Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
hisia ndio mtihani mgumu sana kwenye maisha ya mwanadamu na hii kwangu mimi binafsi ndio inanipa tafsiri ya wanadamu kuwa hatuko kamili!. mtihani upo hapa sio tu kuzishinda hisia zako ndio...
3 Reactions
4 Replies
395 Views
Wandugu hoyeeeee Kiukweli suala la kuchepuka kama njia ya kulipiza bi Atari,unakuta Katika mahusiano mmoja kacheat, wa ubavu anapofahamu anatafuta mjumbe chap anaiparamia .Kwa vile anafanya hivyo...
3 Reactions
8 Replies
473 Views
But also Kenyan women must stop being cheap sluts for scammers & sex-tourists. We refuse to shoulder the blame for your poor life-choices. If your dumb mothers didn’t tell you to get your act...
2 Reactions
0 Replies
308 Views
Kitu pekee kinachofanya watu waendelee ku-engage kwenye Mapenzi ni nature yake tu kuwa kitu cha lazima ambacho hakiupukiki kwamba by nature tumeumbwa utake usitake lazima ujihusishe na...
15 Reactions
46 Replies
2K Views
Niharakati za maisha ya kila siku umeamka asubuhi huna mbele wala nyuma, hujui kesho huku majukumu mengi kama kijana yanakusubiri: Kujenga, Kuendeleza wadogo kielimu, Kuanzisha miradi, Kulea...
22 Reactions
107 Replies
5K Views
1. Nchini CHINA, wanawake hawaruhusiwi kutembea ndani ya chumba cha hoteli wakiwa uchi isipokuwa akiwa bafuni. 2. Nchini INDIA kubakwa kwasababu ya kukataa kutoa unyumba haichukuliwi kama ni...
3 Reactions
22 Replies
6K Views
Kwa kawaida maisha ya mwanadamu hupitia katika hatua mbalimbali ambazo ni hatua ya kuzaliwa,kuoa/kuolewa,kufa. Circle hiyo hujirudia karne na karne sababu hiyo ndiyo asili.hivyo hatua hizo ni...
4 Reactions
41 Replies
9K Views
Aisee..baada ya kuchukua mtoto mkali wa race nyingine kabisa na kumpost tukila maraha kona zote kuanzia instagram, facebook na whatsapp. Naona taratiibu ma x...
7 Reactions
59 Replies
3K Views
Kitu cha ajabu sana hiki. Utakuta mume ameweka password very complicated na mke nae vivyo hivyo. Hii n tabia za wachepukaji. Huwezi kuweka password mkeo au mumeo asijue. Unaficha mapicha yako...
5 Reactions
88 Replies
13K Views
Hivi wakuu mwanamke anaweza kukupenda bila kuhitaji mawasiliano naye?? Maana hapa kama nipo njia panda hivi. Kuna binti nilijaribu kumtongoza baada ya kunipa namba yake sikuwa mtu wa maneno...
11 Reactions
129 Replies
8K Views
Nimekuwa katika mahusiano na mademu wa jamii mbalimbali, lakini baada ya kupata demu wa kizaramo na baadae mluguru nimepata experience kubwa sana: Yaani kila unapokutana naye au kumpigia...
10 Reactions
17 Replies
1K Views
Ni week ya tatu sasa kijana hanitoki kichwani jmn[emoji23][emoji849] sielew Duuh natamani arudi au nimrudisheje [emoji23] nipeni connection za wataalam [emoji16] Anyway nyiee mnatumia mbinu gani...
5 Reactions
51 Replies
19K Views
Hivi unajua kuwa,pengine mimi na wewe,sio watoto wa baba zetu, mama zetu waligongwa nje? Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
51 Replies
2K Views
Kazi zangu za tofar zimenikutanisha na mtoto wa kirangi mama ntilie. Huyu mtoto nashindwa kutambua ameniroga au ni michezo brand new anayonipa, sisikii. nikiwa naye simu naweka mbali naiona...
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Habari zenu, Kumekuwa na kasumba ya wanawake kuomba hela kwa kigezo cha kuumwa au kuomba hela kununua Dawa. Ewe Mwanaume mwenzangu nakuhisia! usijaribu na wala usitume muamala mpaka pale...
8 Reactions
16 Replies
927 Views
🖓🖓🖓🖓🖓🖓🖓 🖓 🖓 🖓 ~Sote tunaamini kwamba, "Wanaume wote ni sawa, ila tabia zao ndizo zinazo watofautisha.... Ndiooo!! Tabia zao ndizo zinazo pelekea uwepo wa makundi tofauti tofauti ya WANAUME...
1 Reactions
2 Replies
631 Views
In any Relationship, either Married or still in Courtship, there are things you should not tell another person. You never know who will be the Judas over your relationship. There are high secrets...
2 Reactions
4 Replies
567 Views
Habarini za kuuona mwaka 2024, siyo kwa akili zetu Bali ni Neema ya MUNGU tu. Hatuna budi kumshukuru MUNGU wetu. Basi me nafungua na uzi huu wa Jambo ambalo limenipa mashaka huenda labda nimepata...
3 Reactions
45 Replies
2K Views
Habari zenu, Kama wewe ni Mwanaume unaejitafuta kimaisha ningependa kukupa ushauri huu, Mademu wasiokua na hela waachie wababu wanaokula pension na washkaji walioachiwa pesa za urithi...
6 Reactions
20 Replies
777 Views
Ili mahusiano yawe imara mwanaume lazima awe juu ya mwanamke katika kila nyanja, kiumri, kiuchumi, kielimu nk. Hawa wanawake walikusudiwa na Mungu wawe chini tena chini kabisa ndio wanakua na...
49 Reactions
255 Replies
21K Views
Back
Top Bottom