Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hello guys samahani mimi ni kijana miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili UDSM, nilikua na mwanamke wangu ambae tumedumu kwa miaka takribani 7 sasa tangu form 2, mwaka jana nilimpatia ujauzito kwa...
8 Reactions
53 Replies
4K Views
Mimi binafsi yangu siwez wasakama wanawake ambao umri umeenda na hawajaolewa naamin kwa fikra na hisia zao hawajapata mwanaume ambaye sio bora tusiwasakame na kuwachukulia kama ni wakosaji wakubwa...
8 Reactions
61 Replies
3K Views
Nashangaa sana kijana au binti anapelekeshwa na mapenzi kama gari bovu, lazima uwe na msimamo. Unapenda sawa lakini usikubali akili zote ukahamishia kwa mtu. Unamtongoza mtu akisema hapana au...
8 Reactions
19 Replies
2K Views
Utapata/ itakuja kadri muda unavyozidi kwenda. Utapata busara kadri muda unavyozidi kwenda. Yote ina maana moja kwamba we usijali, muda upo. Endelea kusubiri mambo yatakua vizuri yenyewe. . Huo...
2 Reactions
3 Replies
779 Views
Kama unavyosoma hapo kwenye title, hiyo ni kauli nliyoambiwa na mke wangu wa ndoa na nimezaa nae watoto kadhaa copyright na mimi. Kimsingi tunaishi mbalimbali muda mrefu sana kutokana na masuala...
15 Reactions
50 Replies
3K Views
Siku hizi kama unatoka safari kuja Dar, basi jitahidi usifike huku Jumamosi usiku, wallahi utalala stand.
7 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari wakuu. Inasikitisha sana mwanume upo serious na unasaka wife material wakuweka ndani ila unaambulia kukimbiwa kijinga kijinga tuu. Nimejitahidi sana kutongoza mabinti wa kila aina ila...
8 Reactions
94 Replies
6K Views
Habarini wadau, Ramadhan Kareem to all Muslim in here...! Wewe ni mwanaume mfupi, Andunje, Nyadundo kama mimi, kwanini una kiherehere cha kuoa Mwanamke mrefu kukuzidi? Mwanamke akikuzidi urefu...
27 Reactions
204 Replies
12K Views
😁😁😁 Salaam jukwaa la MMU, Nimeanza na kucheka maana demu unakutana naye mchana eti hajala, demu wa hivi ungekutana naye asubuhi si angeomba mswaki? Yaani kisa ukali wake anajeuka kuwa yatima...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Hisia za mtoto ni sehemu muhimu ya maendeleo yake ya kijamii, kiakili, na kimwili. Ingawa uwezo wa kueleza hisia unaweza kuwa mdogo katika hatua za awali za maisha ya mtoto, wanapokuWa wanakua...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Aise wakurugwa, mlioweza mumewezaje....Leo asbuhi nimeamshwa na Kofi zito la mgongoni nikiwa usingizini...bila sababu yoyote..Mimi nikimlabua huyu mtoto wa baba mkwe huyu. Nitajikuta Tena...
0 Reactions
9 Replies
617 Views
La sivyo muache kuwataka wake zenu au wapenz wenu wazae.....msitese watoto....watoto hawana hatia.Wanaume wajibikeni katika familia zenu tafadhali
10 Reactions
63 Replies
2K Views
Katika viumbe ambavyo vinakazi kuviridhisha basi ni wanawake hasa katika suala la mapenzi wengi wanaigiza sana. Ila katika viumbe rahisi kuridhika katika suala la mapenzi basi ni wanawake,yani...
68 Reactions
528 Replies
104K Views
Nikosa kubwa mwanamke kumtawala mwanaume na Mungu amekataa hili, soma 1timotheo2:12 (Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha Wala kumtawala mwanaume). Je, waislamu maandiko yenu yanasemaje kuhusu...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari wakuu, Poleni na majukumu! Leo toka asubuhi wife ameamka ameweka taarab tu tena kwa sauti kubwa! Taarab zile za kina Mzee Yusuph na Jahazi, na nikifikiria kipindi ninachopitia naona kama...
18 Reactions
105 Replies
6K Views
Huyo mtajwa hapo juu popote mtakapo muona mwambieni Sifi Leo Nina mtafta Kwa wema tu. Ni zaidi ya miaka kumi Sasa hatujaonana, simtafuti Kwa ajili ya mapenzi maana aliisha niachaga kitambo ila...
5 Reactions
41 Replies
3K Views
Nimechomeka tu pwaaaaah pwaaah Nimechoka, nimechokaa nimechokaa.. Mwenzenu Nahisi Kuchoka Katika mapenzi. Siijui raha ya mbususu Kitambo sana. Nikichomeka tu pwaah Pwaah. Mademu niliwahi...
30 Reactions
108 Replies
10K Views
Halo wanawake, Jishughulisheni wanawake na pia unachokipata wewe mwanamke ridhika nacho. Mtoto wa kike usipotulia zitakazoumia ni sehemu zako za siri. Hii ni taarifa fupi.
6 Reactions
30 Replies
1K Views
Mimi ninafanya kazi kwenye Halmashauri moja Mkoani Kilimanjaro. Tokea nimeoa, tuna watoto 2 lakini mke wangu hajui specifically nafanya kazi gani na hahiitaji kujua, as far as nahudumia familia...
21 Reactions
137 Replies
9K Views
Hello family, Mods please tupeni fursa tuseme kweli, kweli inaponya. Let speak the truth, the truth be told. Hakika nasema katika kweli hasira na chuki hasa katika mawanda ya ndoa si bure kuna...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Back
Top Bottom