Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kwema Wakuu! Vijana, ikiwa usipokuwa na Pesa wanakudharau, wanakunyali, hawakutaki, na Wakati mwingine wanakutukana. Au ukimuoa siku ukafilisika wanakukimbia. Kwa nini kwako iwe kosa ukijiwekea...
28 Reactions
93 Replies
6K Views
Wakuu kwema naimani mko poa. Nililetaga uzi wangu hapa kuwa kila mda nilikua nawaza kuoa. Sasa nilikua na Girlfriend wangu wa kitambo nikamcheki tukachati chati nikamsetisha akakubali nikamtumia...
8 Reactions
49 Replies
3K Views
Wadau hamjambo!! Nauliza, hivi kuna dawa ya kuweza kumvuta mpenzi wako, ambaye ameamua kukuacha. Yaani mpenzi wako kakuacha na kuamua kukublock ili msiwasiliane huku akijiapiza mbele ya rafiki...
2 Reactions
48 Replies
86K Views
Habari wadau JF kama kichwa cha habari kinavyo jieleza niende moja kwa moja kwenye main issue! Kama mnavyojua siku hizi kila pisi kali utakayo igusa lazima itakwambia ina mtu wake basi mimi huwa...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Imezuka tabia ya wadau walio Katika mahusiano kuchafuana baada ya kuachana. Unakuta watu waliishi vizuri tu inapotokea wametofautiana wakaachana unaanza kuskia mara oooo! kwanza alikuwa analima...
15 Reactions
129 Replies
5K Views
Wakuu hapa kuna mjadala unaendelea nimeona nishare na wanavyuoni wa JF. Wengine wanasema lengo la tendo la ndoa ni kupata mtoto au mwanaume kuburudika, mwanamke ajiongeze humohumo wakati mwanaume...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau Leo heb tuangazie kidogo haya maharage yaliyojizolea umaarufu nchini Tanzania yaani maharage ya mbeya[emoji23].Imekuwa ikisemekana kwamba maharage haya yanaiva haraka sana tena hatakama moto...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakuu Habari, huu uzi ni wa kuwatia moyo kina Dada walioamua kuachana na wanaume malofa na kuamua kufuata ndoto zao. Ipo hivi; Nina Dada yangu nampenda sana, baada ya kumaliza masomo...
50 Reactions
71 Replies
5K Views
Yamemtokea jamaa yangu wa karibu , mbaya zaidi anaonekana kushibana kweli na mpenzi wake tatizo linalowakwamisha kufunga ndoa ni kua kila mmoja hayupo tayari kufata imani ya mwenzie, na ndoa ya...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari ya mchana JF, naomba niende moja kwa moja kwenye mada kama ilivyo. Nina mpenzi wangu huu mwaka wa pili sasa lakini kinachoniumiza akili zaidi ni kwamba hataki nimchezee na vidole wala...
18 Reactions
202 Replies
13K Views
"Kijana tafuta pesa" ndio kauli utasikia vijana wengi wakishauriana.... Na pia wanawake mkiona nyuzi humu vijana wanapigizana kelele watafute pesa ili wawapate mnajiona mpo juu....lakini ukweli...
16 Reactions
46 Replies
6K Views
Wakuu habarini naomba kuuliza, Kuna binti na mu approach lakini haoneshi kukubali Wala kukataa aisee na shidwa kuelewa. Ila naona kama vile anapima uvumilivu wangu, aisee. Yaani sielewi wakuu.
1 Reactions
5 Replies
439 Views
Sina haja ya kusalimia kabisa. Nimemuita demu wangu tulale naye leo anipe kampani cz kazini nimevurugwa sana ila katika kupiga piga story kaanza makelele na lawama zisizo na mpangilio hata radio...
0 Reactions
8 Replies
819 Views
Ndugu zangu kwa kifupi, ma Binti naowahitaji huwa sipawati lakn wale nisio wahitaji ndio Wana jilengesha. Roho Inaniuma sana sijui shida nini? Sijui sifahamu namna ya ku approach. I feel sad
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Ati ukiachana na mpenzi wako basi litampata baya huko aendako na hata kama likimpata baya usifikiri limempata kwasababu aliachana nawewe! Huo ni upuuzi tu ambao ni kama failure ya ubongo. Your not...
14 Reactions
51 Replies
3K Views
Salaam, Huwa nastaajabu sana humu kwa baadhi ya wanandoa wakituhasa vijana ya kuwa kuoa sio guarantee yakupewa tendo utakavyo. Wengine wanadai inawafikia hadi mwezi wanabaniwa. Nachofahamu mim...
1 Reactions
70 Replies
3K Views
Halafu mimi naishiwa kisimuliwa maufundi na vimbwenga mbalimbali wanavyofanya wenzangu Sijui wanawake wengine wako vipi asee. Ni housegirl wa jirani yangu, nikaona wacha nimpandie hewani. Baada...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Nimeshajionea mara kadhaa hasa hizi pisi za chini ya miaka 26 huwa wanajiona dunia ni yao na wa kupanga vigezo ni wao. Kuwa approach mabinti wa umri huu wengi mkizinguana kidogo tu hawaoni shida...
30 Reactions
247 Replies
13K Views
Tusisumbuane na mambo ya salamu........ NB:- MI SIO MTAALAMU SANA KIUANDISHI WALA KUPANGILIA VISA NA MATUKIO KWA HIYO SOMA VILE UTAKAVYOELEWA, AMBAVYO HAUTAVIELEWA NITAJIBU KWENYE COMMENT...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Ijumaa Kareem! Kwamba mmeamua kumwaga ugali au? Naomba nisiongee mengi leo ila nashuhudia malalamiko mengi sana kutoka kwa wanawake. J Pili nikipiga jicho Kawe kwa Mwamposa naona mamia ya akina...
5 Reactions
90 Replies
4K Views
Back
Top Bottom