Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari, Hata kama wanasema love is blind lakini hapa bro nahisi sio akili yake kwa ninavyomjua mimi nahisi kabisa ni juju limetumika hata Bi mkubwa nae alivyotambulishwa niliona kabisa...
13 Reactions
64 Replies
5K Views
Hello hello JF! 👇👇👇 Katika hali ya kuduwaza na kufurahisha, kitambo sasa nashuhudia wanawake wanaokuja ghetto kwangu kwa kazi maalumu ya kitume na kimaombezi nimeona kuna jambo linawafurahisha...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
Wakuu habarini! Nimekuja kwenu naomba nisaidiwe kimawazo na ushauri. Hivi karibuni nilipeleka barua ya uchumba (posa ) na Mambo yalienda freshi tu. Kikao Cha kupangiana mahari makubaliano...
21 Reactions
114 Replies
6K Views
Wanaume wengi tunaamini pesa ndio kila kitu kwenye mahusiano, yaani ukiwa na mke na watoto unamini wakila vizuri, wakivaa vizuri, watoto wakienda shule nzuri Mama yao akipata mahitaji yote sijui...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Mdada ametuma text ananiuliza nipo wapi, nikamwambia nimetoka kazini mchana leo naelekea home. Akaniambia ana hamu na hii hali ya hewa tukanyanduane. Nikamwambia basi akachukue room nimfuate...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu habari, bila kupoteza muda kwa miezi kadhaa sasa nimefanikiwa kuwa na mwanamke wa nje, na kwa sasa nimepata uzoefu ufuatao: 1. Sigombani gombani tena na mke wangu, hata kama akisema leo...
4 Reactions
16 Replies
984 Views
Natumai u mzima wa afya mke wangu, mimi naendelea vizuri sema niombee sana ukipata muda, haijawahi pita siku sijakuombea, hivi uko wapi?, unafanya nini?, tutaonana lini?, itakuwa wapi?,,mke wangu...
9 Reactions
40 Replies
4K Views
Habari ! Elon Musk ameamuka kutumia Artificial intelligence kujitengenezea mke wake. Hapa ndo tunasema anajitengenezea wa kufanana naye. Maana user requirement zote anazoitaji Yeye. Sijui Kwa Nini...
6 Reactions
111 Replies
6K Views
Joseph Moses ambaye ni dereva bodaboda mkazi wa Mbeya anakabiliwa na shtaka la kumtishia kumuua kwa maneno mkewe Irene Mwaikana huku chanzo cha ugomvi huo ni tabia ya mkewe ya kutoa chakula...
11 Reactions
72 Replies
4K Views
"Kipendacho roho hula nyama mbichi" Kila mtu/ binadamu hufurahia tendo la ndoa anapokua na mtu ampendae. Binafsi NALIA NGWENA ninapokua na date na msichana(mwanamke) wa hivi moyo wangu hufurahia...
4 Reactions
37 Replies
3K Views
Kwanza nianza kwa kuwalaumu waliogundua mapema hii siri kwa kukaa na hii (nywila) password kwa muda mrefu. Iko hivi wewe mwanaume ukitaka kupendwa na watoto wazuri, wasafi wenye shape zao, watoto...
3 Reactions
95 Replies
7K Views
Baadhi ya vyanzo vilivyo sababisha kuondoka kwa furaha ya wanaume wengi na kupelekea kushindwa kujiamini kabisa 𝗣𝗨𝗡𝗬𝗘𝗧𝗢; Mwanaume anapopiga punyeto anaiminya mishipa ambayo inasababisha kusimama...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Kila kukicha utasikia mikasa ya ubakaji na unyanyasaji. Hivi kwanini ufikie hatua ya kubaka? Una ugonjwa wa akili au unatumia bangi? Wanawake wamejaa na wametuzidi hata kwa idadi kwanini usiombe...
1 Reactions
2 Replies
697 Views
Fanya mazungumzo yenu yawe rahisi. Fanya mnapokuwa pamoja iwe rahisi kwako na kwake. Fanya ajihisi maisha yake ni rahisi akiwa na wewe. Simaanishi kifedha. Bali kihisia kwa kujiachia na kutokua...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Wakubwa na wadogo ninakuja kwenu kwa unyenyekevu mkuu nikiwaomba ushauri. Binafsi nikijiangalia umri unakimbia sana kwa umri wangu huu kuna rafiki zangu wana watoto hata wanne ila mimi sina hata...
7 Reactions
131 Replies
6K Views
Za masiku! Hivi kuwa na mahusiano na mke wa jirani yako ni dhambi? Ni dhambi kwa sababu umezini! Je, kulala na mwanamke asiye mke wa mtu ni dhambi? Kwa nini Yuda hakupigwa kwa mawe ila badala...
1 Reactions
1 Replies
642 Views
Hizi ni baadhi ya kauli za wavulana juu ya single maza "ukioa single Maza ukae tayar kuchapiwa", "single Maza sio WA mtu mmoja",,, "single Maza ana wakwe pande mbili na mawifi pande...
26 Reactions
218 Replies
13K Views
Habari wana jamvi Nimeona niweke huu uzi asubuhi sababu mida hii ndo wenye nyumba huwategeshea vijana wapangaji wao wanaoonekana kujiweza kdg kiuchumi na kuwaelezea shida zao ili wawasaidie...
12 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu kwema, Niende kwenye mada. Aisee leo nimezunguka sana kwenye hizi pharmacy zetu za mtaani lengo tu nipate kununua kinga "zana" kwaajili ya shemeji yenu, lakini mpaka muda huu naandika huu...
14 Reactions
104 Replies
5K Views
Nimeona niilete hii mada, kwa sababu wengi huwa tunahisi ya kuwa maisha ni sasa, bila kukumbuka kuna ya kesho. Kumekuwa na kawaida ya mahusiano mengi kuvunjika, ingawa kwa asilimia kubwa...
9 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom