Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Au pengine hamtaki tena. Kwa kuwa alikua hapati penzi tangu mwaka jana, akipata mpaka aombe sana… Mke wake alikua anamkoromea sana, alikua anakuja juu mno… Alikua anagombana na mke wake kwa vitu...
1 Reactions
5 Replies
881 Views
Jana nimeenda zangu bar moja hapa town, nikiwa pekee yangu nikamwita muhudumu, niletee bia akaleta. Hapo nikiwa kauzu, nikapiga cha tatu mara nakuta anatia huruma nikamwambia chukua unywe...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
Ndoa na Jamii Je, mbona kuna talaka nyingi siku hizi? Sababu ndio hizi, na kuna nyingi zaidi ambazo hazimo katika orodha hii. Wakati huo watu wengi huwa na chaguo la kujiondoa mapema kutoka ndoa...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Huyu binti nampenda sana lakini anatabia ya kuongea uongo sanan kuna muda najipa imani kua ataacha lakini baada ya muda yanajirudia. Shida nyingine hata ukimuuliza ni mgumu ku admit kwamba...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Juzi kati kipindi nagombana na wife kuhusu mambo ya mbususu kiufupi nilikaziwa, kupewa sasa kumbe kipindi tunaongombana na wife, wife kwa mdomo wake mrefu akawa anaongea kwa sauti kiasi kwamba...
13 Reactions
54 Replies
4K Views
Habari zenu humu, hopefully mko salama. Jamani niende kwenye point nina Kaka yangu ambaye alipata mtihani kidogo wa afya ya akili alipokuwa mafunzoni Jeshini ambayo imempelekea kutokua sawa, kuna...
10 Reactions
40 Replies
3K Views
Mwanamume mmoja ambaye ni mume wa wanawake wengi amewachamba wanaume ambao wameoa mke mmoja tu. Kaluhana mwenye umri wa miaka 63 anasema wanaume wenye mke mmoja wana akili ndogo sana na hawezi...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Kiufupi ni mwanamke niliempenda Sana. Niliingia gharama kadhaa kama vile saloon, kusomesha wanae, chakula na mahitaji kadhaa ya mavazi na Yale mengine ambayo huwez ukayazingatia kama mwenye jukumu...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Kitu gani niongeze hapo au ndo hayawahusu, Via BANDARI YA TANGANYIKA Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
2 Reactions
5 Replies
786 Views
Ni wikendi uko kiwanja (zile bar zenye lodge) na mwenzi wako mnapata moja Moto,moja baridi. Ghafla mnajikuta mnahitaji faragha kutokana na changamoto mbili tatu zilizowakumba haraka haraka kwa...
25 Reactions
138 Replies
10K Views
Sikutaka kusimulia kisa hiki lakini nimepatwa msukumo baada ya jamaa yangu kupatwa na jambo lake la kustaajibisha huko Magu. Miaka ya nyuma nilikuwa nikifanya biashara ya kuuza kemikali za...
27 Reactions
94 Replies
7K Views
Mlianza kwa kupeana majina kama honey, darling, sweetheart, babe, honey bunny, sweetie, bear, poppy, cutie, sunshine, then mkaenda sugar... Kwa sasa mko wapi?
15 Reactions
127 Replies
5K Views
  • Closed
Bad news in town ni kwamba ni baby girlfriend wangu kesho ninamkabidhi zawadi yake gari aina ya Toyota spacio sasa wale wapuuzi mliozoea kumnyatia udsm au hostel kwake mabibo nadhani muache tu...
0 Reactions
110 Replies
9K Views
NJIA 10 ZA KUMTAMBUA MWANAMKE ASIYEFAA. 1. Ikiwa mwanamke anapenda kuvaa nguo zinazofunua na kuonyesha viungo vyake vya siri mitaani, katika mazingira ya familia au mkusanyiko wa umma, HUYO...
8 Reactions
23 Replies
3K Views
1. Kujisahau. Utoto mwingi hukuwi kabisa, Bado una hasira kama ulivyofanya miaka iliyopita ulipokuwa single. Bado huwezi kujisahihisha makosa . Bado unakuwa na mahusiano ya nje ya ndoa...
15 Reactions
42 Replies
3K Views
1-hata kama hujui mapenzi yeye HAJUI KWAMBA HUJUI..ukipanda kama kuku sawa ukicheua dakika 6 sawa ...hana comparison wala reference...ILA UOE GUBE GUBE looh...Ukishuka tu anampigia Ex Wake simu...
0 Reactions
41 Replies
8K Views
Siongei mengi... vijana acheni kutoa toa hovyo shahawa. Acheni ngono hovyo hovyo wala kupiga punyeto hovyo hovyo. Tunzeni shahawa! Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
10 Reactions
49 Replies
4K Views
Nikiwa advance, nilikua na mahusiano na dada wa form 4, nikiri alinipenda, ila mimi sikuchukulia serious mahusiano haya, na mwisho wa siku nilimwambia tuachane kwa sababu ambazo hazikua na msingi...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Nimemtongoza kanikataa kisa eti niliwahi kutoka na mrembo fulani hv ambaye bdae walikuja kuwa marafiki(baada ya kuachana nae). Sasa hapo kuna uhusiano gani jamani? Mbona anitesa huyu mtoto wa...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Watu wa wahumu Leo naomba umakini wenu ,nilienda lindi mbali sana kufuata msaada ila umegoma nikasema basi tu. Nikaanza kuomba kiaina ila msiniambie bhana unaenda huko bado au sijaenda huko Kwa...
1 Reactions
71 Replies
4K Views
Back
Top Bottom