Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Shukuru umeiona tena hii weekend. Shukuru safari zako za wiki zilikua salama. Shukuru kwa ulichojaaliwa kupata kwa wiki, hata kama ni kidogo. Shukuru kwa kuwa upo salama sasa, japo sjui unasoma...
1 Reactions
0 Replies
643 Views
Mostly Ndoa nyingi ni mateso, wengi wanajuta tu. Kiu ya kugawa moyo wangu imepotea kabisa, nisije tobolewa tu bure 🥲
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Waungwana natumai muwazima, wengi wenu naamin mmelala mida hii mwenzenu nimekosa usingizi kabisa, Ninakoishi tuko wapangaji watatu nyumba ziko tatu ndani ya uzio mmoja, Tuko mabachela wote mimi...
17 Reactions
539 Replies
39K Views
Habari wadau? Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza ndivyo ilivyo hivyo kama mjuavyo mimi sijaoa na wala sina mchumba, ila nina mpenzi. Sasa mpenzi wangu huyu mpya ananishangaza sana, tukiwa...
4 Reactions
294 Replies
72K Views
Siku ipo nitatoa somo la ndoa ila ipo hivyo, mke wako na mme wako ni mwili mmoja wewe ni yeye damu moja ndio maana mnatumia mwili kupata watoto. Ikitokea mama anaumwa na mke wako kwa wakati mmoja...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Wadau ipo hivi. Nina jamaa yangu nafanya nae kazi. Mke wake ni mwalimu sasa mwanafunzi wa chuo kimoja hivi kikubwa hapa nchini Kabla ya kwenda chuo mahusiano yao yalikiwa yamekaa vizuri kabisa...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Na hili nalo mkalitizame, Inasemekana huyu binti amekuwa msaada mkubwa kwa mama yangu ndani ya miezi kadhaa iliyopita. Humsaidia mama kazi za hapa na pale, kumhudumia pindi awapo mgonjwa...
16 Reactions
78 Replies
6K Views
Kumekuwa na kawaida ya watu wenye mashaka na uhalali wa ubaba wao kwa watoto wao, kwa sababu mbali mbali, lakini wengi wao wanapata majibu ya kuwa wao ni baba halali wa watoto hata kama baba ana...
5 Reactions
85 Replies
10K Views
.........salamu........ Kwanza tangu uhuru sijawahi na sitawahi kuitegemea serikali ya nchi hii... hakuna ilichofanya kwangu kama favor. Ni hakiyangu na ninastahili. Sina uchungu nabandari wala...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Sweden imepitisha ngono kama sehemu ya Michezo na itaandaa na kuwa mwenyeji wa Mashindano ya kusimamia kucha Huku Ulaya.. My Take Uhuru wa Mwanadamu ukizidi unakuwa kufuru na upumbavu.. =======...
19 Reactions
230 Replies
27K Views
Habari.. Nilicho kuja kugundua kwa hawa mabinti wa kilokole wanaojiona wafia dini, nyuma ya pazia wanapenda sana kunyanduliwa ipasavyo . Bint utamuona ni mlokole haswa mbele ya jamii na mbele...
9 Reactions
19 Replies
3K Views
Haijalishi unajishawishi kichwani kiasi gani kwamba we ni wa tofauti. Haijalishi unajiona we ni wa tofauti na unaotumia nao muda mwingi. Lazima mwisho wa siku uwe kama wao, kama unavoendelea...
1 Reactions
1 Replies
532 Views
1. Anapenda kujishika nywele, kidevu, mikono, shingo na mashavu kila wakati 2. Anapenda kulamba au kung'ata lips mara kwa mara 3. Anapenda kupost picha au video zenye msisimko wa kingono mara kwa...
7 Reactions
37 Replies
49K Views
Kijenetiki watoto wa kiume na kike huzaliwa kwa idadi sawa, lkn watoto wa kiume hufa wengi kabla ya kufikisha miaka 5. Watoto wa kiume wakiwa wakubwa wengi huingia kwenye kazi ngumu au hatarishi...
17 Reactions
117 Replies
5K Views
Kuna demu unapendana naye saana mpaka mkawa Na mpango wa kuoana lakini kwa bahati mbaya demu anasau ahadi zenu zote Na kwenda kuolewa Na mwanaume mwingine Ukiwa katika stress za kuachwa mdogo...
5 Reactions
47 Replies
2K Views
Nilimuambia brother huyu mke wako nitamla ILa brother alikuwa mbishi na kiburi kwa sababu anasema mke ni mwaminifu nikasema bwana mke wako mbona ananitega? Kwasababu akienda bafuni anaenda na...
5 Reactions
76 Replies
7K Views
Hello getlemen and ladies i'm coming ti you once again for another request but this mostly for only mind girl mostly beutiful girl but even there man or boys who love mteremko it si fine na...
3 Reactions
6 Replies
589 Views
Ukiwa huna Pesa ni vizuri kukaa single lakini ukiwa na Pesa kukaa single ni vizuri kama kijana amabaye ana Malengo na yupo hatua. za Mwanzo za kujitafta Kwani ukitaka kupima Kama unakopesheka au...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Hello dears just want to share something with you about my love life. I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi...
53 Reactions
284 Replies
49K Views
Back
Top Bottom