Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari. Moja kwa moja. Jamaa yangu anaomba ushauri kwani amepoteza hisia na mwili wa mwanamke kabisa, Amenieleza kwamba hata mwanamke avue nguo awe chiu wa mnyama lakini wapi hana hisia naye...
1 Reactions
9 Replies
969 Views
Kuna Baa moja hapa nimezama na mim kwa leo, yani wanaume wote counter tumenuna tupo buyu, bar ina wanawake wengi saana lakini tunaziangalia tu zikijipitisha hakuna cha kuwaita wala kuwasemesha...
15 Reactions
25 Replies
2K Views
Ukihitaji salamu subiri kwanza nifulie,tofauti na hapo utaambulia Chuya!. Kuna Majitu ndiyo yanayofanya ndoa zionekane hazina maana kwasababu hayataki kubadilika. Ndoa ina raha na ndoa ni tamu...
1 Reactions
1 Replies
435 Views
Nimetoka kwenye mitandao ya wanawake huko njkiwa natumia fake id kuna hawa wanawake ambao wanaingia kwa lengo la mali tu, unamuoa mnakaa miaka mitano huyooo, ndukii !! wapo wanaojutia maamuzi...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Ni red alert[emoji615][emoji724] Kwa wadangaji wote waliofanikiwa kupora waume za watu wenye familia na ndoa za muda mrefu waliotengana, kuachana ama kutalikiana na wake zao halali za ndoa Kabla...
20 Reactions
61 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu, poleni na hekaheka na harakati za siku nzima Kesho ni ijumaaa msisahau kuwatumia wapenzi wenu hela jamani, mtumie babe wako hata ka 6000 akale biriani au chips msiwe wachoyo...
10 Reactions
55 Replies
2K Views
Sina maneno mengi sana leo ila wacha niwape ukweli kuhusu kufa kwa ndoa na sababu iliyo sababisha. - Pale tu walipo ruhusu mwanamke atafute pesa kwa udi na uvumba kama mwanaume ndipo ndoa ilikufa...
25 Reactions
50 Replies
5K Views
Vijana inabidi tuwaase, Dunia iko kasi, muda wako mwingi uwekeze kwenye kupiga kazi za kusaka maisha. Ukimpenda mwanamke wewe mtongoze tu na ikiwezekana majibu akupe siku hiyohiyo au akichelewa...
20 Reactions
45 Replies
3K Views
Wakuu Habari!. Nakumbuka ilikuwa Mwaka 2016 Niko Dodoma! Nilipendelea sana kununua madada poa mitaa ya uhindini hapo. Basi bwana Nikiwa Mimi na jamaa angu tukiwa tunachagua bidhaa ya kuondoka...
3 Reactions
5 Replies
679 Views
Mwenye kuifahamu sheria ya ndoa tafadhali! Kuna mama ana miaka 70 anataka kuolewa hii imekaaje?
2 Reactions
5 Replies
592 Views
Maneno ya kuonyesha maumivu, mikunjo ya sura ya kuumia, machozi, kilio cha maumivu huwa vinapagawisha sana wanaume na kuwaongeza midadi kwamba wao wana moto mkali. Ila pia kuna kufeki maumivu...
1 Reactions
2 Replies
516 Views
Salaam wakuu, dah nina andika Uzi wangu huu nikiwa Kijiji Cha wapiga miti. 👉Niko na mzee wangu Ushimen, tuki endelea na mapambano yetu Kama Wana familia Ila kuna vitu vya mzee wangu huyu, vina...
3 Reactions
33 Replies
1K Views
Ni vipi wazeiya.Nimeona niwakumbushe tu wapo wadau ambao wanawachukulia poa walinzi wao na hata kuwadharau bila kukumbuka kwamba wakiwa hawapo wao ndio huwasaidia KAZI. #NAOMBA KUWASILISHA.
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Nahisi Kuna mambo mnapitia na yanawaumiza ila mmekosa pa kusemea. Wanawake tumepewa kipaumbele sawa, lakini nahisi wanaume wamesahulika kusikilizwa. Hizi mambo naona ndo zinachangia; 1. Kuuua...
18 Reactions
188 Replies
7K Views
NAWAKUMBUSHA, NDOA NDIO INA TALAKA LAKINI MAPENZI HAYANA TALAKA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Huwezi amua kumpenda Fulani. Upendo upo naturally. Mapenzi ni naturally. Mapenzi ya kuamua ni...
14 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu, Kama topic inavyojieleza...binafsi Mimi ilishawahi nitokea nilikuwa na mahusiano na Manzi mmoja na tulipendana sanaa sikuwahi jua Kama naweza kumfumania coz kipindi icho nilikuwa bado...
8 Reactions
37 Replies
4K Views
Salaam JF, Nimechukua muda wa kama miezi 3 tu kujua hii kauli inayotolewa na wanawake kwamba "HATA JAMAA AKICHEAT NI YEYE KIKUBWA ANANIPENDA NA KUNIHUDUMIA" kuwa ni ya kimkakati. Mwanamke...
0 Reactions
7 Replies
753 Views
Angalia phonebook yako una namba za wapenzi(marafiki) wangapi ambao anytime unaweza kuwaita ukawagonga na kuwapa minimum 15,000/=. Binafsi mimi ninao mademu 13 ambao kwa wastani ndani ya mwaka...
15 Reactions
84 Replies
3K Views
TUACHE KUJIPA MOYO, NDOA KWA KIZAZI CHA SASA NI GEREZA LA MATESO. Anaandika, Robert Heriel Kuhani! Soma Kwa Utulivu; Linatesa Wanawake Linatesa wanaume; Lakini Kwa nini? Ili ndoa iwe ndoa kweli...
52 Reactions
144 Replies
9K Views
Wanaume wengi sasa wanatumia mahusiano as a cover for free sex and babe to do house chores. KE nao wanatumia relationship as poverty alleviation scheme, wanaumiza vichwa,kuroga, kuganda etc ili...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom