Nawasalimu kwa jina Jf.
Na watu wote tuseme Jf idumu milele
Wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wa kila rika pamoja na vyombo vyote vya kiimani tofauti tofauti kwa majina yao na imani zao wamekua...
Ndugu zangu nataka niwatoe wasiwasi kuwa kujamiana sio jambo baya na msiogope kujamiana nawaomba mzingatie yafuatayo:
Usijamiane na mme au mke wa mtu
Usijamiane na watoto
Usimlazimishe mtu...
Ndoa sio mchezo mmoja lazima ajifanye mpumbavu.Mimi niliwahi kuoa ndoa ilidumu miaka miwili tukafanya divorce.HAkuna ndoa isiyo na changamoto ndani ya nyumba kuna mashauri kibao kesi kama zote...
Wadau mimi nmekuja Tabora mwezi sasa. Nimekuja kikazi shughuli zetu. So siku zote hizi nalipwa Per diem kama kawaida. Nikawa mara kadhaa napata burdan sehemu mbalimbali mpaka mwenyeji wangu...
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na za mwizi ni arobaini hichi ndicho kitu ambacho kimenitokea jana maeneo ya maeneo ya Kimara gest x yaaani sio poa kabisa nusura na mimi pia niwe wa upande wa pili...
#UsipooaUtaolewa
Acheni kufundisha watu uhuni, kwamba kama nyie binafsi mmeamua kuwa wasela sasa dunia nzima iwe hivyo, aaargh.
Kuna raha ya ndoa nyie waseja, hakuna mambo yatakayokuwa perfect...
Nimekuwa nikiona malalamiko mengi kuhusu wanawake humu, kila post ni kuwasema wanawake. Sio kwamba nakubaliana na wanachokifanya ila asilimia kubwa ya matatizo yote yanayotupata sisi wanaume...
Habari wana JF.
I hope wote wazima wa afya. Twende moja kwa moja kwenye mada kumhonga mwanamke ni kitu cha kawaida sana ukiwa umempenda au kumuelewa. Huwezi kuacha kumhonga mwanamke maybe ukiwa...
Huo ndio ukweli najaribu kusikiliza sauti za wanawake wa nchi zingine, ukweli sauti zao nzuri sana sana, ila hapa Tanzania na East afrika nzima yaani kushuka South kwa Africa kuanzia jangwa la...
Ndugu zangu poleni na majukumu ya kujenga Taifa na uchumi binafs
Mimi kaka yenu, Kijana wenu, mdogo wenu na mtoto wenu pia kwa kila rika tofauti tofauti kwa heshima sana nakuja mbele yenu...
Habari za wakati huu ndugu zangu,
Mimi ni mwanaume wa miaka 30+, nimefika katika hatua mbaya sana katika maisha yangu, kiukweli mwili wangu na nafsi yangu na akili yangu yote vinahitaji kuwa na...
Anyo-Ashi-Mikaaaa!!
Niende kwenye mada.
Wakati fulani nilisikia wimbo wa msanii mmoja ajiitaye Alikiba ukiimbwa "yana run dunia", ila wengi wakaubadilisha na kusema "wana run dunia"...
Kwa Msioelewa, C-section ni Upasuaji wa kumzalisha Mama (kutoa mtoto/watoto) Kwa Kizazi kwa njia ya upasuaji.
Toka Nilipolala usiku wa kuamkia Jana, mpaka Leo sijalala yaani 24 hours bila...
Kuna binti anaishi Msasanu, Uswahilini kule Makangira, huyu dada mwenye watoto 3 nilikutana naye mwaka 2019 siku chache kabla ya XMas.
Nilimfahamu miaka mingi nyuma tukisoma enzi hizo Kinondoni...
Walevi tunapitia mengi sana pia tunayafanya mengi sana hawa watoto wa miaka ya 2000 ambao wametoka wilayani na kuja mjini kutafuta kazi na wakajipeleka katika ma bar wanapitia mengi sana unakuta...
Kwanza kabisa naomba uamini kuwa dreams do come true…. Yes unaweza ku end na yule unaemtaka wewe. Ila sasa tujaribu kuwa real kidogo kuwa chances za wewe kumnasa Brad Pitt and the like are...
Habari za wakati huu ni mbaya..
Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpe nini haridhiki.
Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana, kikubwa ni kuomba tu Mungu...
Haya mnaomtaka huyu Dada Mtangazaji wa Radio One na ITV Farhia Middley tayari ameshawawekea Vigezo vyake hivyo Kazi Kwenu.
Chanzo: Kipindi changu Pendwa cha Mazungumzo ya Familia na Radio One Leo...
Nilikuwa nimekaa sehemu ya kificho kidogo, sasa kuna demu alikuwa anaongea na simu. Kwa kuwa hakuniona alikuwa anajiachia tu alikuwa anaongea kwa hisia sana.
Maneno ambayo mpaka sasa yamekaa...
Hamjambo!
Zamani kidogo nchi yetu ilikuwa maskini Sana. Yaani ninaposema Maskini namaanisha Maskini Mno, fukara, apeche Alolo.
Kama huelewi nazungumzia nini nasi nikusaidie kuunda picha kichwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.