Wa salaam JF
Una watoto watatu umri wao juu ya miaka 15.
Ukasikia mkeo akisema kuwaambia watoto hana uhakika kama baba ni wewe au sio wewe!!
Maneno yakafika kwa ndugu na wazee wa pande zote...
Mwanamke anayeomba pesa kwa jamaa ake ni kosa kubwa.
STORI YA KWELI.
Ilikuwa hivi huyu Binti nilikutana name kwenye daladala. Tukiwa wote safari ya makumbusho, saa 2 usiku yeye anaelekea kwao...
Habari za majukumu wakuu!! Bila shaka nadhani niwazima wa afya na tunaendelea na pilika pilika za kutafuta mkate wa kila siku ,
Huu Ni Uzi maalum nimeamua kuandikia Kwa makusudi tu lengo kubwa...
Hasa akiwa mtu unamalengo nae, yaani inatoa imani sana. Unawaza kua huenda ni amekubuhu na anauzoefu sana, huenda ndio hufanya na wengine hivyo, taflani.
Ni vema mwanamke akatulia tu asubiri...
Nina rafiki yangu anapitia mengi nyumban kwako mama yake anamchukia kinyama na anaonyesha wazi kabisa ashawahi kumwambia kuwa yeye n mzigo bora abaki tu shule hiyo n kipindi anasoma hata akiwa...
Habari za wakati huu..
Kama kichwa kinavyo jieleza kama ulisha wahi kumla shemeji yako eleza ilikuaje kuaje mpaka ukamla.
Mimi ilikua hivi
1: Mnamo mwaka 2017 nilienda kijijini sasa mtoto wa...
Imeshapita miaka kadhaa nyuma ila kuna post nimeisoma hapa ikanikumbusha maumivu fulani ya moyo niliyowahi kupata hapo nyuma
Miaka ya nyuma nikiwa na rafiki zangu kama wa nne tumeshibana gafla...
Salaam,
Ndugu Wana jamvi naomba niende kwenye mada. Kwenye michepuko huwa tunapata nafasi ya kujifunza vitu vingi pengine mume au mke unaeishi nae huenda akawa havifahamu.
Mfano wa vitu...
NALIA NGWENA Huwa najikunja haswa kufidia vitu vyangu nilivyonunua kama gharama za kijola kusuka pesa za bando vizinga vidogo vidogo nk.
Kila nikifikilia hizo gharama ndiyo napata hisia mno...
Kutongoza ni mchakato wa kujuana.
Ni kitendo cha kuruhusu nyie wawili mjuane zaidi. Ndio maana hautakiwi kuacha kumtongoza mwanamke wako. Hata kama mna miaka mingapi pamoja.
Mchakato...
Habarini, natuma ujumbe huu nikiwa nje kujitafutia chakula sehemu nyingine.
Ipo hivi, unakuta mwanaume unawajibika kutafuta mahitaji ya ndani, unahakikisha vitu vimenunuliwa na kubalance lishe...
Familia nyingi haswa za kisasa zinakabiliwa na changamoto nyingi zinazotokana na mabadiliko katika jamii na maendeleo ya kiteknolojia. Leo tutaangazia baadhi ya changamoto hizo na jinsi...
At least awe amefika form four, narudia tena at least awe amefika form four.
As far as unajali future ya watoto wako,oa mwanamke mwenye elimu.
Usiwe mbinafsi kwa kutazama vigezo vyako kingono...
Mahusiano yamekuwa na changamoto nyingi sana, leo unabwagana na huyu na kesho unaanzisha na mwingine.
Ndivyo asili ilivyo, hatuwezi kupingana nayo; muhimu ni kujua na kujiandaa mapema kwenye...
Nimeamini uaminifu kwenye ndoa ni suala gumu hasa Kwa sisi wanaume.Ni heri mwanamke ambaye anaweza akakupenda na kutokana na huo Upendo akashindwa kukucheat.
Lakini Kwa upande wa wanaume Upwiru...
Wakuu habari.
Kwa elimu yangu hii nimesomea A. Level na chuo maeneo ya kasikazini ila katika uzoefu niliojionea uko uchagani sio siri wanaume wa kisukuma wanapendwa sana yaana ukimwambia kabila...
Habari wakuu.
Bhana 2015 mwishoni, nilipata tukio la kusisimua sana hadi leo najiuliza nini kilitokea.
Tulikuwa Kahama kikazi, Sasa wikiend tukaenda kula starehe kidogo kwenye bar maarufu pale...
Pamoja na kwamba alikuwa ameanza mwaka wa kwanza Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam Deo Tegeule alikuwa hakosi starehe kila mwisho wa juma. Alikuwa na kundi la marafiki zake wawili Timothy Haule na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.