Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nadhani kila mtu anajua kuwa makabulini sio sehemu ya furaha . ni sehemu ambayo tumepumzisha miili ya ndugu zetu, marafiki zetu ,naa wapendwa wetu inawezekana tulikuwa tunatamani sana leo hii...
19 Reactions
30 Replies
3K Views
Alipewa ujauzito na rafiki yangu so ni shemeji yangu. Mimba ilipofika miezi minne jamaa akakata mawasiliano, hakuna sms wala calls wala matumizi . Mimba miezi mitano binti kasimamishwa kazi kwa...
55 Reactions
118 Replies
8K Views
Hello JF, Unaposhangaa vioja vya jana Kuna watu hushangaa vioja vya Leo na juzi , na wengine hushangaa vyote. Ipo hivi wakati upo na Halima Nyerere square hapa dodoma Kuna Halima mwingine ndani...
0 Reactions
7 Replies
861 Views
Basi akanilaumu sana akatoa lawama za kutosha, ya kwamba kwanini nilimtendea vile, lakini haikuwa kosa ni moja wapo ya kutekeleza jambo husika. Turudi nyuma kwenye stori za maisha yetu ya kila...
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Mara nyingi wanaume tukiweka miahadi na mwanamke tunataka aje peke yake (privacy), sasa ilikuwaje ulipanga appointment na mwanamke, akawa anataka kuja na rafiki yake? Ulimkubalia, nini kilitokea?
3 Reactions
51 Replies
3K Views
Wakuu juzi kati hapa kuna mwamba alianzisha Chombezo kama linavyosomeka hapo juu, bahati mbaya nimelitafuta nisome silipati anaejua anipe koneksheni au lilifutwa?
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Here Is Why Human Vαgina Smells hararelive.comMay 28, 2023 10:03 AM TheVαgina naturally has its own unique smell. This smell may be stronger or more detectable at certain times, such as during...
1 Reactions
10 Replies
996 Views
Nipo wilaya ya kazi, Bunda mkoani Mara. Majuzi nilihudhuria mazishi ya Mzee mmoja maarufu. Sasa tukiwa msibani kuna dada mmoja msukuma mweupe kapanda hewani na tako hilo. Katika harakati zangu...
7 Reactions
53 Replies
6K Views
Ukiwafanyia Hichi watadai kile.Ukiwafanyia ubaya watadai wema ukiwafanyia wema watadai ubaya.
2 Reactions
4 Replies
689 Views
Kichwa cha habari hapo juu hakina lengo ya kudhihaki jinsia bali ni mada ambayo ningependa tuiangalie kwa mapana!.. Binafsi wanawake na uongozi hili jambo linanipa ukakasi zaidi nazungumzia...
11 Reactions
65 Replies
2K Views
Hii issues kuna binti mmoja kichwa na yupo vizuri sana nilisoma nae katukimbiza sana skonga kipindi hiko cha nyuma mara nyingi tunapigaga sana story kwenye simu. Msimu wa sikukuu tulikutana tu...
17 Reactions
70 Replies
4K Views
Habar Kama mada ilokuepo juu nahitaji mwanamke wa kuchat nae
0 Reactions
48 Replies
1K Views
Habari mabibi na mabwana yu heri wa afya natumai hivo, Kwenye yanga sc na USM Alger( A.K.A KWENYE 1- NA- 2) kulingana na uchumi wangu ulivyo uki compare na gharama za madem wa siku hizi bila pesa...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Mliniambia huyu jirani hanitaki oh najikomba Jana kaja basi katoa namba mwenyewe nakujitambulisha . Mie naitwa jj naomba kampani Yako nilikuwa sijaweza kukuongelesha Kwa sababu sijakuzoea mie...
1 Reactions
13 Replies
857 Views
Mapenz ni starehe Wala siyo ugomvi.....na unapoenda kuonana na mwenzio unajua kabisa waenda kustarehe.....sasa tukubaliane kwenye faragha zetu ni ruksa kushikwa popote Ili mradi tu najisikia...
28 Reactions
373 Replies
7K Views
Kama ulitumia hizi huduma nadhani sasa uko kwenye ndoa au unawatoto Kwakweli Tigo na Vodacom walisaidia sana mahusiano ya watu mana hata utaratibu wa kujiunga bando haukua sawa. Tigo unasubiri...
7 Reactions
2 Replies
539 Views
Bro, Kikao cha hiki kijiwe sio kama kile cha wanaume wa UWABATA, Hachana na wanaume wasiojielewa, hatuna haja ya kuunda 'hashtag' hizo pigo waachie wanawake.! Hachana na wanaume wasiojielewa, wao...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Wasaalam wadogo kwa wakubwa😀😀 Natumai nyote wazima wa afya. Niende kwenye mada kama mnavyoona huu ni mwezi wa 6 sasa, na mjuavyo baridi imeingia mpaka DSM sasa. Na kama mnavyojua miili yetu...
2 Reactions
4 Replies
965 Views
Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani. Kumkuta...
46 Reactions
391 Replies
12K Views
Ila kusema ukweli wanaumme tunapitia mengi ila dunia sio fair kwetu, wanawake wote walio shindikana nyumbani kwao anae pokea huo mzigo ni mwanaume, na unakuja kugundua tabia mbaya za mwanamke...
3 Reactions
9 Replies
880 Views
Back
Top Bottom