Habari ya asubuhi Wana JF niende kwenye mada moja Kwa moja
Kuna Jambo ambalo nimekuwa nikijiuliza kuhusu wanawake WA kabila la kihaya, chanzo cha kujiuliza ni kutokana na maisha ya baadhi ya...
Kwema Wakuu!
Nasisitiza, vijana kama ulikuwa ni mpango wako kutaka kuoa mwaka huu kwa kutoa mahari. Sitisha! Usitoe mahari. Ila ni vizuri kwenda kujitambulisha kwao na kwenu. Kama kuna uwezekano...
Waheshimiwa habari za mida,
Mimi ni IT specialist kwenye shirika moja lisilo la kiserikali mshahara wangu ni wa kati si mkubwa sana wala si mdogo sana. Lakini pia mimi ni lecturer part time...
Leo nimeamua niwape TiP wale amateurs kwenye dating & hooking up games kuwa ukiona unapokea majibu ya aina hii usipoteze muda hata kidogo. Endelea na shughuli zingine za kujenga taifa tu.
1...
Nilipokuwa kijana mdogo nimecheza saana. Nimedanganya, cheat, kugonga na kukimbia, kuumiza na kushauri matumizi ya P2 nilipoambiwa umenitia mimba.
Hili sio la kujivunia hata kidogo. Nikiwaga free...
Hivi damu yako, tena una uhakika nayo pasi na mashaka kabisa kuwa ni copy yako, unakimbia majukumu ya kumlea mwanao, alelewe na mama yake au mwanaume mwenzako na wewe upo comfortable kabisa...
Ni miezi miwili iliopita niliweza kumkopa rafiki wa karibu tu tuliewahi kusoma wote na hata familia yao ni family friends.
Sasa alikuja kwangu nimkope laki 3, mwanzoni nilitaka nimruke ila...
Niliwahi kuandika uzi hapa kwamba nimelizwa na mapenz, aliyeniliza alikua single mother.
Nilimpenda na nikatamani kumbadilisha vitu vichache ili awe wangu wa siku zote lakini nilishindwa kwa...
Ni ndugu yangu.
Nilihangaika nae mpaka watu wakanishangaa,lakini haya niliyafanya ili wazee{wazazi}wasilemewe na mzigo.
Dogo huyu kwa sasa ni mtu mzima mwenye maisha yake ,alianza kidogo kidogo...
Kwema wakuu,
Leo asubuhi nimempigia simu demu wangu ambaye tuna ugomvi kwa siku kadhaa. Kilichotokea ni kuwa kapokea jamaa anadai demu hataki kuongeza na mimi anadai nijikaze. Duh hapa nahisi...
Kipindi cha nyuma niliwahi kuleta uzi kuwa nimekuwa introvert sana kiasi kwamba sina mazoea na jirani yeyote yule mtaani, hata kwa salamu tu, wanaJF mkanilipukia na kunishushia matusi ya kila...
Ni mwaka mpya, amani kwenu
Zingatia: Kuna jamaa yangu ameniomba ushauri, na mimi natumia nafasi hii kuwaomba ushauri/ mawazo kwa niaba yake.
Story yake iko hivi....
Binafsi kuna changamoto...
Kumekua na mazoea sana katika shule, vyuo, nyumba za ibada, taasisi , mashirika na ofisi za kiserikali na binafsi kwa wale wanaotumia bendera ya Taifa kupandisha na kushusha bendera ya Taifa...
Hutokea mara nyingi katika Ibada na sherehe za harusi kwa bibi arusi kupiga magoti anapompatia chochote mume wake. Lakini wakishafika nyumbani na kuyaanza maisha huwa hawezi kupiga magoti tena...
Salaam Wakuu,
Hivi inawekekanaje Mwanamke anakukalisha chini, anakupiga na mwiko huku kakukanyaga na mguu na ndani hajavaa kifuli, halafu mwanaume unalia kama mtoto mdogo?
Ni nguvu gani...
Binafsi nilichukia Sana kulazimishwa kurudia kusoma shule ileile niliyosoma O level wakati nilipenda Sana kubadili mazingira.
Wewe ulilazimishwa kipi??
Mimi ni kijana, mwenye kila sababu ya kuwa na mke kwa umri wangu, lakini kutokana na changamoto za kimaisha nimejikuta nachelewa mpaka muda huu nipo kwenye mahusiano tu. Nimepitia mahusino kadha...
Niite Mimi ndyo jina langu(sio jina langu halisi. Nimezaliwa Miaka 30 iliyopita Kanda ya ziwa.Nina elimu ngazi ya Shahada.
Nikiwa nina Miaka 10,siku moja jioni ghafla nikasikia kitu kinatembea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.