Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

UKWELI NI KWAMBA,kutakuwa na very very very hot and serious programme JS KOKOTE ULIKO JIPANGE SAWASAWA,nadhani unajua nina maana gani WAPWAAZ,mabinamu,marafiki na wote wenye mapenzi mema...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Kuna Mjadala huu wa wanaume kusaidia akina mama kuwapeleka watoto wao kiliniki! Mtazamo mmoja unaona hili kama ni kubeba kila kitu cha wazungu na kwamba huu ni mtazamo ulipigwa tope la kikoloni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wadau mtakubaliana nami that mwanamke ni kama njugu....tafuta ile ambayo imekomaa...tafakari!!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
naomba usaidizi wenu wana JF, nina jirani ambaye ananikera lakini nimeshindwa kumueleza. Huyu jirani ni mlady mwenye umri wa kati and a single mother of two (boy n gal) issue ni kwamba she's a...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
.....kutoka makambako,naileta kwenu hii kitu:
0 Reactions
62 Replies
6K Views
To realize The value of a sister/brother Ask someone Who doesn't have one. To realize The value of ten years: Ask a newly Divorced couple. To realize The value of four years: Ask a graduate...
0 Reactions
1 Replies
897 Views
Wadau wapendwa, leo nimeingia mji wa Mwanza na kwa furaha kubwa saaana tu kuna yeyote aliye mwanza tutafutane jamani?? kituko ni kwamba nimekutana na sewerage inajengwa ukitoka tu airport, furaha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kwanini watu walioelimika wasionyeshe mfano mwema katika tabia wao ndio wamekuwa mstari wa mbele katika kuonyesha ni jinsi gani jamii inaweza kuishi katika uzinzi ulevi na kila aina ya machukizo...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Really funny!!! Hii ni true story kabisaa, kuna dada mmoja kamegwa na mume akagundua, sasa jamaa akamconfront mwizi wake na kumuomba aache... mwizi akaacha, basi imekua tabu nyumbani! mwanamke...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Miezi michache iliyopita nilimkabidhi shemeji yangu dada yangu kwenye sendi off iliyofuatiwa na harusi ya kubwa iliyofana sana. Wiki mbili zilizopita nilikua natembelea mitandao ya mahusiano, na...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Wewe ungeamua nini…??? Kuna jamaa kaoa lakini pamoja na hayo ana kimada nje ya ndoa yake. Mkewe alishatonywa lakini aliamua aanze na uchunguzi. Sasa kuna siku baba aliamua ku-surprise kimada...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ukiuliza Biblia jibu ni "ndiyo"! Sasa nimejiuliza.. kwanini hayo maandiko hayasemi Mke mzuri Mke mrembo Mke mwenye figure ya namba 8 Mke msomi Mke mwenye sura ya umodo Mke mkamilifu Mke mtulivu...
0 Reactions
43 Replies
16K Views
Huwa nashangazwa na tabia ya huyu mchumba wangu. kila ninapokuwa mbali naye kwa shughuli za kikazi au za kifamilia ( kutembelea ndugu mkoani kwetu) kwa muda zaidi ya siku tatu, nikirudi wakati wa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Recently nimepata promotion nikakwenda department nyingine.Aliyekuwa bossi wangu ambaye nilimuheshimu sana kama baba yangu akanipigia simu akiniambia twende lunch.Tulipoenda lunch akanieleza...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
considering the fact kwamba i am now SERIOUSLY committed myself to me,my life,my family and i can someone please give me tips on HOW TO DUMP A GUY(external works).......?! ahsanteni sana...
0 Reactions
76 Replies
5K Views
WAGANGA WENGI WA KIENYEJI WAMEKUWA WAKILINADI KUWA WAO WANA DAWA ZA KUONGEZA MIVUTO ILI UPATE MSICHANA UMTAKAE. USIDANGANYIKE NA ULAGHAI WA WAGANGA, HAPA PANA VIJI MAMBO VICHACHE VYA KUKUSAIDIE...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Semeni tu kama kuna mtu kapewa talaka tutasuruhisha Kama kuna mtu bado anashindwa kutongoza tutamfundisha kama kuna mtu anatafuta mchumba wapo wamejaa tele Kama ndoa zina migongano wapo wataalam...
0 Reactions
69 Replies
5K Views
wakulu nimekuwa najiuliza kila mara kuhusu hili lakini no answer sijui na wenzangu mumewahi tokewa?Lini umekasirishwa na mwenza wako na kudiriki kumwambia wewe ngoja tu siku yako inakuja...mie...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani nimesikia leo hili swala nkasema naweza pata mawazo hapa yenye maana kuna topic walikuwa wakijadili clouds fm ,,lakini ikanigusa nina mtoto wa mama mdogo ana miaka 23 mpaka leo ananuliwa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu nimekaa tangu ijumaa kuu nikichungulia kama vile siamini kwamba JF ilikua likizo... i missed every inc and every second of those days... yes i was on holiday, but i really missed every bit...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…