Bullying ni kitendo cha kumtisha, kumnyanyasa ama kumkosesha raha mtu mwingine. Kwa kawaida sie tumezoea sana kuuita 'UKOROFI' haswa kwa watoto.
Mtu anaweza kuwa bullied kutokana na...
Tukiendelea na kufurahia ujio wa mwaka mpya 2023
Kwa wale Wanaume wenzangu ambao hawakupata nafasi ya kuhudhuria katika kikao cha wanaume kilicho fanyika alfajiri ya leo 01/01/2023.
Napenda...
Habari zenu wote
Nisipoteze muda nipo kwenye mahusiano na mtumishi wa Mungu ni mchungaji yupo uko kusini anafanya injili vizur sana yan sana.
Tulikutana FB alikuwa anatuponda wadada tunaoweka...
Habari Wakuu,
Leteni ushuhuda hapa wadau kwa wale walemavu waliooa au kuolewa na mulemavu mwenzie.
Nianze na upande wangu, mimi ni mlemavu wa sikio (kutosikia vizuri), nimeoa dada mwenye tatizo...
Mimi similiki biashara ya kiwanja au sehemu ya starehe lakini professionally mm ni Asset manager, business and financial advisor. Na kwa bahati mbaya sana sina mteja ambae anamiliki biashara aina...
Ee mwumba wetu, umewaunganisha watu katika ndoa takatifu nami natumaini kupokea Sakramenti hiyo na kushirikiana na mwenzangu wa ndoa maisha yangu yote.
Kwa hiyo nakuomba ee Bwana unisaidie...
Aisee! Hii imetokea mtaani kwetu, kuna Single Mother alikuwa ameolewa na Jamaa mwenye pesa.
Kama unavyojua maisha ni kupanda na kushuka, yule jamaa kafukuzwa kazi na hana inshu yoyote zaidi ya...
Wanawake asili yao nikuchuna sio kuchunwa, ukimwona mtu wewe mwanaume unamchuna usimchukulie poa kakupenda.
Sasa kuna watu wanaongea shit kuhusu watu wa humu sio nawapenda sana wanawake wa humu...
Habari zenu,
Ewe Mwanaume uliejibebesha majukumu ya mwanaume mwenzako kwa kusingizia upendo tambua kuwa Single Mother aamini kuwa unampenda mwanae bali unaigiza.
Siku mwanae akiwa anaumwa na...
Ndugu zangu salaam sana.
Nagusia wababa na watoto wenu wa kike mliowaachia jukumu la malezi mama zao. moderator naombeni huu uzi utembee wenyewe msiuunganishe
TAHADHARI
HAYA MAANDIKO MATAKATIFU...
Transcript (tafsiri kwa msaada wa google).
Huyu binti wa kizayuni mateka mmoja, macho hayadanyi, binti ni kweli alishikwa kama mateka na siku anaachiwa videoclip yake hii ikatapakaa kama virusi...
Kumekuwa na Tabia ya wanawake wa Mkoani wanapokuja Dar kutaka kupata Mume wa kumuoa.
Hii tabia ipo sana kwa Wanafunzi wa Vyuo vikuu na Mabeki 3.
Ningependa kuwaambia kuwa hilo lengo lenu sio...
My brother kama unafanyakazi nje na home kwako unakaa miezi sita, mwaka na zaidi ya hapo my friend kaa ukijua mkeo anazagamuliwa.
Nyege za mwanamke ni mara tatu zaidi ya mwanaume, mwanamke ana...
Kuna hii issue nimekosa kiswahili chake inaitwa 'misogyny' ni tabia ya wanaume kuchukia wanawake na kuwadharau wanawake kwa kiwango ambacho sio cha kawaida....
Sasa hii ishu ya dj brownskin...
Ndugu ukiwa na mke hata akionyesha ni mwaminifu kiasi gani tafuta mchepuko.Mchepuko unafaida zifuatazo,unaact kama buffer na kimsingi unasaidia kujifanya ndoa yako iwe stable zaidi. Mfano badala...
Jambo iko? Kwanza merry christmass
Kuna mrembo amepigwa huku amapiano!🙆♂️ Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.
Tena...
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu nayo kweli itakuweka huru na kuponya kizazi cha hawa wanawake waliopotea na kupotezwa na hawa kausha damu, chuma ulete na wavaaji wa strap on.
Nyie kausha damu...
Nasikia Wanawake wapendelewa mno na Mwenyezi Mungu uwezo mkubwa wa kuwa na Saikolojia Kubwa na Kali pamoja na Uwezo mkubwa wa Akili kuliko Wanaume.
Tafadhali nijibuni upesi kwani kuna Mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.