After I permanently lose someone very special, how do I, and should I even try to, keep from falling into despair?
Rest in internal peace my lovely Mom. Kweli sio kila anaecheka na wewe...
Kutokana na changamoto za kiuchumi pamoja na uhaba wa wanaume wenye sifa za uoaji kupungua; mabinti wakileo wameanzisha utaratibu wa kujisogeza kwa mwanaume na kuanza naye maisha, bila kufuata...
Wanajukwaaa mko pouwaa.
Looooo! Katika hali ya kushangaza ndoa ya kungwi mmoja marufu hapa kitaani na mwenye jina kubwa kwenye media ndoa yake imevunjika.
Suala hili limezua gumzo na tafran...
Hi,
Ni onyo kali hata iweje usiache ghetto ukahamisha vitu vyako ukaenda kuishi na mwanamke kwake awe amejenga au amepanga, au kama mmepanga yeyw mwanamke ndiye awe anafahamika kwa mwenye nyumba...
Zifuatazo ni faida za kuoa mke zaidi ya mmoja
01. kupunguza wimbi kubwa la machafu ya uzinifu kwenye jamii....sababu wanawake asilimia kubwa watakuwa kwenye stara
02. Kuongezeka kwa uchumi na...
Umekutana na mwanamke ukapata namba yake na mkapanga mkutane mara ya kwanza mahali ili muongee/ mle/ mpate kinywaji.
Kuna muda hili jambo linatia mawazo sana. Unajiuliza utafanyaje ili umpate...
Moja kwa moja kwenye uzi.
Kama kichwa cha uzi kinavyosema" wanawake hawapendi ndoa" ndio hii inaweza kukushangaza lakini ndio ukweli.
Wanawake hawapendi ndoa kabisa tena hiki kizazi cha sasa...
Ipo hivi...
Mimi na waifu tuna miliki kiwanda cha kuchakata mkaa.
Sasa leo asubuhi kama kawaida nimetoka nyumbani alfajiri nikaenda porini kupangua tanuru la mkaa ili niupange kwenye magunia...
Habari wakuu...nimeona story ya kijana akielezea wema ulivyotaka umponze eneo la kazi
1. INTRODUCTION: SHAVU In 2015
mwishoni nikiwa 3rd year nlipata shavu mahala in a private company.
So i...
Greetings members and guests!!!!!
Napokea malalamiko/Kero/misuguano/sintofahamu n.k kuhusu wanawake kuacha kazi kisa wanaume....
Wadada acheni hizi eti unaacha kazi kisa jamaa kasema acha mwisho...
Niajeeeeeee
Naskia rangi ya majani mabichi na manjano wameanza kukusanya magaidi uko mtaaani[emoji1787],,wataenda kujibu kwa mwenyezimungu siku moja wallah![emoji120]
Kuna vitu vya kuogofya...
Ndugu wana JamiiForums ninapenda kuomba ushauri hivi nikitaka kuoa nizingatie sifa zipi (characteristics)
Kwasababu hivi sasa hakuna ndoa imekuwa ni complex organization ambayo inaundwa na...
Habari za wakati huu, sasa ndoa za kileo ni za hatari sana,
Tukiachana na zamani:
1. Ndoa za leo ni misukosuko. Wanaume wanaoa kitu kwa mtu badala ya yeye mwenyewe.
2. Mtu anaolewa na mtu kwa...
Huu ni ukweli mtupu,hawa feminists wengi ni wahuni tena wamechangia kutuvurugia ndoa nyingi sana na kuziacha familia zikiwa hoi.
Naomba ntajiwe feminists 10 wa hapa nyumbani wenye ndoa halali na...
Hakuna Mwanaume malaya, Wanaume wengi wanapitia magumu kwenye utaftaji wanajinyima wasile ili familia zao zipate. Mwanaume ni mtawala wa Mwanamke siku zote ni lazima aheshimiwe. Wanawake...
Kama ni mke au mume sawa, lakini siyo penzi jipya basi tupunguze au kuacha kabisa kujielezea mambo yetu binafsi. Iwe ni kuhusu wazazi wetu au sisi wenyewe. Nasema hivyo maana mapenzi ya siku hizi...
Pengine wewe ni mwajiriwa ama umejiajiri. Unauwezo kifedha. Umemzuia mkeo kufanya kazi kwa sababu wewe unamtimizia haja zake zote kifedha. Unahudumia familia, na yeye as an individual unamhudumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.