Hello JF,
Niwakumbushe tu kama mabaharia wenzangu kama unatoka kimapenzi na binti alozaliwa 1998-2003 hasira zako mkopeshe mchungaji, shehe, na kituo cha police.
Jitoe ufahamu endekeza raha...
Hey thereee
Hivi ushawahi kuwa kwenye mahusiano na mtu anakuwaza wewe tu mda wote? Kila mda anataka muongee tu? Kila mda anataka ajue upo wap, na nani, kwa nini, mnafanya nini, mpaka saa ngapi...
Kazi iendelee...
Jamani wanaume wenzangu, katika umri huu wa miaka 25 naamua kutoa leo kaliba yangu hii ambayo wengi inaweza kuwastaajabisha kidogo.
Sina hisia za wivu kabisa wala kupiga...
Hbr Wana jamvi........
Natumai mu wazima wa afya, Amen.
Leo naongea na wanaume wote lijali na ambao kesho wanahitaji kuwa na familia Bora yaani familia isiyo kuwa na kizazi Cha ovyo.
Najua...
Bila salamu naandika kwa uchungu nilionao moyoni nataka sumu zote zitoke Leo.
Miaka tisa iliyopita niliingia kwenye mahusiano na mtoto wa binamu yangu.
Nilikuja kuomba ushauri hapa baada ya...
Habari ndugu zangu.
Mimi sijui na shida gani wakuu, yani nimekua nikipenda sana wanawake weupe au maji ya kunde yani nikikutana na wanawake weupe najikuta na simamisha mkuyenge mara kwa mara na...
Katika siku nilionyesha uvumilivu ama naweza sema ukomavu katika mapenzi ni jana.
Maana sio kazi ndogo kumfuma mtu na mchumba wako, tena mchumba mwenyewe mpya hata week mbili sijamaliza nae...
Nipo Kigali kikazi, hao wanawake wa kinywaranda mnaowasifia kila siku kwa uzuri huko Instagram na hapa Jamiiforums mbona siwaoni?
Huku mitaani nawaona wanawake wa kawaida sana tena hawafikii...
Kazi iendelee!
"Wrevta unashirikiana na wenzako kweli?" Kauli hii kutoka kwa mwalimu wangu nikiwa sekondari miaka hiyo inanikumbusha machungu mno.
Nikajibu "ndiyo", ila ukweli ni kwamba sikuwa...
Kama mnakumbuka kisa kilichonikumba mpaka kupelekea kujifukuzisha kazi huku nikiacha msako wa kunitafuta ukiendelea basi leo nina furaha kuwaletea mrejesho. Tamaa imeniponza, nimeamua kujiachisha...
Yana wanawake sijui walilaaniwa na nani, kila.muda wa inferiority complex,
Wanadhani wanadharauliwa kumbe hapana
Ndo maana ukikuta mwanamke katika wadhifa fulani wanawatesa watu sana
Kutana na...
Habari,
Hivi hapo Dar wanawake kutovaa pichu ni joto au kutangaza mambo mengine?
Maofisini wanawake wanajiachia ukidondosha peni duh,
Najiuliza sana wanatangaza nini?
Yaani mwanamke akikupita...
Maana unakuta. Mwanamke hakati kucha au ameweka zile kucha za plastic mikono yote,
Mwanzoni nikajiuliza sana hivi hawa wote wanatoka nyumba zenye rivet gun showers? Yaan unabinya maji kwa presha...
Habari wakuu,
Nawatakia maandalizi mema ya sikukuu ya pasaka , na kwa ndugu zangu islamic niwatakie mfungo mwema
Iko hivi hawa viumbe kiasili ni wabinafsi na kwakua hawapendi kuteseka basi...
Habari wa JF,
Ni siku nyingine tukufu ambayo MUNGU wetu ameweza kutujalia kuiona, Sio wote wamepata nafasi hii maana kuna ambao tayari wameshatutoka kuamkia Leo hivyo tuliobaki tuseme "ahsante" na...
Heri ya muendelezo wa mfungo wa Ramadan ndugu Waislamu!
'I'll be short and clear'
1. Mawaidha kama mzee kwa vijana!
akati nikiwa kijana wa miaka 24 hivi baada tu ya kumaliza chuo, nilikuwa...
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 33, naishi hapa Tanzania, mkoa naogopa kutaja. Nimeolewa na nimebahatika kuzaa watoto wawili katika ndoa yangu. Ila hapa siku za karibuni niliamua kuokoka na...
Mahusiano sio kitu rahisi
Wengi wanaamini kufanya tendo la ndoa ndio mahusiano, hilo si kweli; mahusiano ni zaidi ya tendo.
Mahusiano ni sawa na kuunganisha kampuni A na B, zenye mitazamo...
Anzisheni mahusiano na watu wazima, hawa wa chini ya miaka 35 hawana tofauti na vitoto, kutokana na kuwa na ahadi nyingi hewa.
Kwa upande wangu, mabinti walio chini ya miaka 35 mimi huwa nawaita...
Na MsasaBreakTime
"KIPIMO CHA UTAJIRI NI RAHISI NUNUA
SODA WEKA KWENYE FRIJI IKIMALIZA WIKI UJUE UMEANZA KUTOBOA"
--------------FRED VUNJABEI-----------------
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.