Wadau mko aje.
Leo nalisasambua jukwaa nikiileta mada hii ambayo inahusu kunyimana haki ya ndoa nikimaanisha tendo lenyewe.Wanandoa walio wengine wamekuwa wakilalamika kunyimwa haki yao ya...
Hili ni jambo mara nyingi limejadiriwa humu na muda wote huo likaonekana halina utafiti na kuishia kubezwa na watu wenye wake huko maofisini.
Haya sasa utafiti mliokua mnauhiyaji umefanyika na...
Wanawake shida yenu ni nini? Hawa wasimbe watawapoteza. Yaani mtu ajitafute, apate kazi, anunue kiwanja, ajenge kwa gharama na kwa ugumu, akutongoze, akulipie mahari akuoe akuweke ndani akutunze...
Nikisema hapa tuvue mashati, kila mtu aangalie mgongo wa mwenzake, tutakimbiana jinsi kulivyo na taka, sababu mikono yetu haifiki huko katika kujisugua.
Mwenye uwezo wa kukusugua ni mkeo peke...
Hope your soo good every body,
Leo nataka kushare na both gender, kuhusu ya vitu muhimu wakati wa kufanya mapenzi (sex)....
Nikujuze tuu kuna vitu vidogo vidogo vikipuuzwa vinaweza kukuharibia...
Habarini wakuu! Ni mimi tena kijana wenu jamiiforums! Msione kimya niko katika harakati za utafutaji ndio zinavyotuweka katika ubize si mnajua maisha yalivyo now ni kujihagaishwa ili mkono uwende...
Bwana mmoja alifumania jumbe za maneno, kwa kitasha wanaita (Texts/messages) kwenye simu ya mkewe. Baada ya upelelezi akajua/akagundua kwamba kuna muhuni anatoka kimapenzi na mkewe. Vijana wa...
Moja ya tabia za akina mama zinazoniudhi ni urembo bandia wa kucha, nywele, kope, nyusi, makalio, nyonyo na vitakataka vingine kama hivyo.
Utakuta mwanamke kaanika vipaja uchwara vyake nje...
Adui sio mtu ambaye yupo mbali, ni rafiki yako wa ndani wa toka nitoke, yaani mmeshibana sana ndio anakuharibia maisha. Leo unamuona bonge la dili ila baadae unakuta yeye ndio amekuharibia vitu...
Mambo vipi wana Jf natumai mko poa mnaendelea na majukumu yenu ya kujenga taifa na kujenga familia.
Wosia wangu kwenu muwr makini na mapenz narudia tena Muwe makini na mapenzi jamani narudia mara...
Kuna mama mmoja alikuja home kumtembelea wife yeye ni jirani yetu miaka ya nyuma, amekuja na mwanae wa kike ana kama mwaka mmoja hivi amemjazia shanga kiunoni alivyoulizwa na wife sababu ya...
Wajumbe hamjambo? poleni na michakato ya kuzisaka.
==================================
Ninadhani mmeshawahi kusikia hii dhana ya katerero.Kiukweli nimekuwa nikiifatilia sana kwani kwa mujibu wa...
Kuna kasumba miongoni mwa wanawake kuwa wanapoingia kwenye mahusiano na mwanaume kuanzia hatua za awali na hata ndani ya ndoa, basi ni mwanaume pekee ndie anawajibika na gharama za maisha na si...
Nilikuwa nakula chakula ghafla zikaja kumbukumbu mbaya za vicheko na maneno ya kejeli ya "Hahaha... kanyooshwa", "Kwisha habari yake 'bwege' yule...", "Mshamba tu chezea wanawake wewe", "Usicheze...
Ni weekend nyingine unaweza tembelea Tabata na Sinza kuifurahia weekend yako. Kuna ishu imezuka kwa baadhi ya vijana akishasex na mwanamke anamuunganishia na rafiki zake nao waweze kusex nae...
It was a beautiful day in Mbeya City, the sun was shining and the air was filled with the sweet scent of blooming flowers. I was wandering around, enjoying my break from traveling when I suddenly...
Aisee nyie walimwengu mna siri!
Kumbe mapenzi mnayoturingishia kuna na mambo kupekuana kimya kimya mifukoni na kupekenyuliana simu pasipo kujua!
Mwanzo nilizani ni pombe inanichanganya kumbe...
Ijuma Kareem ndugu zetu Waislamu na Heri ya siku hii pia kwa Wana-jamiiforums wote. Katika mihangaiko yangu ya kusaka 'ngawila' nimebahatika kufanya kazi na watu mashuhuri na wakubwa mbali mbali...
Kwanza kabisa,Poleni kwa misiba mizito inayoendelea,
Pili nawapongeza na kuwapa pole wale wanaume waliooa wale wanawake tunaowaita ambitious women
Wanawake wanaojiangalia wao, wanawake wenye...
Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....
Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....
1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.