Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Niulize kwanini...... Fanya tafiti ndogo sana watu ambao wanatetea wanawake, mtego wao mkubwa ni kutunukiwa hakuna kingine, ni wachache sana kukuta Mwanaume kamili yuko anazungumzia masuala ya...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, kila siku tunasoma tu kwenye mitandao mambo ya usagaji na Ushoga katika kila jamii. Nina imani kama hali hii ipo lazima yamemkuta mwenzetu humu mmu...
51 Reactions
2K Replies
386K Views
Zamani tuliwasikia wazee wetu wakilikataza jambo hili na mambo mengine wenyewe walikuwa wanasema (MWIKO). Katazo hili la watu kushika mtoto baada ya kutoka kujamiana halikuwa bure lilikuwa na...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wanaume wanaangalia vitu vya nje, kama umbo, rangi au nywele na hapo hapo wanaamua kama wamempenda mwanamke kimapenzi au la. Hata kabla hajaongea naye anaweza jisemea “huyu ndo namuoa”, japo hajui...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Yapata muda wa miezi kadhaa Tangia nianze mahusiano na Binti mmoja wa kinyarwandwa ,Tulikua tunawsiliana vizuri,siku Moja niliwasiliana nae kuhitaji kuonana nae dating,akanambia nimtumie nauli Cha...
4 Reactions
16 Replies
935 Views
Wadau. Msaada sijaosha rungu week ya pili sasa. Nipo huku Dubai. Sijui hata pa kuanzia. Nawaza je sitopata madhara yoyote bila kuchovya rungu week 2 sasa? Sijazoea... Imeniletea shida muda wote...
8 Reactions
36 Replies
3K Views
Ukiwa na pesa na bado ukawa unaendelea kuteswa na mapenzi hayo ni matumizi mabaya ya pesa! Mwanaume ukiwa na pesa inabidi ubadilishe mindset uwachukulie tu kama ni chombo hakuna kuwekeza moyo...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
WanaJF natumaini mnakumbuka siku chache zilizopita niliomba ushauri kuhusu jambo langu la mapenzi hapa JF kuhusu mchumba wangu aliyekuwa akisita mimi kuendelea na mchakato wa kutuma mshenga kwao...
12 Reactions
10 Replies
2K Views
1. Wanaume sasa tunashindana kufanya twerking......yaani tunatwerk tu. Kama unabisha angalia videos nyingi za wanamuziki wa sasa. Kiufupi ni kuwa tunatamani kuwa wanawake kama alivyowahi kukiri...
32 Reactions
140 Replies
7K Views
Kwema ndugu zangu, Kama kichwa cha habari kinavyosomeka nimekuwa napiga sana mademu verse lakini naambulia vibuti, sijui tatizo Nini wakuu hebu nipeni mbinu mbadala
13 Reactions
362 Replies
13K Views
Naomba tuelewe mada na tuje na majibu serious, kuna maamuzi magumu nataka kuchukua kwa mara nyingine tena. Huyu nilienae nataka nimuweke dormant asije niua huko mbeleni, kuna dalili sio nzuri...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari zenu, Hakika kunena ushuhuda ni raha sana ndivyo naweza kusema, mpo, mwanamke wa kinyamwezi mtamu na anayajua mahaba nihabue. Ni fundi na amefundika anaweza hatari sana. Woyo woyo woyo...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Je, ni kwa sababu ulikuwa unampenda mwanamke huyu zaidi ya kitu chochote duniani au alikuwa karibu yako wakati hamu ya kutaka kuanzisha familia imekushika? Au pengine ulipelekwa kwake na upepo wa...
11 Reactions
38 Replies
6K Views
Kuna binti mwaka 2018 nilimtongozaga akakubali tena akaonesha kunipenda ila tena nikaadha kumuona wanini. Yaani kujibu sms hadi nijisikie yaani nilimkinai ata Bado sijamvua nguo alikua anani...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna kipindi nilipoteza kazi na kufikia maisha yangu kuyumba sana, hivyo ikapelekea mimi kuanza kuuza vitu yyangu yya ndani ili nipate mtaji nianze biashara ili kujikimu. Jiji la Dar ukiingia kwa...
53 Reactions
171 Replies
13K Views
Natumaini ni wazima wa afya leo nimerudi tena kutafuta mwanamke mwenye malengo na mapenzi ya dhati hapo mwanzoni niliopost thread ya kutafuta mchumba kuanza mahusiano serious lakin bado...
6 Reactions
55 Replies
3K Views
Habari za sahivi wana JF, mim ni yule kijana kama mnakumbuka nilikuja kuomba ushauri juu ya kukataliwa ukweni ,kila mtu akasema yake. Wengine wakasema tafuta hela, wengine wakashuka matusi, ila...
6 Reactions
100 Replies
4K Views
Ndoa sio ya kila mtu, ndio maana wengine wanazeeka wakiwa singo. kwa kutumia uzi huu, kwa wale wadada wanaotaka kuolewa inabidi wajitathmini kama hizi sifa wanazo, kama hawana wajitahidi...
40 Reactions
319 Replies
11K Views
Wanajukwaa mko pouwa? Leo nimeona hebu tushare uzoefu katika jambo hili. Tumekuwa tukishuhudia ndoa nyingi zikifungwa huku wahusika wakisheheni upendo na furaha sana lakini upendo huu unakuta...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Kwenye kuoa au kuingia katika mahusiano na mtu ingekuwa kila binadamu ana data base ya kusoma taarifa za mtu za mahusiano yake aliyopitia na matukio aliyowahi kukutana nayo kuna watu wasingekuwa...
4 Reactions
3 Replies
436 Views
Back
Top Bottom