FAHAMU NAMNA YA KUACHANA NA MTU AMBAYE UNAMUOTA KUWA UNAZINI NAE NDOTONI 1️⃣ Je, Umeshawahi kuwa na mchumba wako na mkashiriki Tendo la ndoa na mkaachana bila kuoana?? 2️⃣ Je ,Umeshawahi kuoa au...
13 Reactions
18 Replies
2K Views
Pale unapopenda na kujenga taswira katika ubongo kisha unaenda kukuta ulichofikiria sio!
3 Reactions
6 Replies
475 Views
Back
Top Bottom