Ndugu zanguni, nataka mjue kuwa kwa sasa napitia kipindi kizito sana. Nimesharudi ofisini mara kadhaa kumuomba boss msamaha ili nirudi kwenye system pasi na mafanikio
Nilifanya kosa gani?
Wiki...
Nimekuwa nikijiuliza swali hili lakini sipati majibu. Nini could be a reason. Sababu mwanamke wa tatu sasa analalamika jambo hilo kuwa Chidy dhakari yako imeongezeka.
Nami naona tofauti kiasi...
Guys, ukiwa na girfriend wako uka do nae inatakuwa u do nae tena baada ya mda gani, maana huyu wangu namuomba kwa wiki mara 4 anasema nampleka sana na hata sijamuoa, nikioa si ndio atakuwa hafanyi...
Wanaume December siyo mwezi wa kufungana na wanawake iwe kwanamna yeyote ile, huu siyo mwezi wa kutongoza wala wa kushika mkono na kula kimasihara shetani yupo kazini anatafuta watu wake, shetani...
Kwema Wakuu!
Bado nipo natoa mafunzo Kwa ninyi vijana wa Forex, Watoto wa kubet ambao Maisha yanawachanganya.
Vijana tatuteni Pesa kwaajili ya Wanawake wanaowapenda ili wawaheshimu na kuwatii...
Habarini?
Ninaomba nieleweke kwamba mimi si mgeni, nimekua nikisoma mijadala mbalimbali lakini leo nami nimewiwa nilete kisa changu ambacho ninaamini kwa namna moja au nyingine kitawasaidia watu...
Habarini wanajamvi!
Mimi ni kijana wa kitanzania natumai kuoa baada ya miaka kadhaa ijayo,lakini nawapenda sana ndugu zetu wanyarwanda,msaada napataje mawasiliano ya mtu yeyote from Rwanda nianze...
As-salamu alaykum ndugu zangu .
Kwa hakika sasa nahman nmekutana na kizingiti.,
Tangu nianze kudate na kazijua kyupi! Sikuwahi kuvutiwa au hata kujalibu kulala na kua na wanawake wa design hi...
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Mwanaume akinyimwa tendo la ndoa anakuwa mkali kama Simba.
Hapa nazungumza maana nishaona familia baadhi ambazo wake wanakuwa wanawanyima waume zao...
Wahenga wanasema two is better than one umoja ni nguvu walipata kusema babu zetu, ila kwangu naona kama hizo formula zote mbili zinaenda kugoma japo sio kupenda kwangu ila naona kwangu one is...
Juzi kati kuna mfanyakazi mwenzangu mdada aliniletea "external" yake baada ya mimi kua nimemuomba movies na yeye kudai ana ma series ya kufa mtu. Huyu binti ni mtu na heshima zake, hatuna urafiki...
Hadithi ya Kevin de Bruyne na mwanamke aliyemwacha
Picha ni marafiki wawili waliokua pamoja ndani timu ya kukuza vipaji nyumbani kwao Belgium mmoja wa kishua Thibaut mwingine wa maisha ya chini...
Habari za Sabato!
Kwa kweli Sisi wengine tulishaweka miiko na mstari kuwa Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli wala asiyeweza kujinunulia vocha huyo hatuwezi ku-date naye.
Kwanza hatuamini kabisa...
Ndugu wana Jf.
Kwa masikitiko makubwa sana kumeibuka wimbi kubwa sana la wanaume wambea siyo kawaida yani akiona kitu au kusikia kitu atahakikisha amesambasa na tena wengine kazi yao ni kufukua...
wakuu,niko katika mahusiano na binti wa kikinga na kwa namna tunavyoenda nimemwahidi kumuoa as soon as possible.ila kabla ya yote naomba kupewa sifa za wasichana wa kikinga ziwe nzuri au mbaya poa tu.
Stage ya ujana ndio imezoeleka kuoa lakini lolote laweza tokea, yawezekana mwanandoa akafariki ama mkaachana, n.k.
Kwa mwanaume mwenye 43 ambae alishaoa ujanani lakini kapatwa na gharika mojawapo...
Habari za Leo.
Kwangu ni lazima kuoa Mwanamke wa Kaskazini au jamii zinazokaribiana Mila, desturi, falsafa na mitizamo kama ya Wanawake WA Kaskazini. Kuoa Mwanamke wa Kaskazini kwangu Sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.