Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari zenu, Leo wakati tupo tunagonga moja mbili kuna jamaa akasema kamnunulia Mkewe Sex Toys ili awe anajiridhisha mwenyewe akiwa amesafiri kikazi. Jamaa ni Mfanyabiashara na huwa anasafiri...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Hello JF, Katika hali inayoshangaza, Arusha Malaya wengi sehemu nzuri nzuri elfu30 unapata Malaya wa kulala nae, Dodoma ndio usiseme, Morogoro ni wimbo wa Taifa tulivu, Chalinze ni sogea twende...
2 Reactions
18 Replies
11K Views
Moyo unachanganya sana, unaweza ukawa na mtu sahihi lakini ghafla ukanza kivutiwa kimapenzi na mtu mwingine uliyekutana nae au kuzoeana nae, inaweza kutokea popote pale, mimi yalinikuta na...
13 Reactions
70 Replies
3K Views
Habari zenu, Ukizungumzia Wachezaji wenye Hekima na Kujali watu basi huwezi kuacha kumtaja Msenegal Sadio Mane. Mane amekuwa ni msaada kwa jamii yake na ametufundisha kitu kwenye mahusiano...
12 Reactions
31 Replies
21K Views
Zikijulikana kimombo kama sex toys, ama kwa jina lake la kitaalam dildos.. Ni midoli ya kujichua na kuondoa hamu za hisia za kingono kwa jinsia zote mbili lakini maarufu zaidi ikiwa ya kiume na...
31 Reactions
338 Replies
20K Views
Nawasalimu! Basi bhana siku ya ijumaa nimekaa Zangu ofisini mwili unaniuma sana, kuanzia kiuno mpaka mgongo, nikawaza nitafute sehemu nifanye massage. Nikaingia Instagram kufatuta page...
67 Reactions
316 Replies
71K Views
Wakuu, kwanza kabisa niwatakie heri ya mwaka mpya 2024. Bila kupoteza mda nizame kwenye mada husika. Nilienda kwenye pub flani kupata 123. Kuna mhudumu fulani akanihudumia nikamwelewa kinoma...
6 Reactions
8 Replies
505 Views
Kijana anastahili kuongezewa mshahara na Boss.
2 Reactions
1 Replies
533 Views
Mahusiano yamekuwa magumu Sana hasa Kwa vijana wengi tunaojitafuta imefika mahala ukiwanampenz huwez kufanya mamb yakimaendeleo kutokana na swala lakutegemewa Kwa kila kitu ,unaombwa Hela mpaka...
1 Reactions
7 Replies
501 Views
Je wapenzi wanapaswa kuwa na uhuru, kila Moja na simu ya mwenzake? Jibu "Ndiyo " au "Hapana" Kwanini? Faida zake ni zipi? Hasara zake ni zipi?
16 Reactions
230 Replies
7K Views
Mkasa mkasaaa. Mkasa huu nilisimuliwa zamani kidogo na jamaa yangu mmoja lakini umenikaa kwa kichwa hadi leo. Haya mkasa huu ulimtokea kaka mmoja akitokea moja ya nchi za Afrika ya mashariki...
5 Reactions
21 Replies
6K Views
Kuna ule usemi maarufu unaosema "wanaume ishini na wake zenu kwa akili" Lakini wengi hawajui maana halisi ya huu usemi, Leo nitakufundisha maana ya huu usemi kwa mifano halafu utakwenda...
7 Reactions
28 Replies
12K Views
Ni wanawake wasiojitambua na wenye vipato duni ndiyo wanaolewa wakidhani kwa kufanya hivyo ndiyo maisha yao yatakuwa rahisi. Hapa chini ni mifano michache ya wanawake wanaojitambua ambao...
6 Reactions
36 Replies
2K Views
Hivi karibu nilipost uzi hapo kuhusu kukataliwa na wazazi. Maajabu binti ana mimba ya mtu mwingine kumbe ilikua ni kuzingukwa tu na jamaa aliyemtia mimba hamuoi, kapita kushoto. Binti anarudi...
13 Reactions
155 Replies
5K Views
Hivi wadada bora kupata mwanaume mwenye mapenzi ya kweli au kupata mwanaume mwenye hela? Hebu funguka unachagua nini? #nyumayapazia
4 Reactions
51 Replies
2K Views
Habari Kaka George samahani naomba unisaidie ushauri. Nina mpenzi wangu tunapendana sana, ila kuna swala amenieleza ambalo imebidi nije kwako kukuomba ushauri. Mimi ni muaminifu sana kwenye...
5 Reactions
41 Replies
21K Views
Ewe mwanandoa, unapomfumania mwenzio usizue varangati,ni aibu. Hebu mstiri mwenzio, usiruhusu hasira ikutawale na kuzuia taharuki na watu wajae, hupati faida yoyote. Nyamaza, mruhusu huyo mgoni...
14 Reactions
98 Replies
4K Views
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kumchosha mtu yeyote. Kwa utafiti binafsi niliofanya hivi karibuni, ndoa nyingi hapa nchini, na katika nchi nyingine za kiafrika, huingia...
2 Reactions
50 Replies
3K Views
2024 unatarajiwa kuwa mwaka mgumu kwa nyumba za Ibada Afrika na mwanzo wa mporomoko wa Makanisa, Misikiti, Jamatini, Mahekaku, Masinagogi na Madhabahu zingine hususan kwa habari ya sakramenti ya...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Wakuu habari. Imeniuma saana, na tayari wana love desire, mbaya zaidi tuna mtoto ni mgonjwa anahitaji uangalizi wa mama. Naombeni ushauri, napitia hali ngumu saaana. Nifanyeje? Mbarikiwe!
18 Reactions
137 Replies
12K Views
Back
Top Bottom