Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Jamii Forum ni mtandao wa watu ni Jamii yenye watu wote kama tulivyo mitaani,Nimepatwa na MSIBA wa babu yangu mzaa MAMA (baba wa mama yangu) naelekea Arusha siku ya kesho Usiku mida ya saa 1 hivi...
8 Reactions
35 Replies
2K Views
Amani iwe kwenu wakuu, Hivi ni kipi kinaumiza zaidi katika mapenzi, kuambiwa sikutaki au kuzungushwa sana na kupewa vijisababu visivyokuwa na msingi? Tunajua kuwa mapenzi huzaliwa, hukua, hufa...
14 Reactions
658 Replies
42K Views
Wakuu hongereni washindi. Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto nafanya mapenzi na shemeji yangu mke wa rafiki yangu. Wakati wa maandalizi ile namvua chupi ulimwagika ute wa kutosha kama maji...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Siku hizi wanaume kuzaa hovyo hovyo na kila sehemu ishakuwa kama fashion vile Ila hii kitu inaaribu psychology ya Watoto wa Nje ya ndoa Yani wanatengwa kwenye kila sehemu hawathaminiki kabisa...
19 Reactions
169 Replies
13K Views
Unjooni mnishauri jmn na wiki mbili chakula hakiliki, mnamkumbuka yule msukuma wangu niliwaambia hajui kukasirka nakufoka? Sasa Nina wiki mbili tumeachana na mm ndio nimemuacha baada yakumkuta...
13 Reactions
66 Replies
4K Views
Siku za karibuni kumekuwa na nyuzi za sisi wanaume kuwafungukia hawa warembo wetu wa humu jamvini. Wengi tunajiuliza kwa nini hizi nyuzi zinafuatana sana, kulikoni kuna nini? Au hawa warembo...
6 Reactions
58 Replies
2K Views
Wanaume ni wengi kuliko wanawake. Kila mtu atapata wa kwake. Acha kupotezeana muda na mume wa mtu na kuharibu familia ya watu. Acha kumfurahisha huyo mwanaume asiejitambua acha apambane na uhuni...
13 Reactions
69 Replies
4K Views
Huyu demu kila mara anaomba nimtoe out angalau anywe beer mbili tatu. Na hana aibu kabisa kuomba omba beers kwa wanaume. Sijamzoea kiasi hicho basi tu anaendekeza uswahili. Mara kadhaa aniita bar...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Jamaa yetu mmoja baada ya kumalizana elimu ya kidato cha nne, Kisha kupitia VETA kusomea mambo ya umeme aliamua kujiunga jeshi la wananchi. Miaka 8 tu baada kukaa jeshini akafukuzwa jeshini kwa...
27 Reactions
583 Replies
27K Views
Katika kutizima sana filamu za hawa watu wa West naona, huwa wana tabia fulani ya kuwa wepesi kuanza mahusiano ya kimapenz baada ya kuonana kwa siku chache tu, au unakuta msichana na mvulana...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Kwa hakika mwanamke akiwa mzuri hutongozwa mpaka mara 50 kwa mwezi na akiwa mbaya hutongozwa mpaka mara 15 kwa mwezi endapo atakuwa anafanya kazi mahali pa watu wengi (public). Sasa mikopo ya...
25 Reactions
58 Replies
4K Views
Jamani wanaume wenzangu mimi mcanada nimeoa tayari mwanamke wa kichaga tuna miaka 6 kwenye ndoa na tumefanikiwa kupata watoto wawili katika harakati zangu za maisha nikafanikiwa kuja canada na...
17 Reactions
116 Replies
6K Views
1. HIV -UKIMWI 2. Rhesus 3. Genotype 4.Hepatitis B 5. Hepatitis C 6. Magonjwa sugu 7. Magonjwa ya akili 8. Makundi ya damu 9. Magonjwa ya zinaa 10. Magonjwa ya kurithi11.Vipimo vya uzazi...
17 Reactions
80 Replies
5K Views
Wanaume tupambane kwa nguvu zote tufungue biashara ili wake zetu waweze kuzisimamia. Hii hali ya kuoa mwanamke aliye ajiriwa kuna changamoto zake kama ifuatavyo:- Kazi ndio mme wake Mumewe ni...
10 Reactions
29 Replies
1K Views
Modest Bafite atoa maoni yake kuhusu Jackline anayedaiwa kutobolewa jicho na kung'olewa jino na mzazi mwenzie "Ni HAKI ya wanasiasa kuwachukulia watanzania kama wajinga maana wenyewe hu react...
11 Reactions
49 Replies
3K Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!. Wewe ni mwanamke wa pekee sana ambaye nimewahi kufahamiana nae. Mwanaume shababi wa kikurya nimekumiss sana mama na nakuhitaji. Ujumbe huu ni wako...
9 Reactions
94 Replies
4K Views
Salam Wakuu, Katika malezi ni muhimu sana mtoto ajihisi kupendwa na wazazi wake ama na yoyote anayemlea. Ni ngumu kwa mzazi/mlezi kuwapenda watoto wote sawa, lakini ni muhimu kwa watoto wote...
11 Reactions
50 Replies
3K Views
Habari wiki iliyopita nilikuwa kwenye harusi moja hivi nilialikwa. Sasa nda wa ukumbini na maharusi kuingia. Sasa katika utambulisho binti aliwatambulisha wazazi wake wa kumzaa na BABA mlezi. Iki...
13 Reactions
42 Replies
4K Views
Kuna wapenzi mliokutana mizani ya mapenzi iko sawa na mnashidana kupendana zaidi? Imagine kuna mdada unampenda sana lakini yeye kama haelewi how deep you're au anaelewa ila anachukulia for...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Habarini wana jamvi! Ebhana wife kapata kazi Mkoa wa Kagera na kazi ni nzuri, amekaa muda mrefu bila kazi takriban 5 yrs. Lakini kwa sasa ana mtoto mdogo, binafsi si kwamba sipendi akafanye kazi...
24 Reactions
443 Replies
22K Views
Back
Top Bottom