Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wakuu habari.. Kichwa kinjieleweza, nilipo sijalala Jana kwa hii kadhia, naombeni ushauri nimwache aende au tusuluhishe.,,😭😭😭
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Kwema wakuu, Huyu dada ni member wa jamiiforums, namkubali sana nimekuwa nikimtumia ujumbe pm lakini hajibu. Kusema kweli namuelewa sana nataka awe mama watoto ila hataki kujibu pm. Nishamwambia...
19 Reactions
289 Replies
10K Views
Wahenga walisema,"Hata uwe mrefu vipi huwezi kuiona kesho"... Ni kauli iliobeba mana kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku. Ni rafiki yangu wa muda kidogo, na tumekuwa tukishea mambo kadhaa...
18 Reactions
191 Replies
32K Views
Jaman Mimi mwenzeno Leo yamenikuta mida ya sa 2 njiani nikakut mdada Yuko na jamaa dalili zilionesh ni kama wanaagan Nika tulia kidg nikwel wakaagan. Mi nikasubil jamaa apotelee nikadak namba...
35 Reactions
68 Replies
24K Views
Mwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa. Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo...
82 Reactions
276 Replies
9K Views
Kwa wale ndugu zangu wazee wa kukimbia kimbia barabarani na wale wa kwenda gym poleni sana From now on, mazoezi yangu nayahamishia Kwa bed ( kitandani) [emoji23][emoji23] Uamuzi ni wako ...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Wanawake hawapendi watoto wasiowazaa hasa hawa watoto wadogo. Kama wewe uliachana na mama wa mtoto wako kisa alikucheat, ni kwamba; mtoto huyo anapata maumivu makali kutoka kwa huyo mkeo...
25 Reactions
172 Replies
6K Views
Habari wadau Kuna kesi nyingi za wanandoa wanaume wanalalamika kwamba bila pesa ama kutimiza matakwa ya wake zao. Wanagomewa kupewa penzi. Mtu ameoa ana mke ndani ila hana uhakika wa kupata...
3 Reactions
10 Replies
700 Views
Hizi ni zama za uhuru na usawa ambapo haki za binadamu zinaheshimiwa. Kwahiyo, hii tabia ya kwamba mkiwa kwenye ndoa ama mahusiano unataka mwenza wako asiwe na uhuru na haki ya kutumia kiungo...
4 Reactions
16 Replies
591 Views
Nimechoka kulipia lodge, nataka nipeleke mchepuko nyumbani ili wife akome kuninyima mbususu. Wakuu naombeni ushauri! Nina mke lakini amekuwa mtata Sana kwenye kunipa mbususu Hali iliyopelekea...
10 Reactions
56 Replies
3K Views
Nowadays kumekuwa na wimbi kubwa la watu (me+ke) kutafuta wachumba kwenye mitandao ya kijamii kama vile FB, IG, X, TG etc. Mtu anaingia zake Photo Lab anafanya editing za kutosha, kuji-snap kwa...
4 Reactions
9 Replies
495 Views
Ilikuwa ni mwishoni mwa Mwaka jana 2022. Basi kutokana na kazi nyingi za kijamii huku ikizingatiwa kuwa Taifa tulikuwa bize ktk kujenga nchi, huku wengine tukihitajika zaidi katika maswala ya...
98 Reactions
162 Replies
9K Views
Ushauri wenu wakuu!!… Naona wanawake wa Burundi bado ni wazuri sana kwene kutunza familia. NB: Nimeambiwa hawa ukicheat wanakuua.
3 Reactions
69 Replies
5K Views
Nini kimeongezeka kwenye baridi mpaka wanawake waringe? Kumekuwa na tabia kipindi hiki cha mvua na baridi sisi wanaume kunyimwa unyumba tatizo ni nini jamani😭😭😭😭😭😭😭😭
18 Reactions
65 Replies
4K Views
Nimevurugwa asee mimi ni mtu makini sana pale linapokuja kwenye swala la kutumia hisia au akili huwa naweza ku handle any bad situation inayo niface mbele yangu! Kuna ile formula ambayo wanaume...
22 Reactions
68 Replies
20K Views
Mitandaoni na mitaani wazee wetu wanatushauri kutokuoa wanawake wasomi. Wakati huohuo hao wazee wanawasomesha mabinti zao, inamaana hawataki mabinti zao waolewe?
3 Reactions
12 Replies
462 Views
Jamani kuoa mwanamke aliyekuzid umri ni sawa. Ushauri Jaman!
6 Reactions
69 Replies
16K Views
Ni ndoto ya kila Mwanaume kuwa na Mke kama huyu. Wanapatikana wapi wanawake kama hawa?
6 Reactions
15 Replies
989 Views
Mkiwa kwenye ndoa uwe mwanaume au mwanamke, acheni uongo, msidanganyane. Ongeeni ukweli tu, wote muwe wa kweli miongoni mwenu na hata kwa watu wengine msiongope, mtaharibu ndoa yenu!
1 Reactions
4 Replies
328 Views
Wana MMU, Salaam! Nimewahi kusikia kwamba kuna dawa za aina hii ambazo baadhi ya wanaume pia huzitumia pale wanapozungushwa sana na kunyimwa kupewa mambo na wanawake, hivyo huwawekea dawa, then...
2 Reactions
68 Replies
28K Views
Back
Top Bottom