Mwanaume.
Nyie ndo nguzo za familia na kichwa cha familia .
Ila niko na machache nataka kuongea na nyie kama mihimili naona mnakosea.
Najiuliza imekuaje wanaume tunaowapenda kuwathamini tunatoa...
Habarini nyote,
Nimefanya kautafiti ka rasha rasha ni hivi mademu wakali wengi wanatupenda sisi wanaume wazaliwa wa 1980s kuliko hayo makundi mengine.
Na kila mikoa ninayozunguka kibiashara kote...
Habari za wakati huu ndugu zangu.
Mimi kama mwanaume nafahamu wazi kabisa ndoa ni baraka na ina mambo mengi mazuri na mabaya ndani yake , pia tumeamriwa tuishi na wanawake kwa akili kwa...
Niende madani....! Tafadhali naomba tuweke mihemko pembeni, matusi hayajengi.
Nipo mahusianoni na binti(mwanamke wa miaka 27)... sasa nikilewa mimi huwa na 'fantasy' za ajabu mno.
Nimekuwa...
Wanajf mko pouwa? Hii mambo nimekuwa nikiisikia tu,wanasemaga mwanamke akinywa kilevi moto huhamia down .Mh nikasema labda ni stor tu.
Kuna jamaa angu ananiambiaga wf siku ametupia kdogo...
Mahusiano ya mbali yanachangamoto nyingi hasa suala la uaminifu.Umbali huu unawezasababishwa na kazi Mfano mhusika mmoja anafanya kazi Kilimanjaro mwingine yupo mtwara.Kuonana ni miezi kadhaa...
Wanajamvi naona mpo safi kbisa na mmechill tu kwa hapo.
Nimeona niwaletee hii nondo mana da hawa wajumbe washanza kutembeza vitasa muda sana sema tu hayaongelewi sababu wanaotembezewa vitasa(me)...
Ujinga wangu ulikuwa "KUMUAMINI MAZIMA".
Nilijutia mnoo [emoji4][emoji4][emoji4]
Nambie wako [emoji116][emoji116][emoji116]
Sent using Jamii Forums mobile app
Salamu tele,
Hakika Mungu anaumba kwa utulivu unakutana na mademu wenye Chuchu embe + Msambwanda+ kichwa kidogo+ kasura kazuri Mungu akupe nini zaidi ya baraka zake na ufunuo wa raha, ladha na...
Asalaam wana wa JamiiForums, husikeni na kichwa cha habari.
Sote twafahamu kila mmoja anafanya kila namna ili kufikia hatua ya mafanikio na sio hivyo tu kila mmoja ana namna yake ya kutafsiri...
Kumekuwa na dhana kwamba unapokuwa kwenye mahusiano na kukawa na ubinafsi katika kushikiana simu basi inaaminika mmja wapo ana kuwa anachepuka je ni kwel dondosha comments chini
Umewahi kukutana na hiyo situation?
Yaani demu ana sura ya BABA unataka kupiga ili upite hivi unakutana na mbususu wewe mwenyewe unasema hapa ndio penyewe.
Mwaka mmoja nimeenda NECTA hapo...
Wanawake wa siku hizi wana lalamika kuwa eti siku hizi wanaume hawataki kuwaoa ila ukiwatongoza wanakataa
Wanawake ninyi bwana mnatabia za ajabu ajabu ila kumbukeni kitabu cha nabii Eliya 4:1
Na...
Wakuu habari Kuna binti mmoja nilikuwa na mfukuzia mwezi wa nne sasa, ni mdada anafanya kazi bandarini Field ya shipping.
Lakini Jana nimeongea nae kwa Simu kwa mara nyingine Nikamwambia...
Habari zenu wadau!
Ikitokea naondoka kwenye chama cha mabaharia na wala bata Tanzania na kusaliti kwa kufanya ufala wa kuoa basi potelea mbali kwanza nitatembea nae vya kutosha, pia ntamfanyia...
Wabandika kucha wanafaidi wake za watu jamani. Juzi nilipita mitaa fulani hivi karibu na soko nikaona hii business ikiendelea huwezi amini. Kwanza Katika harakati za kuusafisha ule mguu, pale ndio...
Assalamualaikum nnawatakia mifungo mema.
Dear girl child kama una malengo ya kuolewa ukae ukijua mwanaume ni kiongozi wa familia aliumbwa yeye ikapita miaka 40 ndo ukatolewa ubavu wake akaumbwa...
Katika uchunguzi wangu nimebaini mshahara wa Kanda ya ualimu kibongo bongo ni mkubwa kiukweli ila nikabaini mambo yafuatayo ndio yanaifanya Kanda hiyo kudharaulika katika jamii...
1.Mavazi hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.