Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habarini za muda huu wadau, Niende kwenye mada, mimi ni mwanaume nimeoa, ila nimemuacha mke wangu kwa takribani Kama mwaka hivi sjawah kukutana nae, ingawa ana mtoto mdogo wa miezi kadhaa. Sasa...
9 Reactions
641 Replies
41K Views
Naanza kwa kukazia "Ngono ni wajibu wa kutimizwa kwenye Ndoa..." Ngono katika ndoa sio fursa. Mpenzi wako ana HAKI kwa mwili wako - kisheria na kibiblia, hivyo ni makosa kunyimana. Tambua kuwa...
8 Reactions
49 Replies
2K Views
Wanandoa wenye furaha katika ndoa yao ni watu wanaoishi kwa ukaribu sana. Hapa sizungumzii kuhusu wale wa 'piga makalio kisha tufanye ngono.' Bali namaanisha wale wa kugusana kimwili mara kwa mara...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
Naiman kwa uwezo wa Mungu mko wazima Kuna kitu kinaniumiza moyo sijui nipo Sawa au naakosea naomben tu mnisahihishe kama Iko hv niliolewa nikiwa na mtoto mmoja ambae baba ake ni marehem sasa kwa...
46 Reactions
394 Replies
24K Views
Sijakataa kuwa mwanamke ameumbiwa nyodo. Kwa utaratibu wetu wa bara la Africa, hata kama mwanamke amekuja gheto kwa nauli yake, ni lazima aoneshe ugumu katika kukupea tendo la ndoa, ile kukataa...
1 Reactions
10 Replies
803 Views
Kheri ya Eid pili wakuu na jumapili njema wenzangu na mimi, moja kwa moja kwenye mada wakuu mimi nilikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja almost ana miaka 21 na mahusiano yetu yaliendelea vizuri...
12 Reactions
102 Replies
4K Views
Habari . Ndugu wana Jf katika tafakari zangu za siku ya weekend nimegundua wanawake ndiyo sababu kubwa sana ya wanaume kuonekana hatuna nguvu za kiume. Wewkend yangu ilienda kwa jasho sana...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Ikiwa mnaishi pamoja ni rahisi kuzoeana. Mazoea kwenye mahusiano yanauwa mapenzi. Mnajikuta kama kaka na dada. Au mbaya zaidi mwanamke wako anakuacha kwa kusema umebadilika. Kupeana nafasi kwenye...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wanawake mnaitwa huku kusikiliza ujumbe wa mwanamke Mwenzenu. Huyu ni boss ana vijisenti ila Sasa unakutana na kamwanamke choka mbaya mdomo Sasa ndio shida tupu. Kitendo Cha wanawake kukigeuza...
4 Reactions
4 Replies
782 Views
...... ......... ............ Hiyo nafasi nilio acha hapo juu ni kwaajili ya salam. Ipo hivi..... Jana wakati tunatoka shambani kidogo niliona mabadiliko kutoka kwa mamaenu (waifu). Alikua mtu...
15 Reactions
62 Replies
3K Views
Naandika hili nikiwa na hasira sana Msaada mwenye kujua spray yeyote au sawa inayoweza chafua hali ya hewa kwa muda mfupi na kusababisha pasikalike Au dawa ambayo ukichoma itaharibu hali ya...
6 Reactions
47 Replies
1K Views
Juzi nipo zangu home, nipo juu nikasikia huko Ground Floor kuna mtu anagonga mlango nikashuka ngazi fasta maana kuna ugeni nilikua nautegemea (kwa sisi masikini hatuna uwezo wa kuweka lift, ni...
25 Reactions
135 Replies
15K Views
Habari za humu poleni na majukumu Kabla sijaoa nilibahatika kuwa na mahusiano tofauti na mabinti wa kigoma kwa nyakati tofauti Wa kwanza nilikutana naye dar gongo la mboto alikuwa mtu wa kigoma...
7 Reactions
18 Replies
1K Views
Hivi karibuni, nilipata mualiko kwa kamchepuko kangu, ambaye anadai ana ujauzito wangu. Ikabidi niwe mzalendo na kuamua kufunga safari mpaka mkoa aliopo. Baada ya kufika, nikatafuta eneo la...
8 Reactions
34 Replies
2K Views
Naaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka. Je, nitakuwa nimekosea?
30 Reactions
214 Replies
19K Views
"Mimi nina mpenzi yaani ni kama mke tofauti ni hatujafunga tu ndoa rasmi na tuna mtoto mmoja. Huyu binti sijui hata niseme ana wivu, sijui ni matatizo gani. Nilimpa uhuru wote wa kushika na...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Hii kitu ni balaa sana, Uwe unadate na mwanamke anayehitaji kuolewa kwa muda huo, yule anayeona kama umri unamtupa mkono huwezi enjoy hayo maahusiano ni kero mwanzo mwisho, Maswali kama, "hivi...
82 Reactions
313 Replies
20K Views
Asalam aleykum. Ndugu zangu hakika mke mwema ni starehe moja bora kabisa duniani hata ukiwa huna hela ila mke mwema ni kama tulizo la nafsi. Image una maisha magumu, pesa unaipata kwa shida ila...
26 Reactions
199 Replies
6K Views
Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Asikudanganye mtu yeyote yule, pesa haina nguvu yeyote kwenye mapenzi. Pesa hainunui mapenzi, haijawahi kununua mapenzi. Pesa inaweza kununua ngono lakini kamwe...
24 Reactions
66 Replies
5K Views
Katika kuongelea suala zima la mapenzi ni vigumu kujua maana halisi ya mapenzi kwa maana halisi ya mapenzi ni kutokana na mtu mwenyewe anavyoona. Lakini kwa ujumla mapenzi ni ile hali ambayo watu...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom