Wala sina tatizo lolote binti wa dukani kuwa na mahusiano ya kimapenzi maana nae ni mtu mzima tayari mwenye kila sifa ya kupata haki yake ya kimahusiano.
wala sina tatizo hata ikitokea rafiki...
Wanawake wenzangu,
Ni red flags gani ukiziona kwa mwanaume unaona kabisa huyu hafai kuwa nae kwenye relationship or hafai kuwa mume. Za kwangu ni:
1. Akiwa hana busara
2. Hana tone ya nzuri...
Msichana mdogo wa miaka 18 aliwahi kuja kwangu na kuniomba msaada. Hakuhitaji msaada mkubwa sana kama mwenyewe alivyosema, kwani alitaka kusaidiwa kupata jibu la swali ambalo lilikuwa likimtatiza...
Kuna vijitabia huwa tunaviita red flags yani mtu akiwa navyo basi hamuwezi kudumu unaanza kutafuta exit strategy.
Kwangu mimi:
1. Nikimkuta binti ana chats nyingi na wanaume whatsapp huwa ni...
- Ninanyimwa tendo, wanaopewa ni watu wa huko nje. Hii kweli ni haki?
"Najihisi mjamzito Melki! Kama utapata muda kesho, naomba unisindikize tukapime ili niwe na uhakika", yalimbwatuka akiwa...
Hellow
Maisha ya ndoa yana changamoto nyingi sana japo kuwa kuna wakati matatizo yanasababishwa na pande zote mbili
Kwa upande wa mwanaume vitu vinavyo pelekea wao kuleta migogoro kwenye ndo ni...
Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa...
Ndoa ni muhimu, na huwa muhimu kwasababu ni kitu kinachowaunganisha mume na mke na kuanzisha familia, na huleta baraka nyingi kama vile watoto na nyinginezo nyingi.
Hata hivyo siku hizi, ndoa...
Pengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.
Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1-...
Habar wana jf,
Kiukweli nachukia sana mtu kukuona mjinga alafu likimkuta lakumkuta anarudtena kukuomba ushauri iliiweje sasa wakati mwanzo alikudharau kwa ushauri uliompa.
Iko hivi kuna jamaa...
Habari wakuu, naimani wote mpo salama...
Katika pitapita zangu Twitter nimekutana na hii simulizi ndogo ya jamaa alieng'oa pisi kali Kwaahadi ya kiwanja... Shuka nayo...
Wakuu habari zenu..
Kuna Bidada mmoja nimetokea kumpenda sana. Lakini sasa kila gia nikiingiza yeye zote nimechomoa ila hiyo moja tu ya nina mtu wangu inaninyima amani asee.
wakuu si kweli kwani...
Hello JF family,
Tusilazimishane, makalio si chochote kwa mwanamke, makalio sio innovation wala creativity, na sio unique attribute kwa mwanamke. Upekee wa mwanamke ama wanawake ni chuchu embe na...
KWANINI WANAWAKE KAMWE HAWATAKI WAWE MATAJIRI??
Wakati mwingine nikikaa peke yangu nakuwa na maswali yangu halafu mengine ninapata majibu haraka sana. Ni majuzi kati tu hapo nimekuwa nikijiuliza...
Jamani nina swali nataka kuuliza,utakuta mtu ana mke wake halafu anamtongoza mke wa mtu na kujinadi kwake kua ana mpenda mpaka hana amani hivi hapo anakua amempenda au ametamani kua naye?.
MAPENZI raha yake ni kupendana. Yananoga zaidi wapendanao wanapopendana kwa asilimia mia. Mwanaume ampende mwanamke kwa kiasi hicho, vivyo hivyo mwanamke ampende mwanaume. Hapo ndipo utaiona tamu...
Huyu si mwingine Bali ni mom's boy.
Hii ni term inayotumika kumwelezea mwanaume ambaye anamtegemea Mama yake katika umri ambao anatakiwa ajisimamie mwenyewe.
Ni mwanaume ambaye hawezi kufanya...
When choosing a woman who works, you have to accept that she can't handle the house all alone.
If you have chosen a housewife who can take care of you and fully manage your household, you have to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.