Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari zenu wana JF. Kama mjuavyo, nimeacha nyumba, mke wa mchongo na wanangu wawili huko Nanjilinji, nikaamua kuja Dar kusaka maisha. Hivyo nilifikia kwenye nyumba ya kupanga ambapo tu wapangaji...
4 Reactions
13 Replies
991 Views
Bado nipo kwenye Mkesha wa "Vuka na chako" Habari za nifa zimenishtua mno. Sikutegemea habari hii hasa kwa siku ya leo. Unajua nifa alikuwa anampenda sana Jasusi. Yeye ndiye aliyejivunia...
37 Reactions
322 Replies
16K Views
Anasema anataka hela aliyotafuta kwa mikono yake 😅
5 Reactions
52 Replies
1K Views
Habari wana Jf poleni na Majukumu ya kazi kwa pamoja na ugumu wa January hii naomba kuwasilisha hili suala langu kwenu. Niko na mpenzi wangu kwa kitambo sasa na Ameonyesha upendo wake kwangu kwa...
6 Reactions
37 Replies
1K Views
GREETINGS Nawasalimia kutoka huku vichakani, huku ndani ndani kwenye ofisi yangu iliyo kijijini sanaa kwa kuwaambia ""TABULELE Raaaaaaaa"" Twende kwenye hoja..... Hivi wewe kijana wa kiume...
13 Reactions
52 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, ukweri ndo huo. Mwanamke ata ajue mapenzi vipi au awe mtamu kitandani Kama sio fundi wa kupika jikoni, talaka itamuhusu aende kwao akajifunze kupika. Wanaume tunatafuta hela...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimeona nisimulie kakisa kadogo baada ya kuona mauaji ya wapenzi yanayoendelea hapa nchini na leo ngoja niwape kaushuhuda kidogo kile kilichowahi kunitokea baada ya kushindwa kuthibiti hisia...
13 Reactions
111 Replies
28K Views
Kwa mke furaha yako ni mmeo, na mme furaha yako ni mkeo, basi muishi kwa furaha, amani, kushirikiana na kika siku kila mmoja awe na hamu na mwenzie, kila siku, kila mmoja abuni mbinu ya kumtia...
13 Reactions
58 Replies
1K Views
Suala la sex lina uzito sana ndani ya ndoa hasa kwa mwanaume ambae kaumbwa na matamanio makubwa kwenye ya libido / sex drive. Unapoona mwenzako uchumbani kwenye suala la mchezo ni mpaka ajivute...
7 Reactions
15 Replies
958 Views
Mchungaji Andras Pandey na mwanae Agnes Mchungaji Andras Pandey Mchungaji Andras Pandey akifikishwa mahakamani Mchungaji Andras Pandey Agnes Pandey Wakati mwingine yapo madai yanayoweza...
4 Reactions
33 Replies
4K Views
Wana jamii, Habari zenu natumai mko poa, hebu leo share na wana jamii ni vitabu gani uliwahi kuvisoma na vikakusaidia katika kuongeza uelewa na ufahamu katikati swala zima la mahusiano na...
2 Reactions
52 Replies
5K Views
Kitu ambacho nimekuwa nikijiuliza na napenda kufahamu. Je mahusiano yanaweza kustawi na kushamiri bila kuhusisha tendo la ndoa(kwa wale ambao awajafunga ndoa). Je mahusiano yataendelea kuwa mazuri...
3 Reactions
39 Replies
9K Views
Nilipokuwa ndo ninaanza kubalehe marehemu Babu aliwahi kuniambia “Ukitaka kuwa na Maisha mazuri na yenye furaha kama mwanaume basi usije kuoa! Mwanamke anakondesha Mjukuu! Mwanamke sio ndugu yako...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari wadau. Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio...
45 Reactions
565 Replies
44K Views
Ilinitokea wiki iliyopita, wakati natokea Ubungo kwenda Mbagala jamani sitosahau, khaaa kwa kweli akina kaka mnatia aibu jamani loooooh! Wakati gari linatokea Ubungo lilikuwa limejaza abiria na...
77 Reactions
498 Replies
128K Views
Vijana mnaofosi mapenzi kuna ujumbe wenu hapa, kiukweli kuna la kujifunza.
0 Reactions
12 Replies
634 Views
Habari ndugu zangu Wanawake mlioamua kuishi na mabinti room moja iwe vyuoni, mitaani au popote pale kwenye nyumba za starehe, acheni kabisa kutuharibia wake zetu wa baadae hizi strap on (mikanda...
26 Reactions
230 Replies
34K Views
  • Poll Poll
Je, ni shule za Serikali? Ama ni shule za watu binafsi? Ama si Shule ya Serikali ama ya mtu binafsi yenye uwezo wa kumjenga mwanafunzi kifikra na kumuandaa vyema kwa maisha yajayo?
0 Reactions
2 Replies
313 Views
Kwa msiofahamu hapa Zanzibar bar hazijatapakaa mitaani kama huko bara. Vileo vinauzwa kwenye kambi za jeshi na kwenye mesi za polisi. Mitaani hutaona bia. Huku Zanzibar hakuna pahala wanaouza...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
  • Closed
Nazungumzia wanaume ambao hawajaoa sio waliooa au waliopo kwenye ndoa, kuna campaign tatu ambazo nataka kuzipigia debe mimi kama mimi. Kampeni moja tayari imeshaenea na nafurahi vijana wengi wa...
7 Reactions
4 Replies
890 Views
Back
Top Bottom