Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Salaam jukwaa la MMU Ni kweli mtoa mada kaongea kishamba kwamba wasipewe simu kubwa ila mimi niko naye bega kwa bega kwa sababu hizi. 1. Hawa wa kutokea kolomije wa darasa la saba sio lazima...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Ipo hivi, zile nywele za sehemu husika zina faida au hazina faida? Nimeuliza watu wa karibu wamekuja na majibu tata, eti kuwa uyaone (sentensi ninayoichukia kushinda zote duniani). Ninavyofahamu...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Hello wakuu, Nina dogo yupo pale Chuo Kikuu kikongwe nchini, sasa na hii sikukuu dogo kafika nyumbani kwangu katika maongezi akanionyesha picha, nikahamaki, akaniambia huyu dada amekuwa...
5 Reactions
32 Replies
4K Views
Hivi kuna haja ya kulipatia heshima tendo la ndoa baada ya kuoana? Mlio tayari kwenye ndoa tujuzeni japo kwa ufupi kuhusiana na uhai wa tendo kabla na baada ya ndoa. Ile mikunjano, mibebano na...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
How many times would a man fall in love in his life time?
5 Reactions
4 Replies
473 Views
Habari za jumapili wana jf,, mnamo siku ya jana mpenz wangu aliniomba ela kwaajili ya kiingilio cha FIESTA hivi leo. Pesa nilikuanayo lakini sikuwa tayari kutoa kiwango hicho kwaajili ya...
28 Reactions
246 Replies
15K Views
Nikiwa naelekea kula usiku huu wa sa 1,ghafla ikanipita gari aina ya V8 mpya hivi ikielekea njia ya hostel, muda narudi nikashuhudia yule msichana white mkali akifungua mlango wa V8 na kuingia...
42 Reactions
344 Replies
43K Views
Uzuri Mimi pamoja na ulevi wangu nimekaa na mwanamke zaidi ya miaka miwili sijui labda kwa sababu alikuwa mdogo ama alinipenda sana ila kila mwaka wenye siku 365 za mwaka nimegonga zaid ya siku...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Ninachofahamu ni kwamba maandalizi ni kwa ajili ya kutafuta utelezi. Sasa mwanamke mjamzito, kwa uzoefu wangu, huwa utelezi upo muda wote (unatokea naturally kama maandalizi ya kuja kwa mtoto)...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Amefanyiwa operation ya kwanza kichwani wiki iliyopita na jana alifanyiwa operation ya pili, inauma na inaumiza sana kijana mdogo sana ambaye hata miaka 20 hajafikisha. Jamani mke wa mtu sumu...
60 Reactions
269 Replies
24K Views
Mjini mimi sio mwenyeji sana na wala sio mgeni pia, siyo chini ya mara tatu katika sehemu tofauti tofauti nikiwa kwenye mishemishe zangu nakutana na mwanamke [sio mmama] akiwa na mtoto, mtoto...
9 Reactions
15 Replies
884 Views
Kuna utafiti nimeufanya miaka ya hivi karibuni watu wengi wamekuwa wakiwachukia ndugu za waliofanikiwa. Yaani ukikaa na mtu ukimsikiliza utamsikia katika story au maongezi yamejaa chuki na hasira...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Salamu, Mnakua katika penzi zito lakini kusalimia na kupiga simu unaanza wewe kila siku. Yani yeye hakutafuti mpaka awe na shida. Ukiona simu yake inakuwa ni ya baby nikuambie kitu!! Tambua...
20 Reactions
92 Replies
6K Views
Hello, Leo nimeamka nimewaza na kuwazua na walla sijapata jibu. Kwanini kitendo tunachokiita mapenzi kufanyana kimekuwa kina nguvu sana kuliko kitu chochote kile duniani. Imeonekana ni Dhambi...
3 Reactions
11 Replies
511 Views
1. Ukiona muda mrefu umepita au mwanamke ambaye huwa hana kawaida ya kukutafuta amekutafuta. Ujue kinachofuata baada ya DEAR MAMBO, I MISS YOU. ni kuombwa Pesa. Ujue atakueleza shida flani kapata...
5 Reactions
4 Replies
705 Views
Inakuchukua muda gani kusahau yale maumivu baada ya kuachwa na mtu umpendae?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna hii kasumba kwamba mwanamke akifunguka kwa mwanaume kwamba amemuelewa; basi labda atajishushia heshima; kwetu sisi wanaume (sio wavulana), kasumba hii haina ukweli hata kidogo. Nimeandika...
14 Reactions
145 Replies
5K Views
Ukimtongoza tu, lazima aombe ushauri kwa marafiki zake; hawa huwa ni wasumbufu sana, iwe ni kwa malengo ya muda mfupi au mrefu. Utakachomwambia tu, anawashirikisha wenzake; na kama hao marafiki...
29 Reactions
113 Replies
4K Views
Kwa kawaida, wanaume wengi wanapenda kuoa mabinti wenye umri mdogo. Ndio maana wanawake wengi wenye umri mkubwa wanapigania ndoa zao kuliko wanaume. Na wanawake wengi wasio na waume ambao...
4 Reactions
44 Replies
4K Views
SIKU YA KWANZA HONEY MOON! Katika umri wangu wote wa miaka 30 sikuwahi kutembea na mwanamke zaidi ya kuota kwenye ndoto, Ukiachana na tabia yangu ya kuangalia video za ngono pamoja na kupiga...
13 Reactions
59 Replies
7K Views
Back
Top Bottom