Baada ya Kupita pita kwenye mitandao ya kijamii mbalimbali Kwa lengo la Kuona ni Kwa ukubwa gan hii kampeni ya Kataa Ndoa imefikia, na kundi gan la Vijana linaloshadidia hii kampeni , nikagundua...
Kutojiamini inajionesha kwenye tabia yako.
Hata kama ulijificha lakini matendo yako yataonesha tu hujiamini. Na kama ulipata mwanamke anaweza kukuacha au kukusaliti. Sababu unaonesha tabia za...
Habari wadau wa Forum hii,nami naomba kushare machungu niliyowahi kupitia katika mahusiano baada ya kupata ujasiri kwa shuhuda za watu humu JF!
Waswahili wanasema ukijua matatizo ya mwenzako...
Mke wa doctor amemfumania mume wake kituo cha kazi (cha afya), akiwa na mchepuko,
Huku mchepuko akilala utupu kitanda cha mgonjwa kama mgojwa. Ili achepuke na doctor.
Leo week ya pili nimeshindwa kabisa kupokea simu ya Baba mkwe na Mshenga wangu.
Iko hivi katika misoto yangu na kukulu kakala za maisha atimae nikajikuta nimedondokea kwa mtoto wa kichaga Kama...
Hawa malaya wamevimba sana mtaani na viduka vyao vya nguo, gari zao za passo na simu macho matatu mnavyowapatia huko.
Na wakiwa wanaulizana na mashangingi wenzao wanasema "ni yupi shosti...
Natumai hamjambo wakuu.
Jana nikiwa nimerejea toka kazini tukawa tunapiga stori na wife aliniuliza "hivi mume tumewezaje kumaliza wiki ya 3 sasa bila kukwazana? wakati mara nyingi hata wiki hua...
Ngono kabla ya ndoa ni ubatili, ni ubatili mtupu.
Ngono inakupeleka kwenye muunganisho wa kina. Unaunganishwa kwa kemikali na mtu ambaye labda hautawahi kumpenda au ambaye hata sio mzuri kwako...
Jamani naomba wenye uzoefu wenu katika mahusiano na wataalam wa psychology ya binadamu tuelezeani uzuri na ubaya makundi haya mawili ya wanawake.
Binafsi naangukia kwa mke /msichana mwongeaji...
Salute Comrades!
Kuna hii ishu ambayo imenifikirisha sana mpaka nimeona niilete kwenu wadau mnipe mawazo yenu.
Yupo mwanamke mmoja ambaye anafanya kazi ya kuuza bidhaa mbalimbali kama vile...
Habari za muda huu wana jamvi. Natumaini wote tu wazima
naomba mchue dakika chache kupititia uzi wangu huu kuhusu ujana wangu ili mpate kunisaidia kimawazo.
Mimi ni kijana wa miaka 28 sasa...
Wakuu,
Kijiwen nnakopata riziki kwa mbele kdg kuna kijiwe Cha bao na draft huwa wanapaki bodaboda, Nikiwa Sina kazi huwa napenda kukaa pale Kupiga story na kubadilishana mawazo na vijana.
Kuna...
Changamoto za ndoa zimekuwa nyingi sana sababu ya kesi za ugumba.
Mume analalamika mkewe hashiki mimba kumbe kamuoa binti akiwa above 28 binti kashakula sana p2 huko nyuma. Kina Dr Mwaka...
Sikuwepo mkoani kwa miezi kadhaa, nimerudi Jana usiku nimekuta mke wangu ana mimba ya kama miezi mitatu, kumbuka sijakuwepo for more than six month.
Sitaki kumuuliza lolote kwa sasa
Huyu ni mwalimu wangu alie tufundisha somo la hesabu tukiwa form two. Ni madam ambaye alijaaliwa uzuri wake alikua mweupe kapanda hewani na anabonge la shepu yaani sijui hata kwa nn alikua mwalimu...
Huwaga naskia stori kwamba kwenye fumanizi ni heri upewe kichapo kizito sana kuliko uachwe uende kwa amani.
Kuna kisa ambacho kimetamba sana ila nadhani ni stori ya kijiweni tu nadhani wengi...
Vijana ndo wnawaharibu na kuwakataa, wakishawazalisha wanaanza kuwaponda (single mothers)
Wakishachovya chovya huku na kule wanaleta skendo za kuoa bikira.
Kulingana na mazingira/maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.