Natumai hamjambo wakuu
Kama umewahi date na ke/me zaidi ya mmoja wanaoshare jina, karibu hapa kushare tabia zao, binafsi nimebahatika date na wana-oshare majina yafuatayao na hizi ndo tabia zao...
Wapo vijana humu wanaojiandaa na ndoa, nawaasa vijana wa kiume, usitumie nguvu nyingi Sana kumshawishi mwanamke unayempenda ili aridhie kuwa na wewe... unaweza tumia nguvu ya pesa kumshawishi...
Wakuu salaam...
Naishi uswazi..ile nyumba kubanana, milio ya mafeni usiku kucha na maredio. Kutokana na mishe zangu huwa inanilazimu kurudi home kati ya saa 7 usiku au 8usiku ndio naingia ndani...
Ukweli katika mapenzi tumetofautiana sana kitabia na mmoja wapo asipomjua mwenzie kwa undani zaidi basi mapenzi hayo hugeuka na kuwa karaha!
Kwa mfano mimi changamoto nayokumbana nayo mara nyingi...
Mbali ya ile kufumania/kufumaniwa.
Inatokea paap unamkuta mupenzi wako yupo na mwengine na wana furaha na mazungumzo yalionoga ila unapotokea wanajaribu kukuchangamkia na kukujumuisha kwenye...
KUINGIA NDOANI NA MTU USIYEMPENDA KUTAKUZIDISHIA UPWEKE.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Kuishi mwenyewe ni kazi, kunachosha, kunakufanya uwe mpweke. Hapo Maisha yanapoteza mvuto. Lakini...
Inasikitisha sana aisee,
Nowdays mwanamke akikuonesha kukupenda ama akikutamkia "nakupenda" usimuamini. Lengo lake anataka tu umpatie mkuyenge
Kuna binti alinionesha kunipenda nikaamua kuweka...
Niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ni wiki ya nne tokea kuanza kumtia machoni. Wiki mbili tokea kumuona niliamua kumfungukia kuwa nampenda, yalinivuja maneno ya kila aina...
Kila mtu ana Zamani yake.
Zamani yenye kufarahisha na Kuleta kumbukumbu ya kujicheka mwenyewe samytimez.
Miaka yetu tunabalehe, vijisimu vya goroka ndiyo vilikuwa vinachangamka, wale watoto...
Nilivyokua msichana nilikua nawaza mahusiano yangu vile yatakavyokuwa.
Nilikua najiambia tutakua tunavaa sare mimi na mke wangu na watoto. Kila mwezi tunapita picha nzuri.
Weekend moja moja...
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then...
Bwana wee! Leo nikiwa zangu geto nimechili baada ya pilikapilika za week nzima si ndio nikakutana tena na hiki kituko.
Ipo hivi hapa nilipo panga Kuna Binti ni pisi ya kwenda in general huyu...
Habarini za asubuhi bandugu zanguni hapa JF natumaini mmeamka salama kabisa na buheri wa afya. Pamoja katika ujenzi wa Taifa letu pendwa.
Moja kwa moja kwenye mada halisi. Leo ningeomba mtazamo...
Hili swali naulizwa sana,
“nawezaje kumfata mwanamke na kuongea naye?” mana naogopa.
Mara nyingi huwa ni uoga wa utaonekanaje ukimfata alafu akakukataa.
Wengine wakaniambia
…haina haja ya...
Habari?
Mimi ni baba wa watoto 2 na mke mmoja.
Jumla home kwangu sasa tuko watu 7, wakubwa hasa ni Mimi na wife tu wengine ni watoto wadogo wa primary na kindergarten na wengine ni wadogo zaidi...
Kiroho sio Kisheria.
Mwenyezi Mungu alisema wamekuwa mwili mmoja. Mnapokuwa tupu, alafu sehemu za siri zimeingiliana ndio tafsiri ya mwili mmoja hiyo.
Hivyo watu wengi wana wake na waume rundo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.